Tiketi ni za moto sana na maisha ya USA yapo juu mno ndio maana atuoni matangazo ya makampuni kutoa ofa ya watu kwenda kuona hata mechi moja
Tiketi ya bei chee ni 30m+ huu ni mtaji
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeanzisha mauzo ya vipande vya nyasi halisi vitakavyotumika kwenye mechi ya fainali ya Kombe la Dunia 2026, hatua iliyozua mjadala mkubwa...
Kamati ya Mashindano ya TFF imeitoza Azam FC faini ya shilingi milioni 50 kwa kukataa kushiriki kwenye sherehe za kukabidhiwa tuzo na zawadi baada ya fainali ya Kombe la Shirikisho (FA)...
Zangu Fundi na kwa Kujiamini kabisa nina uhakika 4 zitatoboa hadi Nusu Fainali, 2 Fainali na 1 kuwa Bingwa kabisa
1. ARGENTINA
2. GERMANY
3. SPAIN
4. MEXICO
5. NETHERLANDS
6. SENEGAL
7. GHANA
Na...
Ronald Koeman amejiuzulu rasmi kama kocha mkuu wa timu ya taifa ya Uholanzi baada ya timu hiyo kutolewa kwenye Kombe la Dunia 2026 katika hatua ya 32 bora kufuatia kufungwa na Morocco kwa mikwaju...
Ni aibu kwakweli nilipita Songea uwanja wa maji maji nilikuwa naangalia mpira mchezaji akapiga shoot kwa kipa kipa akaukosa ukapaa juu hadi nje ya uzio wa ukuta yaan ukawapita mashabiki hadi nje...
NB: Nina Akili Ndogo Sana.
Just imagine timu 4 bora kila mmoja anacheza na mwenzie katika mfumo wa league?? Just imagine how enjoyable that thing might be.
Huu mtindo wa mechi moja Nusu...
Shirikisho la Soka la Senegal limemfuta kazi kocha mkuu Pape Thiaw na benchi lake lote la ufundi baada ya kutolewa katika hatua ya 32 bora, wiki chache tu baada ya kusaini mkataba mpya kabla ya...
Nikweli ni yeye
Mchezaji wa Yanga SC Ibrahim Bacca amejikuta kwenye doso Kali baada ya kurejea kazini kwake kwenye kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM) huku akiulizwa kwanini alifungisha...
Mchezaji pekee kutoka Tanzania kushinda CAF champions league.
Mchezaji pekee wa Tanzania kua top scorer kwenye CAF Champions League.
Mchezaji pekee Africa mashariki kushinda tuzo ya Mchezaji...
Hapa hata Taifa Stars itapata nafasi ya kushiriki Kombe la Dunia au Wadau mnasemaje?
Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amesema shirikisho hilo litajadili uwezekano wa kuongeza idadi ya timu...
Kombe la Dunia (FIFA World Cup) limechukuliwa na mataifa 8 tu tangu mashindano hayo yaanze mwaka 1930.
Brazil ndiyo nchi yenye mataji mengi zaidi ya Kombe la Dunia ikiwa na mataji 5. Bingwa wa...
Wakuu nimemtumia siku tatu kufanya marejeo ya videos na clips mbali mbali zinazohusu matukio yaliyotokea kwenye mechi ya hatua ya 16 Bora kati ya Argentina na Egypt.
Nimefikia muafaka huu...
Goli la kuvutia la muda wa nyongeza lililofungwa na Julián Álvarez liliizamisha Uswisi, iliyokuwa ikicheza na wachezaji 10, na kuipeleka Argentina nusu fainali..
Kuna mtu alifikiria wangefanya...
Klabu ya Young Africans imemtangaza rasmi kocha raia wa Afrika Kusini, Manqoba Mngqithi, kuwa kocha wao mkuu mpya atakayeongoza benchi la ufundi la mabingwa hao wa kihistoria wa Tanzania Bara...
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kombe la Dunia la FIFA, timu nne zinazoongoza katika viwango vya ubora vya FIFA (FIFA World Rankings) zimefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali.
Hatua ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.