Kwanini tunaaminishwa Freemasons ni watu wabaya lakini kiongozi wake nchi nzima tunamuhusudu?

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
Juzi Taifa limepata msiba kwa kupotelewa na mkuu wa Freemason Tanzania kama sio EA mzee Chande. Mkuu wa Taasisi/Club/Dhehebu ambalo Mkuu wake anafahamika lakini waumini au members zake hatuwajui. Duniani kote kuanzia miaka ya 2000 mashambulizi misikitini,makanisani,kwa waganga, Wasanii wafuatiliaji wa mambo wamekuwa wakiishutumu Taasisi hii kama ni ya kichawi, hatari,haifai, Yenye nguvu isiyozuilika.

Sasa leo tunagundua kumbe kiongozi wa taasisi hii pingwa, ni Mtu mzuri, anamchango mkubwa kwenye jamii, hajawahi kukutwa hata na chembe ya shutuma, hata wanaomfahamu wakimuelezea kurasa hata 1000 hutachoka kumaliza wasifu mzito wa mtu huyu mashuhuri.


Wajuaji wa mambo mtusaidie, Tuchukue Freemason Ipi, Ile Inayopodwa mitaani,Mitandaoni,makanisani,Misikitini,waganga, Uswahilini hofu ya freemasonry ndio usiseme, Humu JF, au Hii ya Mzee Chande ambayo imewaunganisha wanasiasa wa upinzani, watawala na watawaliwa kumlilia. Hii ambayo viongozi wetu wote toka nyerere walikuwa wakimpenda na kuwa karibu na kiongozi wetu...

Ninaandika nikiwa na OMBWE la maharifa juu ya hii taasisi lakini ninauhakika wa Hofu(wenda ya kweli au ya kutengenezwa na wajanja wachache mitaani kwa manufaa yao) juu ya taasisi inayosadikiwa kuwa tata na ya siri iliyotapakaa Dunia nzima na inayosemekana ilianza miaka 1600BC kwa mujibu wa Uzi wa mkuu wetu wa JF Melo Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

karibuni wadau mtutoe tongotongo sisi wa vijijini...

cc: Magazeti ya leo
20170408_045700.jpg

Kanumba ahusishwa na mambo ya freemasonry kutokana kupishana siku moja na mkuu wake katika kifo (Gazeti la UDaku)
20170408_045850.jpg

Mwananchi:Zitto amlilia kiongozi wa Free mason kuzikwa J4.
20170408_045909.jpg

Mtanzania, Siri kifo cha kiongozi wa freemason
na mengine mengi yakionyesha masikitiko yake juu ya kupotelewa na mtu huyu mashuhuri nchini.
 
Wakristo, waislamu, Freemason, na wapagani wote ni theists...

Wapewe haki sawa za kutekeleza shughuli zao, kama ni kupingwa basi wapingwe wote.
nakupata, Ila Tanzania hatutambui Atheists, na ndio maana Wimbo wa Taifa Tunaimba Mungu Ibariki mkuu.
hivyo kipengele cha wapingwe wote kinakuwa hafifu hapo...
Kwani kuna watu wananyimwa haki flaniflani kwenye jamii mimi naona yoyote hata wewe unaweza kuanzisha Taasisi inayotambua Uwepo wa Mungu na ukafanya yako bila usumbufu...
 
Huwezi kumchukia mtu kwa sababu ya imani yake. Unaweza kumwogopa au kumheshimu.
By the way, una uhakika kwamba hao viongozi hawajajiunga na Freemason(maana members wake hatuwajui)?
 
Huwezi kumchukia mtu kwa sababu ya imani yake. Unaweza kumwogopa au kumheshimu.
By the way, una uhakika kwamba hao viongozi hawajajiunga na Freemason(maana members wake hatuwajui)?
hapo hatujui ni mambo yao. Ni kweli kama hiyo ni imani kama imani nyingine yenye taratibu zake hakuna haja ya jamii kuhofu.
 
hapo hatujui ni mambo yao. Ni kweli kama hiyo ni imani kama imani nyingine yenye taratibu zake hakuna haja ya jamii kuhofu.
Mi binafsi, huwa sihangaiki na vitu ambayo kuvijua/kutovijua hakutaniongezea/kunipunguzia kitu. Freemason imesemwa sana, hadi alama watu wamezitaja, kuzionesha na kuzifanyia demonstrations mara nyingi tu (kwa DSM hasa pale ubungo ilipokuwa stendi ya daladala, mkabala na kituo cha mwendokasi kwa sasa)
Hata hayo maelezo yaliyoandikwa na Chande kuihusu Freemason wala sikuendelea kuyasoma
Uzuri wake mtu anayetaka anajipeleka mwenyewe.
 
