Alien corpses waonyeshwa

bahati93

JF-Expert Member
Aug 6, 2015
1,141
2,020
It geting crazy

skynews-non-human-being-alien_6283068.jpg


Kwa mara ya kwanza kinachosemekana ni ALIEN ameonyeahwa kwa kamati ya bunge huko nchini Mexico. Am so excited, what a time, hapa bado mu USA aka baba lao aje na yeye kusema vyakee.
 
Mpaka sasa Hatuna teckonologia ya kutusafirisha kwenda masafa ya mbali kwenye anga.

Tunahitaji kumaster kutravel katika spid inayokaribia mwanga

Pia tuweze kuhiberbanate tukiwa safarini
Ufanyike utafiti basi kama kuna maisha huko tusepe tuwaachie akina gig mane hii dunia huenda huko hakuna hata hela nikula nakulala tu😎😎😎😎
 
Back
Top Bottom