Hakuna faida ya dini hii, ni bora isiwepo kabisa. Dini bora ni hii nyingine

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,471
23,744
binafsi sina Dini ina namuamini Mungu. Dini ni mpango wa shetani kuwakamata watu wanaoamini wanamtumikia au mwabudu Mungu. huwa najiuliza huyu mwenye Dini ambaye anabagua wengine ambao si wa dini yake na kuwachukia huyu si tayari anafanya kazi ya shetani? kama una dini na ukawaita wenzio majina mabaya ya kubeza au wewe kujitweza kama vile ni bora kuliko wengine hii si ni tabia ya shetani kabisa?

kma utaua wengine ukitetea dini wewe unamwabudu Mungu gani ambaye inabidi utetee dini yake au umtetee? Mungu navyoamini hatetewi kwa mauaji ya watu wengine kama vile usipowaua hao basi wataenda kumuua mungu wako. Mungu anatetewa kwa kutenda mema na kufuata yale yaliyo mema.

babu zetu walikuwa na dini. nazo zilikuwa na mapungfu yao kadhaa. lakini kama tungeweza kuunda dini ambayo inatokana na Dini za Asili, Ukristo na Uislamu pengine tungepata Dini moja CHotara nzuri sana. Dini ambayo itafundisha mambo makuu yafuatayo
1. Upendo
2. Msamaha
3. Amani
4. Udugu
5. ushirikiano

dini ambayo itapingana kabisa na mambo kama
1. kuuana
2. kuchukiana
3. kubaguana
4. kutengana
5. uchoyo
6. malipizi
7. zinaa
etc

nataka kuwe na dinia mbayo itajali wagonjwa, yatima, maskini, wajane wenye dhiki na mateso mbali mbali. hii ndiyo dini ambayo ingewafaa waafrika. waafrika wangeishi kwa amani na upendo na wangeweza sambaza dini hii kwa wengine. ni upumbavu kuja kunambia "hii ndo dini ya kweli " wakati najua uongo mwingi ulioko kwenye vitabu na mahubiri au matendo ya mhusika au wahusika.

kama unaonesha chuki kwa wasio na dini yako unadhani hiyo chuki itaishia hapo? chuki husambaa. utawatenga wasio na dini yako mkabaki wenyewe ndai ya dini nako utagundua kuna dhehebu mbalimbali. utatenga na ukiwa kwenye dhehebu lako utagundua pia kuna watu wana utofaut flani na wewe utawatenga mwishoni utajikuta upo peke yako.

kuna watu wanaamini wao ni waarabu kabisa kwa sababu ya dini ya ki arabu ambayo inabeba tamaduni za kiarabu. dini ni utamaduni kama hujui. na hawa wanawachukia waafrika wenzao ambao walikuwa ndugu zao kabisa miaka KADHAA KABLA YA UTUMWA. alipokuja mwaarabu akawawekea mipaka kuwa anayefuata utamaduni huu wa kiarabu kama wewe ndo ndugu yako asiye si ndugu yako. wapumbavu. narudia.si wajinga. wapumbavu

kuna watu wanaamini wao ni wazungu kabisa kwa sababu ya dini ambayo inaasili ya mashariki ya kati lakini ikaenezwa au kuchukuliwa na wazungu. na hawa nao huwatenga wengine kuwa si ndugu zao wakisahau miaka kadhaa nyuma KABLA YA BIASHARA YA UTUMWA walikuwa ni ndugu zao.wapumbavu.narudia.si wajinga.wapumbavu.

dini iliyo safi ni dini inayojali yatima,maskini,wagonjwa,wenye dhiki na shida.
 
binafsi sina Dini ina namuamini Mungu. Dini ni mpango wa shetani kuwakamata watu wanaoamini wanamtumikia au mwabudu Mungu. huwa najiuliza huyu mwenye Dini ambaye anabagua wengine ambao si wa dini yake na kuwachukia huyu si tayari anafanya kazi ya shetani? kama una dini na ukawaita wenzio majina mabaya ya kubeza au wewe kujitweza kama vile ni bora kuliko wengine hii si ni tabia ya shetani kabisa?

kma utaua wengine ukitetea dini wewe unamwabudu Mungu gani ambaye inabidi utetee dini yake au umtetee? Mungu navyoamini hatetewi kwa mauaji ya watu wengine kama vile usipowaua hao basi wataenda kumuua mungu wako. Mungu anatetewa kwa kutenda mema na kufuata yale yaliyo mema.

babu zetu walikuwa na dini. nazo zilikuwa na mapungfu yao kadhaa. lakini kama tungeweza kuunda dini ambayo inatokana na Dini za Asili, Ukristo na Uislamu pengine tungepata Dini moja CHotara nzuri sana. Dini ambayo itafundisha mambo makuu yafuatayo
1. Upendo
2. Msamaha
3. Amani
4. Udugu
5. ushirikiano

dini ambayo itapingana kabisa na mambo kama
1. kuuana
2. kuchukiana
3. kubaguana
4. kutengana
5. uchoyo
6. malipizi
7. zinaa
etc

nataka kuwe na dinia mbayo itajali wagonjwa, yatima, maskini, wajane wenye dhiki na mateso mbali mbali. hii ndiyo dini ambayo ingewafaa waafrika. waafrika wangeishi kwa amani na upendo na wangeweza sambaza dini hii kwa wengine. ni upumbavu kuja kunambia "hii ndo dini ya kweli " wakati najua uongo mwingi ulioko kwenye vitabu na mahubiri au matendo ya mhusika au wahusika.

