Msaada kuhusu akaunti yangu ya Gal Sport

Msaada kuhusu akaunti yangu ya Gal Sport

kipaya45

New Member
Joined
Jul 16, 2026
Posts
1
Reaction score
1
Jamani naomba mnisaidie nimeweka pesa kwenye account yangu ya gal spot toka jana pesa yangu haijaingia kwenye account yangu lakini Salio limekatwa na ujumbe nimepokea wa kukamilika kwa muamala
 
Acha kabisa kutumia gal sport, sitasema mengi ila hao ni sawa na m-bet

Tumia kampuni zote ila sio wibet, gal sport na piga bet kimbia kabisa
 
Pole sana, bora upunwe kwenye mkeka kuliko mwamala ambao haukukamilika hasa deposit.

Kuna siku nimeunda odds 6 nilitaka niweke stake solid rocket booster halafu ikashindwa kufika kwa wakati.
Deposit inakamilika mechi mbili zimeshaanza na zimeanza kukamilisha kazi niliyotaka, nikakata tamaa maana odds zilikuwa zimeshuka zimefika 2. Ule mkeka ulitiki ila niliilaani sana ile kampuni.
 
Back
Top Bottom