Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Katika Kombe la Dunia 2026, maelfu ya picha zimeonyesha matukio makubwa, furaha, huzuni na kumbukumbu ambazo zimebeba hadithi za mashindano haya na kila picha ina simulizi yake.
2 Reactions
1 Replies
174 Views
Bingwa World Cup 2026 ni Hispania. Hawa madogo ni wapambanaji. Wameruhusu goli moja tu mpaka sasa. Sioni Ufaransa akitoboa. Aje Uingerea au Argentina fainali atakalishwa tu. Hayo ni maono yangu...
6 Reactions
22 Replies
564 Views
Michuano ya Kombe la Dunia inatarajiwa kufanyika kuanzia November 20 mpaka December 18 mwaka huu. Michuano ya mwaka huu ni mara ya kwanza kwa Kombe la Dunia kufanyika katika nchi ya Kiarabu lakini...
56 Reactions
32K Replies
2M Views
Ukweli ni kwamba dogo Yamal is living his best life at just 17 Nimeona siku za karibuni wachezaji wengi baada ya kubeba kombe waki-vibe with the sunglasses. Na kama sikosei dogo ndiyo...
15 Reactions
73 Replies
3K Views
  • Redirect
Kamara natoka chumba cha maudhui Kazi kwenu
7 Reactions
Replies
Views
Wamepata chao wamepambana nikiwa mwana Argentina nawapa hongera kina Yammine Yamal na ferran torres kwa kufunga goli.
2 Reactions
7 Replies
126 Views
Winga hatari wa Misri ambaye amejiunga na Liverpool akitokea AS ROMA ya Italia Mohamed Salah , anaweza kuipa Liverpool ubingwa wa kwanza , na hivyo kukata kiu ya mashabiki wa timu hiyo...
23 Reactions
137 Replies
19K Views
DARASA HURU 💁🏾‍♂️ Kuelekea Semi-final na ARGENTINA... Elcapitano Maestro 🗣Baadhi ya wana England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 akiwemo Tuchel 🇩🇪 wakiulizwa kuhusu Argentina kuelekea Nusu Fainali. 1. Jude Bellingham...
2 Reactions
27 Replies
635 Views
Mods msiunganishe huu Uzi hili ni muhimu. Huu sio utabiri ndo kitakachotokea. Fainali wataingia France na England ila England atabeba ubingwa wa Fifa World Cup 2026.
1 Reactions
68 Replies
1K Views
watu wengi wamejaribu kutoa tabiri zao kuhusu timu gani itabeba ubingwa wa dunia na wengi kuishia kugonga mwamba kwakuwa timu walizotabiri zimeshaondolewa kwenye michuano ya world cup Kabla...
7 Reactions
166 Replies
2K Views
Ebana Wanajamvi inakuwaje pande za huko? Poleni na majukumu, pilka pilka na mikiki mikiki ya hapa na pale ya kutafuta riziki maisha yaende. To my side really I can't complain as long as am sure...
4 Reactions
11 Replies
209 Views
Huyu ndie mwamba anaongoza kwa magoli mengi kombe la dunia mpaka Leo. Rekodi haijavunjwa Alivyoshinda alipewa bunduki kwa kuwa alikuwa mlenga shabaha Goli 13 Goat messi atayaweza haya Ngoja tuone
0 Reactions
2 Replies
110 Views
Mchezo wa kuwania nafasi ya tatu haukuwa namna ambayo kocha wa Ufaransa, Didier Deschamps, alitarajia kuhitimisha kipindi chake cha mafanikio makubwa akiwa usukani mwa timu hiyo. Vivyo hivyo kwa...
2 Reactions
49 Replies
1K Views
Sidhani kuna mtu mwenye akili na ufahamu atathubutu kuishabikia timu ya taifa mpira Argentina. Na kama watakuwepo wanahitaji msaada na walaaniwe. Wanavyomtukana na kumdhihaki Lamine Yamal wetu...
2 Reactions
23 Replies
284 Views
Sasa hapa tutajua nani anajua kutabili football Leo ni fainali kombe la dunia we unadhani nani atachukua ubingwa..? Ndio mechi mpaka ichezwe ndo utajua mshindi"- ni nani lakini kuna timu...
2 Reactions
6 Replies
91 Views
Hao watu huaga ni wabishi sana na wanaweza atakukupiga pia ndio wale CCM wajuaji
1 Reactions
6 Replies
77 Views
Wanawake mnao tazama mechi mbalimbali za mpira wa miguu mnafurahia au mnafuata mkumbo labda kwasababu mpenzi,rafiki,kaka au wazazi wako ni shabiki wa timu fulani. Kipi au nani akilikuvutia...
4 Reactions
17 Replies
185 Views
Wa argentina wanaipenda na kuiheshimu sana spain ivyo hawata waangusha wakoloni wao
1 Reactions
1 Replies
83 Views
Wachezaji wa Argentina waliiotea chupa ya maji ya kipa wa England, Jordan Pickford, ambayo ilikuwa na maelekezo yaliyoonyesha upande ambao kila mchezaji wa Argentina alitarajiwa kupiga penati...
7 Reactions
16 Replies
425 Views
Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kuhudhuria fainali ya Kombe la Dunia la FIFA itakayochezwa Jumapili, Julai 19, 2026 kati ya Argentina na Hispania katika Uwanja wa New Jersey New York...
2 Reactions
5 Replies
261 Views
Back
Top Bottom