Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

On JF:

Kama ni Muundo wa Ubongo ni Uleule kwa WANAADAMU wote ...kama ni vyakula pengine Afrika tunakula Vizuri zaidi more natural(organic) kuliko wao ... Swali Langu ni Kwamba ..Hizi artificial...
11 Reactions
103 Replies
5K Views
Kabla ya kuja Kwa Ukristo na hatimaye Uislamu Afrika, watu wa Afrika walikuwa wanaabuduje? Jee na wao walikuwa wana siku, wiki, mwezi na mwaka Kwa mfumo huu uliopo Sasa au ilikuwaje? Walimini...
6 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari wadau wote wa JF Hakuna kitu kibaya kama kumwacha mtu akufafanue au kukuelezea kama vile ww mwenyew hujijui. Don't let anyone define you and don't let anyone define your beliefs. Kuna...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Ikiwa katika mfuatano wa namba msingi yani 0-9/1-9, namba saba inaonekana ni namba ya kawaida kabisa, lakini kwa taarifa yako hii ndio namba ya ukamilifu inayoendesha dunia na ndio namba yenye...
48 Reactions
310 Replies
76K Views
Habari! Hapa nazungumzia hawa miungu au Mungu maarufu duniani ambao mafundisho yao yameenea sana. Dini hizi zilizoonea sana zinasema kuwa Mungu ni; - Baba(mzazi) -Muweza wa yote -Yupo kila pahali...
9 Reactions
45 Replies
4K Views
Idadi kubwa ya watu haswa jamii yangu ya kitanzania imekubwa na tatizo sugu la msongo wa mawazo. Tatizo hilo limekuwa sugu kiasi kwamba watu wengi huishia katika maamuzi mabaya na hata wachache...
3 Reactions
3 Replies
620 Views
Habari zenu wana intelijensia,,Naomba msaada wa maelezo kuhusu short course ya GIS hapa Dar na fursa zake katika soko la Ajira mana nahitaji kusoma short course ya hii kitu,nina shahada ya Uongozi...
0 Reactions
29 Replies
12K Views
Usichanganyikiwe na Dunia, Mambo Ndivyo Yalivyo.. Tuna Wanawake Malaika lakini Hatuna Malaika wa Kike.. 💫💫💫💫💫 ©️ Mwl. Makungu m.s 0743781910 Ndugu yangu unapokuwa katika dunia hii...
56 Reactions
122 Replies
10K Views
King Tut continues to astound the archaeological community, as new research shows that the ancient Egyptian child pharaoh was buried with a dagger that originated in outer space. The iron blade...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakati wa mafunzo yangu huko mbali na baadae kazini nilipata mara si haba wasaa wa kukaa na wagonjwa waliokuwa katika dakika zao za mwisho za kufariki... Wachache nilikuwa nao mpaka roho inaachana...
29 Reactions
236 Replies
39K Views
COMMANDO RAID ON DAR ES SALAAM, TANZANIA 1972 BY SOUTH AFRICAN SPECIAL FORCES (RECCE) from The Silent War: South African Recce Operations 1969-1994 by Peter Stiff FRELIMO, like half a dozen other...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Leo GENTAMYCINE Kazi yangu Kubwa katika huu Uzi ni Kusoma tu Comments zenu ili Nielimike zaidi nikiamini kuwa hapa JamiiForums kuna Wabobezi na Wazoefu wa Fani hii inayoitwa ya Wenye Nchi.
9 Reactions
40 Replies
6K Views
Habari za muda sisi waafrica tuna miiko ya mambo na vitu mbali mbali, 2010 mpaka sasa miiko imekuwa ikipuuziwa tu na wengine wakisema ni mambo ya kizamani ebu tuone, moja wapo ya miiko hiyo ni...
2 Reactions
61 Replies
8K Views
Enzi zile nasoma shule ya msingi kulikuwa na vijana waliokuwa wakija shule kwa ajili ya mazingombwe. Walikuwa wakifika shuleni mara kwa mara kwa ajili ya maonyesho hayo. Walikuwa wakipewa kibali...
9 Reactions
334 Replies
91K Views
Habarini za ijumaa wakuu. Natumaini mpo salama sana poleni kwa mihangaiko. Naomba niletee kwenu Uzi huu kuhusu huyu kiumbe ambaye nimeanza kumsikia kwenye biblia mpaka baadhi ya mitandao ya habark...
19 Reactions
127 Replies
27K Views
Habari ndugu wana jamii forums. Kwa muda mrefu sana watu wasio amini uwepo wa Mungu "Atheist" wamekuwa wakipingwa, kukosolewa na kuonekana kama watu wa ajabu kutokana na mitazamo yao tofauti...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Katika kusoma soma kwangu kwenye hiki kitabu 'biblia' nikakutana na maneno haya ''Kwa mara nyingine, ibilisi akamchukua Yesu mpaka kwenye kilele cha mlima mrefu na kumwonyesha falme zote za dunia...
4 Reactions
46 Replies
5K Views
Salaam wakuu, Baada ya kuboreka vya kutosha na Bunge la katiba, hebu chukua popcorn tubadilishane mawazo. Tangu kuumbwa kwa ulimwengu, kumekuwa na baadhi ya binadamu wachache ambao wamekuwa ni...
129 Reactions
415 Replies
115K Views
Back
Top Bottom