Habarini wana jamii... Natumain wote mko poa katika ujenzi wa taifa letu....
back to the topic:
katika pitapita yangu ya kujua mambo ya solar system na mambo ya aliens na UFOs nimekutana na hii...
Mnamo mwaka 1946, kundi dogo la wanafunzi watoto wa shule wa nchini Urusi kutoka katika kikundi kidogo kilichojulikana kama "Vladimir Lenin All-Union Pioneer Organization (wapo kama vijana flani...
Its a good monday again with full of question mark in my head,i heard that there will be III WW,nilikuta watu wanazungumzia hili suala kwa undani sana na nikawauliza je causes za hii...
Kama magazeti ya ippmedia yaliandika habari za kweli kuhusu Quality Group na kama Quality Group wanaona kuwa habari zilizoandikwa na magazeti hayo ni za uongo na za kashfa kwanini Mengi anataka...
ili kupata uhakika. Watu wengi wameharibiwa maisha yao kwa majibu ambayo yalikuwa si ya kweli
~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+
Italian man returns from woodland exile after...
Mhhhh sijui kama itatuingia akilini
Haya ile kampuni iliosifika na ubadhirifu wa fedha na kulitia hasara serikali na taifa kwa ujumla kwa lipa manispaa sh million 1.5 huku wakipata zaidi ya sh...
Nikiwa ni mmoja wa washiriki kupiga kura, nimebaini kwamba nchi yetu ina majasusi imara kabisa katika ukanda huu wa Afrika.
Kuna mambo ya msingi kabisa kuhusu usalama na mstakabali wa nchi ambayo...
"Misri ilikua ni Afrika kwa maandishi yake,utamaduni wake na namna yake ya kufikiri" .Hivi ndivyo anavyohitimisha mtaalamu wa masuala ya kale ya Misri(Egyptologist) raia wa Ufaransa Jean...
Wajibu wa kisheria na kijamii kulingana na jinsi
Na Raphael Kamuli
(Chanzo: Kiongozi, Toleo Na. 32, Tarehe 09-15 Agosti 2019, ukurasa wa 12, ISSN 0856-2563.)
Popes in the History of AMECEA...
Nilitembelea wilaya ya Ulanga, nikafika tarafa ya Malinyi kata ya Igawa, kijiji cha Kiwale kitongoji cha Mkomange nikakuta kuna mtu alikuwa anawekeza kwenye kutoa huduma za tiba yaani hospitali...
Kama kichwa cha HABARI kinavyosema kesho ni Friday October 13, niliwahi kusikia kuhusiana na hii siku wanasema ni siku ya kichawi au ya kimaajabu
sasa basi napenda kujua kuhusiana na hizo habari...
Namkumbuka DCI wa zamani Diwani Athumani alipokuwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya.
Alianzia mbali sana lakini alionekana anafaa kuchukua nafasi ya wazee Adadi Rajab na Robert Manumba ambao...
Habari wakuu [emoji1538]
Najua kichwa cha habari kinaweza kufanya ukafikiri labda nimekosea au nilikuwa nalenga jambo nililoshindwa kulielezea hapo juu. Hapana sijakosea nimekidhamiria hivyo...
Premier Commando de le Capitale (PCC)
Rio De Jeneiro
Tarehe 2, mwezi wa 10 mwaka 1992, ndani ya gereza kubwa linalo hifadhi wahalifu sugu katika nchi ya brazil, lijulikanalo kama gereza la...
Habari zenu wakuu?leo nilikiwa nafkiria kuhusu kifo nikawa najiuliza hilo swali hapo juu,kwanini watu hawazoei kifo ingawa ni jambo ambalo huwa linatokea kila siku katika jamii?
Mtu unazaliwa...
Ushahidi jinsi tanzania ilivyo tajwa katika bibilia:
Isaya 18:1-7
1. Ole wa nchi ya uvumi wa mabawa, Iliyoko mbali kupita mito ya Kushi;
2 Ipelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari, Na katika...
Nini sababu ya ugomvi ? Siyo tatizo la kugombania ardhi wala kugombania mji wa Yerusalem kunakosababishaugomvi kati ya mataifa haya mawili ni kwamba kila taifa halitaki kutambulika kwa taifa...
1. Nchi ya Gambia ina chuo kikuu kimoja tu (The University of Gambia).
2. Equatorial Guinea ni nchi pekee Afrika ambayo lugha yake ya Taifa ni Kispaniola (Spanish). Hakuna nchi nyingine Afrika...
Rastafari ni dini iliyoanzishwa huko Jamaica miaka ya 1930's ya kutaka kumkomboa muafrica kifikra na kimwili dhidi ya maadui wa muafrica wakuu kipindi hicho yaani ukoloni na utumwa ,vilivyoacha...