kama unaonesha chuki kwa wasio na dini yako unadhani hiyo chuki itaishia hapo? chuki husambaa. utawatenga wasio na dini yako mkabaki wenyewe ndai ya dini nako utagundua kuna dhehebu mbalimbali. utatenga na ukiwa kwenye dhehebu lako utagundua pia kuna watu wana utofaut flani na wewe utawatenga mwishoni utajikuta upo peke yako.

kuna watu wanaamini wao ni waarabu kabisa kwa sababu ya dini ya ki arabu ambayo inabeba tamaduni za kiarabu. dini ni utamaduni kama hujui. na hawa wanawachukia waafrika wenzao ambao walikuwa ndugu zao kabisa miaka KADHAA KABLA YA UTUMWA. alipokuja mwaarabu akawawekea mipaka kuwa anayefuata utamaduni huu wa kiarabu kama wewe ndo ndugu yako asiye si ndugu yako. wapumbavu. narudia.si wajinga. wapumbavu

kuna watu wanaamini wao ni wazungu kabisa kwa sababu ya dini ambayo inaasili ya mashariki ya kati lakini ikaenezwa au kuchukuliwa na wazungu. na hawa nao huwatenga wengine kuwa si ndugu zao wakisahau miaka kadhaa nyuma KABLA YA BIASHARA YA UTUMWA walikuwa ni ndugu zao.wapumbavu.narudia.si wajinga.wapumbavu.

dini iliyo safi ni dini inayojali yatima,maskini,wagonjwa,wenye dhiki na shida.
Dini ya kiislamu
 
binafsi sina Dini ina namuamini Mungu. Dini ni mpango wa shetani kuwakamata watu wanaoamini wanamtumikia au mwabudu Mungu. huwa najiuliza huyu mwenye Dini ambaye anabagua wengine ambao si wa dini yake na kuwachukia huyu si tayari anafanya kazi ya shetani? kama una dini na ukawaita wenzio majina mabaya ya kubeza au wewe kujitweza kama vile ni bora kuliko wengine hii si ni tabia ya shetani kabisa?

kma utaua wengine ukitetea dini wewe unamwabudu Mungu gani ambaye inabidi utetee dini yake au umtetee? Mungu navyoamini hatetewi kwa mauaji ya watu wengine kama vile usipowaua hao basi wataenda kumuua mungu wako. Mungu anatetewa kwa kutenda mema na kufuata yale yaliyo mema.

babu zetu walikuwa na dini. nazo zilikuwa na mapungfu yao kadhaa. lakini kama tungeweza kuunda dini ambayo inatokana na Dini za Asili, Ukristo na Uislamu pengine tungepata Dini moja CHotara nzuri sana. Dini ambayo itafundisha mambo makuu yafuatayo
1. Upendo
2. Msamaha
3. Amani
4. Udugu
5. ushirikiano

dini ambayo itapingana kabisa na mambo kama
1. kuuana
2. kuchukiana
3. kubaguana
4. kutengana
5. uchoyo
6. malipizi
7. zinaa
etc

nataka kuwe na dinia mbayo itajali wagonjwa, yatima, maskini, wajane wenye dhiki na mateso mbali mbali. hii ndiyo dini ambayo ingewafaa waafrika. waafrika wangeishi kwa amani na upendo na wangeweza sambaza dini hii kwa wengine. ni upumbavu kuja kunambia "hii ndo dini ya kweli " wakati najua uongo mwingi ulioko kwenye vitabu na mahubiri au matendo ya mhusika au wahusika.

kama unaonesha chuki kwa wasio na dini yako unadhani hiyo chuki itaishia hapo? chuki husambaa. utawatenga wasio na dini yako mkabaki wenyewe ndai ya dini nako utagundua kuna dhehebu mbalimbali. utatenga na ukiwa kwenye dhehebu lako utagundua pia kuna watu wana utofaut flani na wewe utawatenga mwishoni utajikuta upo peke yako.

kuna watu wanaamini wao ni waarabu kabisa kwa sababu ya dini ya ki arabu ambayo inabeba tamaduni za kiarabu. dini ni utamaduni kama hujui. na hawa wanawachukia waafrika wenzao ambao walikuwa ndugu zao kabisa miaka KADHAA KABLA YA UTUMWA. alipokuja mwaarabu akawawekea mipaka kuwa anayefuata utamaduni huu wa kiarabu kama wewe ndo ndugu yako asiye si ndugu yako. wapumbavu. narudia.si wajinga. wapumbavu

kuna watu wanaamini wao ni wazungu kabisa kwa sababu ya dini ambayo inaasili ya mashariki ya kati lakini ikaenezwa au kuchukuliwa na wazungu. na hawa nao huwatenga wengine kuwa si ndugu zao wakisahau miaka kadhaa nyuma KABLA YA BIASHARA YA UTUMWA walikuwa ni ndugu zao.wapumbavu.narudia.si wajinga.wapumbavu.

