Inakuwaje waandishi wa Biblia waliendelea kuandika hata baada ya kufa? Mtu kafa na kuzikwa halafu bado anaendelea na simulizi

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,891
155,893
Nani aliandika kitabu cha Samweli? = Samweli

Nani aliandika kitabu cha Yoshua? = Yoshua

Nani aliandika Kumbukumbu la Torati = Musa?

1Samweli 25:1 “Samweli akafa, na wana wa Israeli wote wakakusanyika pamoja, wakamwombolezea, wakamzika nyumbani kwake huko Rama.

Alikuwa anaandika akiwa amekufa na aliandika mahali alipozikwa 👌

1Samweli 28:3 “Basi Samweli alikuwa amekufa, nao Israeli wote walikuwa wamemwombolezea, na kumzika huko Rama, ndani ya mji wake mwenyewe; na Sauli alikuwa amewaondoa katika nchi wenye pepo, na wachawi. "

Na akarudi mara ya pili, akaandika kwamba alikufa na mahali alipozikwa 👌

Yoshua 24:29-30 “Ikawa baada ya mambo hayo Yoshua, mwana wa Nuni, mtumishi wa Bwana, akafa, mwenye umri wa miaka mia na kumi, wakamzika katika mpaka wa urithi wake. katika Timnath-sera, iliyo katika nchi ya vilima ya Efraimu, upande wa kaskazini wa kilima cha Gaashi.”

Alikuwa akiandika akiwa amekufa kwenye kaburi lake na kuandika mahali pa kuzikwa 👌

Kumbukumbu la Torati 34:7-8 “Na Musa alikuwa mtu wa miaka mia na ishirini alipokufa, jicho lake halikupofuka, wala nguvu zake za asili hazikupunguka. siku za kulia na kumwombolezea Musa zikaisha."

Alikuwa anaandika akiwa amekufa, lakini hakuandika mahali alipozikwa 😔

✍🏾
 
Vitabu hivyo havikuandikwa na manabii hao pekee yao.
Walivyofariki manabii wengine waliokuwepo waliviendeleza.

Mfano baada ya Samweli kufariki. Nabii Nathani na Nabii Gadi waliendeleza maandishi ya kitabu hicho.
 
Nani aliandika kitabu cha Samweli? = Samweli

Nani aliandika kitabu cha Yoshua? = Yoshua

Nani aliandika Kumbukumbu la Torati = Musa?

1Samweli 25:1 “Samweli akafa, na wana wa Israeli wote wakakusanyika pamoja, wakamwombolezea, wakamzika nyumbani kwake huko Rama.

Alikuwa anaandika akiwa amekufa na aliandika mahali alipozikwa 👌

1Samweli 28:3 “Basi Samweli alikuwa amekufa, nao Israeli wote walikuwa wamemwombolezea, na kumzika huko Rama, ndani ya mji wake mwenyewe; na Sauli alikuwa amewaondoa katika nchi wenye pepo, na wachawi. "

Na akarudi mara ya pili, akaandika kwamba alikufa na mahali alipozikwa 👌

Yoshua 24:29-30 “Ikawa baada ya mambo hayo Yoshua, mwana wa Nuni, mtumishi wa Bwana, akafa, mwenye umri wa miaka mia na kumi, wakamzika katika mpaka wa urithi wake. katika Timnath-sera, iliyo katika nchi ya vilima ya Efraimu, upande wa kaskazini wa kilima cha Gaashi.”

Alikuwa akiandika akiwa amekufa kwenye kaburi lake na kuandika mahali pa kuzikwa 👌

Kumbukumbu la Torati 34:7-8 “Na Musa alikuwa mtu wa miaka mia na ishirini alipokufa, jicho lake halikupofuka, wala nguvu zake za asili hazikupunguka. siku za kulia na kumwombolezea Musa zikaisha."

Alikuwa anaandika akiwa amekufa, lakini hakuandika mahali alipozikwa 😔

✍🏾
Wale mnaotaka kusoma kitabu cha Mwenyezi Mungu someni Qur'an. Kitabu kisicho shaka ndani yake.

 
Nani aliandika kitabu cha Samweli? = Samweli

Nani aliandika kitabu cha Yoshua? = Yoshua

Nani aliandika Kumbukumbu la Torati = Musa?

1Samweli 25:1 “Samweli akafa, na wana wa Israeli wote wakakusanyika pamoja, wakamwombolezea, wakamzika nyumbani kwake huko Rama.

Alikuwa anaandika akiwa amekufa na aliandika mahali alipozikwa 👌

1Samweli 28:3 “Basi Samweli alikuwa amekufa, nao Israeli wote walikuwa wamemwombolezea, na kumzika huko Rama, ndani ya mji wake mwenyewe; na Sauli alikuwa amewaondoa katika nchi wenye pepo, na wachawi. "

Na akarudi mara ya pili, akaandika kwamba alikufa na mahali alipozikwa 👌

Yoshua 24:29-30 “Ikawa baada ya mambo hayo Yoshua, mwana wa Nuni, mtumishi wa Bwana, akafa, mwenye umri wa miaka mia na kumi, wakamzika katika mpaka wa urithi wake. katika Timnath-sera, iliyo katika nchi ya vilima ya Efraimu, upande wa kaskazini wa kilima cha Gaashi.”

Alikuwa akiandika akiwa amekufa kwenye kaburi lake na kuandika mahali pa kuzikwa 👌

Kumbukumbu la Torati 34:7-8 “Na Musa alikuwa mtu wa miaka mia na ishirini alipokufa, jicho lake halikupofuka, wala nguvu zake za asili hazikupunguka. siku za kulia na kumwombolezea Musa zikaisha."

Alikuwa anaandika akiwa amekufa, lakini hakuandika mahali alipozikwa 😔

✍🏾
Naona unadandia gari kwa nyuma.
Nani kakuambia kisa kitabu kinaitwa Yoshua, basi ni Yoshua ameandika?

Vitabu hivyo vimeandikwa na watu ambao waliishi nyakati hizo na pia kukusanya masimulizi yaliyokuwa kwa mfumo wa oral traditions. Kwa msaada wa Roho Mtakatifu, waliweza kuandika habari kuhusu viongozi wakale.

Kitabu Cha Samweli kiliandikwa na Nabii Samueli mwingine na si Nabii Samueli mwana wa Elkana ambaye alimpaka Daudi na Sauli mafuta. Watu walioitwa Samueli na majina mengine walikuwa wengi sana kipindi hicho kwasababu Wayahudi waliita majina ya Wana na Binti zao zikiwa na maana ya wao kumkumbuka Mungu wao YHWH.
 
Naona unadandia gari kwa nyuma.
Nani kakuambia kisa kitabu kinaitwa Yoshua, basi ni Yoshua ameandika?

Vitabu hivyo vimeandikwa na watu ambao waliishi nyakati hizo na pia kukusanya masimulizi yaliyokuwa kwa mfumo wa oral traditions. Kwa msaada wa Roho Mtakatifu, waliweza kuandika habari kuhusu viongozi wakale.

Kitabu Cha Samweli kiliandikwa na Nabii Samueli mwingine na si Nabii Samueli mwana wa Elkana ambaye alimpaka Daudi na Sauli mafuta. Watu walioitwa Samueli na majina mengine walikuwa wengi sana kipindi hicho kwasababu Wayahudi waliita majina ya Wana na Binti zao zikiwa na maana ya wao kumkumbuka Mungu wao YHWH.
Uthibitisho wa maandiko tafadhali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom