Mngu ndio nini Mr senior member?Ivi kwa inavosemekana hao alliens ni viumbe wakubuniwa au niviumbe wa mngu???mwenye kujua wadau
Duh..It geting crazy
View attachment 2748152
Kwa mara ya kwanza kinachosemekana ni ALIEN ameonyeahwa kwa kamati ya bunge huko nchini Mexico. Am so excited, what a time, hapa bado mu USA aka baba lao aje na yeye kusema vyakee.
Sisi Tz tunafuga majini ya kuiba kuraKama kweli Marekani anamiliki hawa viumbe basi hoja ya kusema mkutano wa Putin na Kiduku ni tishio kwa Marekani itakuwa ni hoja ya kijinga
Bila hata ya kumiliki hao, waliwahi kukutana Ghadaf na Iddi Amin na kupeana tafu lakini bado hawakufua dafu kwa Tanzania.Kama kweli Marekani anamiliki hawa viumbe basi hoja ya kusema mkutano wa Putin na Kiduku ni tishio kwa Marekani itakuwa ni hoja ya kijinga
Ufanyike utafiti basi kama kuna maisha huko tusepe tuwaachie akina gig mane hii dunia huenda huko hakuna hata hela nikula nakulala tu😎😎😎😎Ni kutoka kwenye mifumo wa sayari nyingine tofauti na wetu wa hili jua. Yaan wametoka kwenye majua mengine
Hawana mzima hii wanadau ni archeological finding, miaka 1000 iliyopita ndio vilikuwa hai, vjmekutwa mapango ya peru mwaka 2017. Wamecheki DNA na kuona kuna utafauti mkubwa na ya binadamuDuh..
Wangeonyesha hoyo copse pamoja na kizima kama kipo
Ufanyike utafiti basi kama kuna maisha huko tusepe tuwaachie akina gig mane hii dunia huenda huko hakuna hata hela nikula nakulala tu😎😎😎😎
Hakuna hiyo, mbona sijawahi kuviona kwa miaka yangu 45 niliyoishi hapa duniani. We ushawahi kuwaona? Kwanini wao na sio mimi na wewe?Shauri yako kuwa katikatii so much evidence now inasaport uwepo wa hiv viumbe