Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

  • Featured
Ronald Koeman amejiuzulu rasmi kama kocha mkuu wa timu ya taifa ya Uholanzi baada ya timu hiyo kutolewa kwenye Kombe la Dunia 2026 katika hatua ya 32 bora kufuatia kufungwa na Morocco kwa mikwaju...
7 Reactions
66 Replies
987 Views
Ni aibu kwakweli nilipita Songea uwanja wa maji maji nilikuwa naangalia mpira mchezaji akapiga shoot kwa kipa kipa akaukosa ukapaa juu hadi nje ya uzio wa ukuta yaan ukawapita mashabiki hadi nje...
8 Reactions
30 Replies
482 Views
NB: Nina Akili Ndogo Sana. Just imagine timu 4 bora kila mmoja anacheza na mwenzie katika mfumo wa league?? Just imagine how enjoyable that thing might be. Huu mtindo wa mechi moja Nusu...
2 Reactions
22 Replies
277 Views
  • Featured
Shirikisho la Soka la Senegal limemfuta kazi kocha mkuu Pape Thiaw na benchi lake lote la ufundi baada ya kutolewa katika hatua ya 32 bora, wiki chache tu baada ya kusaini mkataba mpya kabla ya...
6 Reactions
17 Replies
568 Views
Nikweli ni yeye Mchezaji wa Yanga SC Ibrahim Bacca amejikuta kwenye doso Kali baada ya kurejea kazini kwake kwenye kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM) huku akiulizwa kwanini alifungisha...
1 Reactions
9 Replies
348 Views
Mchezaji pekee kutoka Tanzania kushinda CAF champions league. Mchezaji pekee wa Tanzania kua top scorer kwenye CAF Champions League. Mchezaji pekee Africa mashariki kushinda tuzo ya Mchezaji...
15 Reactions
59 Replies
5K Views
  • Featured
Hapa hata Taifa Stars itapata nafasi ya kushiriki Kombe la Dunia au Wadau mnasemaje? Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amesema shirikisho hilo litajadili uwezekano wa kuongeza idadi ya timu...
7 Reactions
34 Replies
1K Views
Kombe la Dunia (FIFA World Cup) limechukuliwa na mataifa 8 tu tangu mashindano hayo yaanze mwaka 1930. Brazil ndiyo nchi yenye mataji mengi zaidi ya Kombe la Dunia ikiwa na mataji 5. Bingwa wa...
7 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu nimemtumia siku tatu kufanya marejeo ya videos na clips mbali mbali zinazohusu matukio yaliyotokea kwenye mechi ya hatua ya 16 Bora kati ya Argentina na Egypt. Nimefikia muafaka huu...
2 Reactions
16 Replies
375 Views
Goli la kuvutia la muda wa nyongeza lililofungwa na Julián Álvarez liliizamisha Uswisi, iliyokuwa ikicheza na wachezaji 10, na kuipeleka Argentina nusu fainali.. Kuna mtu alifikiria wangefanya...
0 Reactions
3 Replies
171 Views
Klabu ya Young Africans imemtangaza rasmi kocha raia wa Afrika Kusini, Manqoba Mngqithi, kuwa kocha wao mkuu mpya atakayeongoza benchi la ufundi la mabingwa hao wa kihistoria wa Tanzania Bara...
8 Reactions
25 Replies
785 Views
Ebu wale waswahili wanaoishabikia Argentina wapitie hii video halafu wajitafakari. https://youtu.be/5Tp7uBeT0qI?si=Sw1A7kp4uiRfNoeR
5 Reactions
15 Replies
339 Views
  • Featured
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kombe la Dunia la FIFA, timu nne zinazoongoza katika viwango vya ubora vya FIFA (FIFA World Rankings) zimefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali. Hatua ya...
8 Reactions
58 Replies
2K Views
https://www.youtube.com/watch?v=AemOB_qdHo0 Pamoja na kukosa penati
1 Reactions
1 Replies
76 Views
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, amethibitisha kuwa Mfumo wa Video Support (VS) unatarajiwa kuanza kutumika katika Ligi Kuu ya Tanzania msimu ujao. Tanzania...
1 Reactions
9 Replies
275 Views
  • Redirect
Kamati ya Mashindano ya TFF imeitoza Azam FC faini ya shilingi milioni 50 kwa kukataa kushiriki kwenye sherehe za kukabidhiwa tuzo na zawadi baada ya fainali ya Kombe la Shirikisho (FA)...
0 Reactions
Replies
Views
Nyota wa Mamelodi na timu ya taifa ya South Africa, Jayden Adams (25) amefariki dunia leo. Kiungo huyo amefariki dunia siku chache baada ya kushiriki fainali za kombe la Dunia, Marekani lakini...
0 Reactions
7 Replies
447 Views
Bos amepaniki, Kauli aliyotoa mmilikiwa Timu ya Azam ndugu bakhresa kwamba wanajitoa kwenye ligi na kuhamia Zanzibar ni kashfa kubwa sana. Kashfa hii inaweza kukimbiza wawekezaji wa mpira na...
6 Reactions
33 Replies
650 Views
Back
Top Bottom