Aise Messi ndio mbuzi

Aise Messi ndio mbuzi

min -me

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2022
Posts
57,255
Reaction score
163,874
Nakataa kuwa mshabiki oya oya , napenda mpira , acha kwa pumzi hii niliyo bakiwa nayo niupe maua yake , natambua mchango wa Ronaldo , ila Messi ni next level , acha niupe mpira heshima yake tu.

Viva Manchester United viva lesandro martinez 🙏
 
Nakataa kuwa mshabiki oya oya , napenda mpira , acha kwa pumzi hii niliyo bakiwa nayo nimpe maua yake , natambua mchango wa Ronaldo , ila Messi ni next level , acha niupe mpira heshima yake tu.

Viva Manchester United viva lesandro martinez 🙏
Messi anajua halafu anajua tena kupingana na huo uhalisia ni kujihadaa. Upo sahihi.
 
Ningekua hua nabeti nashukuru mungu kwakipaji chakucheza mpira na kujua timu inayoshinda punde tu baada ya dakika 7 mpira kufyatuliwa nimeacha sehemu bar laki tatu ingeshinda england hiyopesa ya mwanye bar kesho naikuta 500k keshi


aisee ,hii Ngoma inaenda Argentina
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom