Mara nyingi wanajeshi husema kuwa wanapindua nchi sababu ya uongozi mbaya, kwa ajili ya wananchi blah blah. Ukweli hizo si sababu kabisa zinazofanya wafanye hivyo.
Mara nyingi wanajeshi hupindua...
Wadau nawasabahi.
Nimeona nije na baadhi ya MASWALI MAGUMU yaliyokosa Majibu kupata kutokea hapa Tanzania licha ya Vyombo husika kuwepo. Miongoni ya Maswali hayo ni haya
1.Nani ALIMTEKA...
Kulikuwa na maneno nikiyasikia kwa muda mrefu kwamba TISS huwa hawalali akaja Rais Magufuli kuyapigilia msumari kuwa kweli TISS hawalali wakati akizindua ujenzi wa makao makuu ya TISS Zanzibar...
Alijua kuwa ni kosa litakalo mgharimu maisha yake. Haijalishi kama kifo chake kitachelewa au kitawahi lakini kwa vyovyote vile Waisraeli wasingeweza kumuacha hai kwa kosa la kumwaga damu ya...
Wasalaam, wapambanaji:
Tunaamini kila mtu ameletwa hapa duniani kwa sababu maalum na kazi maalumu, kuna walioletwa kuongoza, kufundisha, kugundua/vumbuzi, madktari, ma-engnineer na kila namna...
Wakuu kwema?
Katika kutafakari mambo ya dunia,tafiti na dhana mbalimbali kuna mambo ambayo yanahitaji kujadiliwa na wajuzi ili tusio na uelewa tuelewe.
Sasa wanabodi nimejaribu kutafakari...
Top 10 Best Modern Militaries/Armed Forces
Who do you think are the top 10 best Militaries/Armed Forces in the world? In other words if each country was to go in an all out war with each other...
Biblia ina andiko la wakati Mungu akimpa Adam mamlaka ya dunia, Adam anashindwa kuitii amri ya Mungu na hatimaye anaishia kumkabidhi mamlaka hayo shetani.
Quran inasema "isipokuwa kwa wajakazi...
Salaam ndugu zangu,
Naomba ufafanuzi wa kina juu ya mambo ya ibada za mtu mweusi kabla hajapata ugeni kutoka nje ya Africa, je alikuwa mpagani yaani haamini katika Mungu ama alikuwa anamwabudu...
Jina la kitabu:OIL POWER AND WAR
Mwandishi:MATTHIEU AUZANNEAU
Mchambuzi: Nanyaro EJ
Utangulizi!
Mwandishi wa kitabu hiki ambacho kwa undani kitaelezea historia adhimu kabisa ya mambo ya...
Wana Theolojia, Kwanini mtu Anazaliwa na Dhambi na kurithi automatically, Lakini sio ukombozi?
Ingawa vyote vilitokea kabla ya mtu kuzaliwa?
Kwa nini mtu huyu asizaliwe na ukombozi tayari?
MWAMINI NI #KIUMBE_KIPYA
Je unajua nini kilitokea katika kuokolewa kwako?
Je! Unafahamu umekuwa nini mara baada ya kuwa na imani katika kufa kuzikwa na kufufuka kwa Kristo ili wewe uhesabiwe...
Tumezoea kusoma na kufanyia mitihani nadharia za wazungu.Leo na mimi mswahili naleta nadharia yangu juu ya mgawanyo wa ukoloni.Napendekeza wasomeshwe vijana wetu wa masomo ya DS mwaka wa mwanzo na...
Unaweza kuita uchawi au ushirikina lakini sigils ni alama za kishetani ambazo ukizichanga kwa kufuata mifumo yake hukupa matokeo unayotaka iwe ni kwenye ishu za mapenzi ngekewa bahati mali...
UTANGULIZI.
Uzi huu unalengo la kuelezea nadharia mbali mbali ambazo bado hazijawekwa wazi sana kuhusu imani katika dini kuanzia historia yake hadi kujibu maswali mbali mbali yahusuyo dini kama...
Life is a beautiful journey filled with endless possibilities and opportunities. It is a precious gift that should be cherished and embraced wholeheartedly. Each day brings forth new experiences...
Nikiwa Nawaza na Kuwazua kuhusu Mambo kadha wa Kadha wazo linanijia Kichwani, wazo lenyewe ni Kuhusu Kitabu hiki tata, kinaitwa The Davinc'i Code!
Mawazo yanayonipelekea kukaa nyuma ya Keyboard ya...
"KWA WA CUBA CASTRO ALIKUWA CUBA NA CUBA ILIKUWA CASTRO.
Na KINGO SR[emoji736]
(Kingoinversion on plyastore & Instagram)
"Fidel Alejandro Castro Ruz alifariki usiku wa saa 4:29 siku ya tarehe...
Ipo nadharia ya kusafiri muda (time traveling), maana yake ni kua mtu anaweza kutoka leo au sasa na kwenda past yani jana au siku ama miaka ya nyuma.
Yaani kama leo ni 2023, binadamu anaweza...
Kumekuwa na hadithi nyingi sana katika ulimwengu huu tunaoishi kuwa hatupo tu binadamu na wanyama pekee yetu bali pia kuna viumbe wengine wanaishi walio kama sisi maumbo mithili ya kwetu, akili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.