Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

  • Featured
Wakati Morocco ikiendelea kuandika historia uwanjani katika Kombe la Dunia la FIFA la 2026, inaendelea na mipango mukubwa ya ujenzi wa uwanja baada ya kuwa mwenyeji wa Fainali ya Kombe la Dunia la...
9 Reactions
11 Replies
600 Views
Yanga wamelitumia tena Nyumba lao ambalo walilipa jina la Nyumba la maajabu pale Major Isamuhyo Stadium katika mchezo wao wa ligi kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania. Tarehe 3 Mei, 2026 Yanga...
4 Reactions
27 Replies
594 Views
Ni mechi ambayo inaenda kukumbushia historia ya vizazi vingi katika nyanja mbalimbali Huko Atlanta, Lionel Messi atacheza dhidi ya Uingereza kwa mara ya kwanza katika taaluma yake huku mabingwa...
2 Reactions
7 Replies
274 Views
Spain ambayo ambayo imesheni wchezaji wa Barca ishatinga fainali. Furaha iliyoje. Argentina yenye Greatest Of All Time(GOAT) La Pulga ambaye ni pure cule yupo fainali. Furaha iliyoje. Ureno...
3 Reactions
1 Replies
190 Views
Hisia zangu zinaniambia England anamtoa Argentina counter attack za England zinaweza zikawa mwiba mkali kwa Argentina. England watamnyima space Argentina kitu ambacho kitawapa wakati mgumu
1 Reactions
3 Replies
144 Views
Hakika compusure na mikakati na uwezo wake mchezoni ni wa kipekee. Good football!
1 Reactions
8 Replies
274 Views
Kwa heshima na taadhima naomba huu uzi usihamishwe. Wakuu nataka kujaribu bahati yangu, nina kiasi hiko cha fedha nikigawanye Nikigawanye mara tatu, nusu fainali kati ya Argentina na England...
5 Reactions
45 Replies
879 Views
Tickets for the later stages of the 2026 FIFA World Cup are commanding record-high prices. Resale and official last-minute tickets are generally starting between $1,000 to $2,000 for...
3 Reactions
3 Replies
236 Views
Kufuatia kuongezeka kwa joto la mivutano baada ya Senegal kungolewa kwenye michuano ya Kombe la Dunia, serikali ya nchi hiyo imeingilia kati na kuliagiza Shirikisho la Kandanda la Senegal (FSF)...
1 Reactions
0 Replies
104 Views
Ni kama pigo ila naona nguvu za kuchezea pesa zinatumika kujisafisha. Kwa haya yaliyopo tanzania kama mambo yataendelea basi Rwanda kashasoma mchezo.
11 Reactions
55 Replies
1K Views
Tiketi ni za moto sana na maisha ya USA yapo juu mno ndio maana atuoni matangazo ya makampuni kutoa ofa ya watu kwenda kuona hata mechi moja Tiketi ya bei chee ni 30m+ huu ni mtaji
6 Reactions
23 Replies
422 Views
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeanzisha mauzo ya vipande vya nyasi halisi vitakavyotumika kwenye mechi ya fainali ya Kombe la Dunia 2026, hatua iliyozua mjadala mkubwa...
2 Reactions
3 Replies
185 Views
Kamati ya Mashindano ya TFF imeitoza Azam FC faini ya shilingi milioni 50 kwa kukataa kushiriki kwenye sherehe za kukabidhiwa tuzo na zawadi baada ya fainali ya Kombe la Shirikisho (FA)...
0 Reactions
4 Replies
270 Views
Zangu Fundi na kwa Kujiamini kabisa nina uhakika 4 zitatoboa hadi Nusu Fainali, 2 Fainali na 1 kuwa Bingwa kabisa 1. ARGENTINA 2. GERMANY 3. SPAIN 4. MEXICO 5. NETHERLANDS 6. SENEGAL 7. GHANA Na...
9 Reactions
47 Replies
637 Views
  • Featured
Ronald Koeman amejiuzulu rasmi kama kocha mkuu wa timu ya taifa ya Uholanzi baada ya timu hiyo kutolewa kwenye Kombe la Dunia 2026 katika hatua ya 32 bora kufuatia kufungwa na Morocco kwa mikwaju...
7 Reactions
66 Replies
987 Views
Ni aibu kwakweli nilipita Songea uwanja wa maji maji nilikuwa naangalia mpira mchezaji akapiga shoot kwa kipa kipa akaukosa ukapaa juu hadi nje ya uzio wa ukuta yaan ukawapita mashabiki hadi nje...
8 Reactions
30 Replies
482 Views
NB: Nina Akili Ndogo Sana. Just imagine timu 4 bora kila mmoja anacheza na mwenzie katika mfumo wa league?? Just imagine how enjoyable that thing might be. Huu mtindo wa mechi moja Nusu...
2 Reactions
22 Replies
277 Views
  • Featured
Shirikisho la Soka la Senegal limemfuta kazi kocha mkuu Pape Thiaw na benchi lake lote la ufundi baada ya kutolewa katika hatua ya 32 bora, wiki chache tu baada ya kusaini mkataba mpya kabla ya...
6 Reactions
17 Replies
568 Views
Nikweli ni yeye Mchezaji wa Yanga SC Ibrahim Bacca amejikuta kwenye doso Kali baada ya kurejea kazini kwake kwenye kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM) huku akiulizwa kwanini alifungisha...
1 Reactions
9 Replies
348 Views
Mchezaji pekee kutoka Tanzania kushinda CAF champions league. Mchezaji pekee wa Tanzania kua top scorer kwenye CAF Champions League. Mchezaji pekee Africa mashariki kushinda tuzo ya Mchezaji...
15 Reactions
59 Replies
5K Views
Back
Top Bottom