Mi binafsi, huwa sihangaiki na vitu ambayo kuvijua/kutovijua hakutaniongezea/kunipunguzia kitu. Freemason imesemwa sana, hadi alama watu wamezitaja, kuzionesha na kuzifanyia demonstrations mara nyingi tu (kwa DSM hasa pale ubungo ilipokuwa stendi ya daladala, mkabala na kituo cha mwendokasi kwa sasa)
Hata hayo maelezo yaliyoandikwa na Chande kuihusu Freemason wala sikuendelea kuyasoma
Uzuri wake mtu anayetaka anajipeleka mwenyewe.
Umeongea point mkuu, hata mimi nimewahi kupita hapo jamaa anamasabuni, nguo, vyombo eti ni vya freemason watu mamia wamejaa. Kikubwa naamini Kuna Mungu na Shetani, Mungu anataka nini na shetani anataka nini, Nakomaa kufuata ya Mungu kadili niwezavyo japo ni kazi. Hayo mengine yenye utata sio kazi yangu, Kuna watu wanajitwika mizigo na hofu zisizo na maana. Kama Mungu angejua kunafreemasons(Kama ni wabaya au wazuri) na kuna umuhimu wa kuwataarifu wanaomuamini angetoa taadhari kwenye vitabu vyake nje ya hapo ni hofu zisizo za lazima. Wawe wazuri au wabaya hayo ni mambo yao na jamii ifanye yake.
 
Ukitaka kwenda mbinguni kwenye UZIMA WA MILELE, Yesu anasema: "Mimi ndimi Njia, na Kweli, na Uzima. ..."
ila kumbuka usiishi blindly, unaweza kukuta huyo yesu unaemsema sio unaemdhani, dunia hii imekaa kijanjakijanja sana ndugu. Tujue na duniani nini kinaendelea ili kumuamini na kumuabudu Mungu kwa uelewa sio kwa kukariri...
 
Juzi Taifa limepata msiba kwa kupotelewa na mkuu wa Freemason Tanzania kama sio EA mzee Chande. Mkuu wa Taasisi/Club/Dhehebu ambalo Mkuu wake anafahamika lakini waumini au members zake hatuwajui. Duniani kote kuanzia miaka ya 2000 mashambulizi misikitini,makanisani,kwa waganga, Wasanii wafuatiliaji wa mambo wamekuwa wakiishutumu Taasisi hii kama ni ya kichawi, hatari,haifai, Yenye nguvu isiyozuilika.

Sasa leo tunagundua kumbe kiongozi wa taasisi hii pingwa, ni Mtu mzuri, anamchango mkubwa kwenye jamii, hajawahi kukutwa hata na chembe ya shutuma, hata wanaomfahamu wakimuelezea kurasa hata 1000 hutachoka kumaliza wasifu mzito wa mtu huyu mashuhuri.


Wajuaji wa mambo mtusaidie, Tuchukue Freemason Ipi, Ile Inayopodwa mitaani,Mitandaoni,makanisani,Misikitini,waganga, Uswahilini hofu ya freemasonry ndio usiseme, Humu JF, au Hii ya Mzee Chande ambayo imewaunganisha wanasiasa wa upinzani, watawala na watawaliwa kumlilia. Hii ambayo viongozi wetu wote toka nyerere walikuwa wakimpenda na kuwa karibu na kiongozi wetu...

