Nini Lengo la kuumbwa Mwanamke na Mwanaume?

Shayu

Platinum Member
May 24, 2011
608
1,653
Nini lilikuwa lengo la Mungu kumuumba mwanamke na mwaume?

Sio kutoa kiumbe kinachofanana nao ili kulinda kizazi? Ili vizazi vya binadamu visipotee kwenye uso wa dunia?

Je tunaitumia ngono ipasavyo au tunaharibu malengo ya Mungu yaliyowekwa ndani yetu?

Malengo ya Mungu sio ndoa?

Je ni lengo la Mungu kuifanya ngono kuwa burudani? au jambo la mchezo mchezo?

Ukweli ni kwamba ni sacred act perfomed btn two married people. Man/woman.

Kufikiri kwamba mwanamke au mwanaume ni object of pleasure ni fikra ambazo so sahihi.

Binadamu wameumbwa na heshima zake. Na uwezo wa kufikiri kilicho sahihi na potofu. Na ametofautishwa na wanyama kwa kupewa fikra. Not object of pleasure.

Zaidi ya hapo tumegundua mengine hata kwa sehemu zile zisisopaswa kimatumizi tunafanya. Tunaweza kujitetea kwa hili kwa mfano mwanaume kwa mwanaume kuoana?

Can we justify ourselves?

Tuna la kujitetea?

We are crooked.
 
hakuna avdence ya mambo hayo ni ufinyu wa kufikiri hakujua kwamba wanadamu watatumia vibaya na kulizuia jambo la matumizi mabaya ya ngono we vp!!
 
Sio fair lakini.
Ina mana mimi na Jay-Z tutachomwa pamoja??

Yan ye kafaidi maisha mie kikaragosi tule moto sawa?

Moto wa milele ni ule ule - ziwa la moto (lake of fire).
Ndio maana unapewa chaguo hivi sasa ukiwa hai.
Chagua leo hii unataka kwenda wapi. Haijalishi wewe ni tajiri au maskini.
Chagua sasa wapi utakaa milele baada ya kufa.

hqdefault.jpg
 
Moto wa milele ni ule ule - ziwa la moto (lake of fire).
Ndio maana unapewa chaguo hivi sasa ukiwa hai.
Chagua leo hii unataka kwenda wapi. Haijalishi wewe ni tajiri au maskini.
Chagua sasa wapi utakaa milele baada ya kufa.

hqdefault.jpg
mbona huyo wa upande wa kulia kama halii vile au ameshazoea moto yy?
 
Back
Top Bottom