dini iliyo safi ni dini inayojali yatima,maskini,wagonjwa,wenye dhiki na shida.
Mkuu halafu hizi dini zina sababisha watu wanakuwa na vitabia flani hivi ,unakuta mtu anamwabia mwenzake mbona una tabia za kisabato,kiislam au we ni mkatoliki? Hizi dini hizi,

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
 
imefanya nini?
Kwa heshima na taadhima zote...suali lako adhimu Naomba tuwe wakweli na wazi.. " imani ya Kislam imeweza kuunganisha mataifa yote (Asia,Africa,Europe,America,nk) kutokana na misingi na nguzo zake 5 !! Nakusihi usichanganye matendo ovu ya baadhi ya waumini wa kiislam, halafu uka akisi juu ya UISALAM !! hata hivo siuvunjii hadhi Kristo.. heshima yao ipo juu,vizuri.... Hivyo ucha mungu upo ktk nafsi ya MwanaAdamu pekee !!
 
binafsi sina Dini ina namuamini Mungu. Dini ni mpango wa shetani kuwakamata watu wanaoamini wanamtumikia au mwabudu Mungu. huwa najiuliza huyu mwenye Dini ambaye anabagua wengine ambao si wa dini yake na kuwachukia huyu si tayari anafanya kazi ya shetani? kama una dini na ukawaita wenzio majina mabaya ya kubeza au wewe kujitweza kama vile ni bora kuliko wengine hii si ni tabia ya shetani kabisa?

kma utaua wengine ukitetea dini wewe unamwabudu Mungu gani ambaye inabidi utetee dini yake au umtetee? Mungu navyoamini hatetewi kwa mauaji ya watu wengine kama vile usipowaua hao basi wataenda kumuua mungu wako. Mungu anatetewa kwa kutenda mema na kufuata yale yaliyo mema.

babu zetu walikuwa na dini. nazo zilikuwa na mapungfu yao kadhaa. lakini kama tungeweza kuunda dini ambayo inatokana na Dini za Asili, Ukristo na Uislamu pengine tungepata Dini moja CHotara nzuri sana. Dini ambayo itafundisha mambo makuu yafuatayo
1. Upendo
2. Msamaha
3. Amani
4. Udugu
5. ushirikiano

dini ambayo itapingana kabisa na mambo kama
1. kuuana
2. kuchukiana
3. kubaguana
4. kutengana
5. uchoyo
6. malipizi
7. zinaa
etc

nataka kuwe na dinia mbayo itajali wagonjwa, yatima, maskini, wajane wenye dhiki na mateso mbali mbali. hii ndiyo dini ambayo ingewafaa waafrika. waafrika wangeishi kwa amani na upendo na wangeweza sambaza dini hii kwa wengine. ni upumbavu kuja kunambia "hii ndo dini ya kweli " wakati najua uongo mwingi ulioko kwenye vitabu na mahubiri au matendo ya mhusika au wahusika.

kama unaonesha chuki kwa wasio na dini yako unadhani hiyo chuki itaishia hapo? chuki husambaa. utawatenga wasio na dini yako mkabaki wenyewe ndai ya dini nako utagundua kuna dhehebu mbalimbali. utatenga na ukiwa kwenye dhehebu lako utagundua pia kuna watu wana utofaut flani na wewe utawatenga mwishoni utajikuta upo peke yako.

kuna watu wanaamini wao ni waarabu kabisa kwa sababu ya dini ya ki arabu ambayo inabeba tamaduni za kiarabu. dini ni utamaduni kama hujui. na hawa wanawachukia waafrika wenzao ambao walikuwa ndugu zao kabisa miaka KADHAA KABLA YA UTUMWA. alipokuja mwaarabu akawawekea mipaka kuwa anayefuata utamaduni huu wa kiarabu kama wewe ndo ndugu yako asiye si ndugu yako. wapumbavu. narudia.si wajinga. wapumbavu

kuna watu wanaamini wao ni wazungu kabisa kwa sababu ya dini ambayo inaasili ya mashariki ya kati lakini ikaenezwa au kuchukuliwa na wazungu. na hawa nao huwatenga wengine kuwa si ndugu zao wakisahau miaka kadhaa nyuma KABLA YA BIASHARA YA UTUMWA walikuwa ni ndugu zao.wapumbavu.narudia.si wajinga.wapumbavu.

dini iliyo safi ni dini inayojali yatima,maskini,wagonjwa,wenye dhiki na shida.


Mkuu sikuelewi??, wewe unataka tutengeneze dini chotara kutokana na Uislamu na ukristo halafu hapohapo unazikandia hizo dini kwa kuwaita wanaozifuata ni wajinga bali wapumbavu!!!, 🤔🤔🤔 , ujue unatukana wakristo na waislamu mabilions duniani pote.
 
Back
Top Bottom