Kwisha habari yao. Simba wamekubali kuingia change room wasipofungwa leo nipigwe ban ya week

Kwisha habari yao. Simba wamekubali kuingia change room wasipofungwa leo nipigwe ban ya week

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
14,444
Reaction score
31,616
Kwisha habari yao. Simba wamekubali kuingia change room wasipofungwa leo nipigwe ban ya week..

Kalikuwa kasehemu kadogo tu. Kuwa waingie vyumba vya kubadilishia jersey. Waligoma goma now wameshakubali. Watarudi kuja pokeay⁴
 
Simba wamekubali kuingia change room wasipofungwa leo nipigwe ban ya week.
1777496304597.png
 
Maxence Melo kwakuwa jamiiforum ni chombo huru na haki, hivyo jambo hili aliloliomba pasipo kulazimishwa bali kwa matokeo halali member Chizi Maarifa anatakiwa kupewa haki yake, kwasababu ametaka kwa hiari yake. nikiwa kama mdau na shabiki wa yanga sina wasiwasi na ombi aliloliomba shabiki mwenzangu kwani huenda ikampunguzia msongo wa mawazo kabla ya kuelekea tarehe 03/05/2026, ambapo mtanange mwengine wa watani wa jadi utachezwa. hivyo basi kwa kuzingatia ombi lake na utani wa jadi kati yetu yanga na simba achapwe BAN kwa siku alizoziomba.
 
Back
Top Bottom