Kadri Kombe la Dunia 2026 linavyokaribia tamati, mjadala kuhusu mshindi wa Ballon d'Or umechukua kasi. Miongoni mwa majina yanayotajwa zaidi ni nahodha wa Argentina, Lionel Messi, ambaye akiwa na...
Niliifahamu sura ya Messi kuwa ni mtu anapenda kuheshimiana, baada ya yule mchezaji mwenzake wa kumuita nani sijui, alikua na urafiki na mchezaji mwenzie wa hapo timu ya taifa ya Argentina.
Huyo...
Hawa miamba wamefanya ulimwengu umefurahi sana kila mmoja kwa nafasi yake kwa kile ambacho wamekionyesha kwenye mpira wa miguu.
Ni asilimia ndogo sana wanaweza kuwepo kwenye kombe lijalo la dunia...
Ubora wa mechi unachangiwa na vitu vingi mfano; intensity ya mechi,element of suprise,Level ya ushindani na ufundi,vibe la nje ya uwanja, mvuto wa wachezaji husika, n.k
kwa mtazamo wangu Hizi ni...
Kabla kabisa ya Kombe la Dunia kuanza kwa Kujiamini kabisa Mwamba wa Michezo JamiiForums (nikiwa nimepata Tuzo hapa Jukwaani) miaka kadhaa imepita GENTAMYCINE timu zangu ambazo nilizichagua na...
Katika Kombe la Dunia 2026, maelfu ya picha zimeonyesha matukio makubwa, furaha, huzuni na kumbukumbu ambazo zimebeba hadithi za mashindano haya na kila picha ina simulizi yake.
Bingwa World Cup 2026 ni Hispania. Hawa madogo ni wapambanaji. Wameruhusu goli moja tu mpaka sasa. Sioni Ufaransa akitoboa.
Aje Uingerea au Argentina fainali atakalishwa tu. Hayo ni maono yangu...
Michuano ya Kombe la Dunia inatarajiwa kufanyika kuanzia November 20 mpaka December 18 mwaka huu. Michuano ya mwaka huu ni mara ya kwanza kwa Kombe la Dunia kufanyika katika nchi ya Kiarabu lakini...
Ukweli ni kwamba dogo Yamal is living his best life at just 17
Nimeona siku za karibuni wachezaji wengi baada ya kubeba kombe waki-vibe with the sunglasses.
Na kama sikosei dogo ndiyo...
Winga hatari wa Misri ambaye amejiunga na Liverpool akitokea AS ROMA ya Italia Mohamed Salah , anaweza kuipa Liverpool ubingwa wa kwanza , na hivyo kukata kiu ya mashabiki wa timu hiyo...
DARASA HURU 💁🏾♂️
Kuelekea Semi-final na ARGENTINA...
Elcapitano Maestro 🗣Baadhi ya wana England 🏴 akiwemo Tuchel 🇩🇪 wakiulizwa kuhusu Argentina kuelekea Nusu Fainali.
1. Jude Bellingham...
Mods msiunganishe huu Uzi hili ni muhimu.
Huu sio utabiri ndo kitakachotokea.
Fainali wataingia France na England ila England atabeba ubingwa wa Fifa World Cup 2026.
watu wengi wamejaribu kutoa tabiri zao kuhusu timu gani itabeba ubingwa wa dunia na wengi kuishia kugonga mwamba kwakuwa timu walizotabiri zimeshaondolewa kwenye michuano ya world cup
Kabla...
Ebana Wanajamvi inakuwaje pande za huko? Poleni na majukumu, pilka pilka na mikiki mikiki ya hapa na pale ya kutafuta riziki maisha yaende.
To my side really I can't complain as long as am sure...
Huyu ndie mwamba anaongoza kwa magoli mengi kombe la dunia mpaka Leo. Rekodi haijavunjwa
Alivyoshinda alipewa bunduki kwa kuwa alikuwa mlenga shabaha
Goli 13
Goat messi atayaweza haya
Ngoja tuone
Mchezo wa kuwania nafasi ya tatu haukuwa namna ambayo kocha wa Ufaransa, Didier Deschamps, alitarajia kuhitimisha kipindi chake cha mafanikio makubwa akiwa usukani mwa timu hiyo. Vivyo hivyo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.