Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Miongoni mwa maswali najiuliza kila uchwao ni kwanini Mungu aliitwa Mungu na sio jina lingine?,Ni nani alimpatia hilo jina? Na kama yupo alikuwa nani? Kwanini Mungu hakummaliza shetani hukohuko...
4 Reactions
132 Replies
9K Views
Umewahi kujiuliza kati ya kuku na yai nini kilitangulia? Hili swali sio geni, ila umewahi kulifikiria na kutafuta jibu lake? Kwanini wenye jibu sahihi hawataki kulitoa? 1. Ni kuku kwanza, halafu...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Hapa duniani kuna Imani nyingi sana. Kila mmoja anavutia kwake kwamba imani yake iko sahihi. Nahakuna hata mmoja anayekuja na maelezo sahihi kuhusu ukweli wa imani yake. Leo rafiki zangu...
23 Reactions
469 Replies
88K Views
Ndugu zangu naleta kwenu hii Nadharia ya Mwisho wa Dunia kwa mujibu wa Mafundisho ya Sauti ya Unabii kutoka kwa Elen G White. Hawa wenzetu wasabato wanaamini kipindi cha Mwisho wa dunia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
One of the tough nuts humans have struggled to crack is consciousness. that is because it is tough to even define it. However, today I Mr. Mc, would argue that the best definition of...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
WISH FULFILL WITHIN AN HOUR Je ulishawahi kutamani jambo litokee kwa haraka na urahisi zaidi na likashindikana? Hii hapa njia rahisi ya kutimiziwajamb unalotaka kwa muda mfupi. Jinsi ya...
15 Reactions
491 Replies
110K Views
Mfano nchi ya China 90%, North Korea 99% hawajui Quran wala Biblia. Pia huku Africa miaka ya 1900 kurudi nyuma dini zilikuwa bado hazijafika, nchi kama North Korea ni strictly prohibited...
21 Reactions
3K Replies
172K Views
Salute! P.S: Awali ya yote niseme tu wazi, sikuanzisha uzi huu ili mtu ajaribu kuiba pesa bank, nia yangu ni kuwapa uhalisia wa usalama wa pesa zako ziwapo benki na pia kuAlert mabenki waendelee...
124 Reactions
275 Replies
84K Views
Habari wana JF. Hivi ni kweli Masons, wanatumia kitabu cha The 66 Law of Illuminati. Secrets of Success? Kwamba ndio kinawafanya wanapata maendeleo? Nimejaribu kusoma juu kwa juu. Ila kwa wale...
8 Reactions
31 Replies
9K Views
"OPERATION SINAI EAGLE" ILIZIMA DEMOKRASIA NCHINI MISRI, NA IMEKATISHA MAISHA YA Dr MOHAMMAD MORSI. Na.Comred Mbwana Allyamtu Wednsday-19/6/2019 Moshi, Kilimanjaro - Tanzania. Demokrasia...
8 Reactions
53 Replies
8K Views
𝐖𝐚𝐤𝐮𝐮 𝐡𝐚𝐛𝐚𝐫𝐢𝐧𝐢 𝐳𝐚 𝐰𝐚𝐤𝐚𝐭𝐢 𝐦𝐰𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐭𝐞𝐧𝐚. 𝐊𝐰𝐚𝐧𝐳𝐚 𝐤𝐚𝐛𝐢𝐬𝐚 𝐧𝐢𝐰𝐚𝐬𝐡𝐮𝐤𝐮𝐫𝐮 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚 𝐉𝐅, 𝐤𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐧𝐢𝐦𝐞𝐤𝐮𝐣𝐚 𝐤𝐮𝐠𝐮𝐧𝐝𝐮𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐡𝐚𝐩𝐚 𝐧𝐢 𝐦𝐨𝐣𝐚𝐰𝐚𝐩𝐨 𝐲𝐚 𝐯𝐲𝐚𝐧𝐳𝐨 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐯𝐲𝐚 𝐦𝐚𝐚𝐫𝐢𝐟𝐚, 𝐞𝐥𝐢𝐦𝐮, 𝐩𝐚𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐧𝐚 𝐮𝐣𝐢𝐧𝐠𝐚 𝐩𝐢𝐚...
15 Reactions
48 Replies
6K Views
Ukiangalia kwa unfdani utaona kuwa dini nyingi ni matokeo ya maisha magumu. Kisaikolojia mtu akiwa frustrated na ugumu wa maisha huanza kuota ndoto za mchana na kufantasize maisha yasiyo na taabu...
8 Reactions
131 Replies
6K Views
1. Siku zote kumbuka kuwa hakuna mtu duniani ambaye hana matatizo. Hivyo si wewe pekee mwenye matatizo. 2. Changamoto ni sehemu ya maisha. Ni mtu aliyekufa tu ambaye hana changamoto. 3. Hakuna...
26 Reactions
41 Replies
5K Views
WAZEE HEBU TULIANGALIE HILI KWA MAMBO YA KODI ONLY KUSAFIRISHA KWA NCHI ZINAZORUHU People have been using marijuana and hemp for generations upon generations. In addition to being used as a...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ushawahi kugundua kwanini watu ambao wameonja umauti, wakirudi duniani huwa wanakosa kauli? Au wengine wanaongea vitu ambavyo havieleweki? Unadhani ni nini hasa kinachopelekea mpaka mtu ambaye...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Kama waswahili wasemavyo maisha ni safari ndefu na kifo ni Siri, pengine hili ni kweli kutokana na sintofahamu iliyochukua uhai wa Alexander Litvinenko, jasusi wa zamañi wa KGB na baadae FSB ya...
18 Reactions
34 Replies
10K Views
Kidokezo, Wakati fulani nimekua nikijiuliza maswali magumu yenye majibu mepesi, na nimekua nikitoa majibu mepesi katika maswali yenye majibu magumu. Ni kwa sababu ni hulka yangu kufikiri na...
10 Reactions
58 Replies
6K Views
The issue of alien existence or non existence has raised alot of interest for the human race,are aliens there or not? there have been claims of encounters with extraterrestrial life and objects...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kimsingi, kanuni ya anthropic ni dhana inayosema kwamba hali yetu ya kuwepo ulimwenguni inategemea hali maalum ya ulimwengu wetu. Dhana hii inaamini kuwa ulimwengu wetu umetayarishwa kwa njia...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakristo wengi wanaamini Biblia Ni maandiko takatifu na ndo yanawapa mwongozo watu katika maisha yenye maadili. Lakini mbona Biblia yenyewe Ina maandiko yasio na maadili na pia Mungu wa kwenye...
19 Reactions
200 Replies
11K Views
Back
Top Bottom