Ninaandika nikiwa na OMBWE la maharifa juu ya hii taasisi lakini ninauhakika wa Hofu(wenda ya kweli au ya kutengenezwa na wajanja wachache mitaani kwa manufaa yao) juu ya taasisi inayosadikiwa kuwa tata na ya siri iliyotapakaa Dunia nzima na inayosemekana ilianza miaka 1600BC kwa mujibu wa Uzi wa mkuu wetu wa JF Melo Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

karibuni wadau mtutoe tongotongo sisi wa vijijini...

cc: Magazeti ya leo
20170408_045700.jpg

Kanumba ahusishwa na mambo ya freemasonry kutokana kupishana siku moja na mkuu wake katika kifo (Gazeti la UDaku)
20170408_045850.jpg

Mwananchi:Zitto amlilia kiongozi wa Free mason kuzikwa J4.
20170408_045909.jpg

Mtanzania, Siri kifo cha kiongozi wa freemason
na mengine mengi yakionyesha masikitiko yake juu ya kupotelewa na mtu huyu mashuhuri nchini.
HATA PABLO ESCOBA naye tukianza kuelezea mazuri yake hayaishi ila si ni bado alikuwa MUUZA MADAWA YA KULEVYA mkuubwa tu duniani?? Vijana wangapi waliharibika kutokana na cocaine aliyokuwa anazalisha na kuuza here and now we cant just take ones positive side b'cause of some he did but also we consetrate on his/her negative effectively.
 
nakupata, Ila Tanzania hatutambui Atheists, na ndio maana Wimbo wa Taifa Tunaimba Mungu Ibariki mkuu.
hivyo kipengele cha wapingwe wote kinakuwa hafifu hapo...
Kwani kuna watu wananyimwa haki flaniflani kwenye jamii mimi naona yoyote hata wewe unaweza kuanzisha Taasisi inayotambua Uwepo wa Mungu na ukafanya yako bila usumbufu...
Atheist wanatambulika kaka sio lazima uape kwa Bible au Qur'an unaweza kuapa hata kama hauna imani ya dini yoyote. Pia sio lazima kuimba wimbo wa taifa kuna case ya mahakama ya rufaa ilitoa hukumu kama sikosei kesi hii ilikuwa inahusu mashahidi wa Jehovah waligoma kuimba wimbo wa taifa kwa sababu ni against imani yao na walishinda case kama sikosei. N
 
Umeongea point mkuu, hata mimi nimewahi kupita hapo jamaa anamasabuni, nguo, vyombo eti ni vya freemason watu mamia wamejaa. Kikubwa naamini Kuna Mungu na Shetani, Mungu anataka nini na shetani anataka nini, Nakomaa kufuata ya Mungu kadili niwezavyo japo ni kazi. Hayo mengine yenye utata sio kazi yangu, Kuna watu wanajitwika mizigo na hofu zisizo na maana. Kama Mungu angejua kunafreemasons(Kama ni wabaya au wazuri) na kuna umuhimu wa kuwataarifu wanaomuamini angetoa taadhari kwenye vitabu vyake nje ya hapo ni hofu zisizo za lazima. Wawe wazuri au wabaya hayo ni mambo yao na jamii ifanye yake.
Hao waelimishaji kuhusu mambo ya Freemason huwa wananipa mambo mawili
  1. Huenda nao ni Freemason. Huutangaza ufreemason kwa kujidai wanatoa elimu ya kuwafanya watu wasitumbukie huko.
  2. Wao sio members wa freemason lkn hawajui kuwa elimu yao inawafanya watu kuvutiwa zaidi kujiunga.
Umeongea jambo la msingi sana mkuu.
 
HATA PABLO ESCOBA naye tukianza kuelezea mazuri yake hayaishi ila si ni bado alikuwa MUUZA MADAWA YA KULEVYA mkuubwa tu duniani?? Vijana wangapi waliharibika kutokana na cocaine aliyokuwa anazalisha na kuuza here and now we cant just take ones positive side b'cause of some he did but also we consetrate on his/her negative effectively.
Pablo mkuu alikuwa Msafirisha magendo na mtu wa madili illigal hata kabla hajakutana na madeal ya Drugs.
 
Atheist wanatambulika kaka sio lazima uape kwa Bible au Qur'an unaweza kuapa hata kama hauna imani ya dini yoyote. Pia sio lazima kuimba wimbo wa taifa kuna case ya mahakama ya rufaa ilitoa hukumu kama sikosei kesi hii ilikuwa inahusu mashahidi wa Jehovah waligoma kuimba wimbo wa taifa kwa sababu ni against imani yao na walishinda case kama sikosei. N
Ni kenya tu, ndio athiests walikutana kutaka kuandamana neno Mungu litolewe kwenye wimbo wa taifa maana haliwatendei haki waiomuamini.
Wote uliowataja wanamwamini Mungu mkuu
 
Juzi Taifa limepata msiba kwa kupotelewa na mkuu wa Freemason Tanzania kama sio EA mzee Chande. Mkuu wa Taasisi/Club/Dhehebu ambalo Mkuu wake anafahamika lakini waumini au members zake hatuwajui. Duniani kote kuanzia miaka ya 2000 mashambulizi misikitini,makanisani,kwa waganga, Wasanii wafuatiliaji wa mambo wamekuwa wakiishutumu Taasisi hii kama ni ya kichawi, hatari,haifai, Yenye nguvu isiyozuilika.

Sasa leo tunagundua kumbe kiongozi wa taasisi hii pingwa, ni Mtu mzuri, anamchango mkubwa kwenye jamii, hajawahi kukutwa hata na chembe ya shutuma, hata wanaomfahamu wakimuelezea kurasa hata 1000 hutachoka kumaliza wasifu mzito wa mtu huyu mashuhuri.


Wajuaji wa mambo mtusaidie, Tuchukue Freemason Ipi, Ile Inayopodwa mitaani,Mitandaoni,makanisani,Misikitini,waganga, Uswahilini hofu ya freemasonry ndio usiseme, Humu JF, au Hii ya Mzee Chande ambayo imewaunganisha wanasiasa wa upinzani, watawala na watawaliwa kumlilia. Hii ambayo viongozi wetu wote toka nyerere walikuwa wakimpenda na kuwa karibu na kiongozi wetu...

Ninaandika nikiwa na OMBWE la maharifa juu ya hii taasisi lakini ninauhakika wa Hofu(wenda ya kweli au ya kutengenezwa na wajanja wachache mitaani kwa manufaa yao) juu ya taasisi inayosadikiwa kuwa tata na ya siri iliyotapakaa Dunia nzima na inayosemekana ilianza miaka 1600BC kwa mujibu wa Uzi wa mkuu wetu wa JF Melo Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

karibuni wadau mtutoe tongotongo sisi wa vijijini...

cc: Magazeti ya leo
20170408_045700.jpg

Kanumba ahusishwa na mambo ya freemasonry kutokana kupishana siku moja na mkuu wake katika kifo (Gazeti la UDaku)
20170408_045850.jpg

Mwananchi:Zitto amlilia kiongozi wa Free mason kuzikwa J4.
20170408_045909.jpg

Mtanzania, Siri kifo cha kiongozi wa freemason
na mengine mengi yakionyesha masikitiko yake juu ya kupotelewa na mtu huyu mashuhuri nchini.
Shetani alikuwa malaika mzuri kuliko wote na uzuri huo ulikuwa unaonekana kwa nje, ila ndani kulikuwa na uovu ndivyo ilivyo...

Kuna sintofahamu hivi katika jamii yao duniani kote sasa hivi na hawajui waanzie wapi...maana tufani imeingia katikati yao....Na sisi wengine tunamshangilia Bwana wa vita kutusaidia kuondoa utando wao hata kama ni kwa muda...Tumepiga mpaka makao makuu hawana jinsi, hujaona wafuasi wao kudondoka kila wanapo contest...Usiniulize maswali zaidi...Yesu akiwa enzini mambo yote huwa sawasawa...tabiri zao zote zimekuwa in vain...Glory to the highest!
 
Shetani alikuwa malaika mzuri kuliko wote na uzuri huo ulikuwa unaonekana kwa nje, ila ndani kulikuwa na uovu ndivyo ilivyo...

Kuna sintofahamu hivi katika jamii yao duniani kote sasa hivi na hawajui waanzie wapi...maana tufani imeingia katikati yao....Na sisi wengine tunamshangilia Bwana wa vita kutusaidia kuondoa utando wao hata kama ni kwa muda...Tumepiga mpaka makao makuu hawana jinsi, hujaona wafuasi wao kudondoka kila wanapo contest...Usiniulize maswali zaidi...Yesu akiwa enzini mambo yote huwa sawasawa...tabiri zao zote zimekuwa in vain...Glory to the highest!
Hakuna imani ya kweli inayokimbia maswali ndugu, "Ila tumeambiwa tu Maswali ya kipuuzi ujiepushe nayo.."
sasa umepigana na nani au hizo vita zinauhusiano gani na ufreemason kuwa mbaya au mzuri
 
Back
Top Bottom