Taswira ya maisha yetu

Taswira ya maisha yetu

yuzazifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2018
Posts
5,108
Reaction score
9,468
Kama kioo kinavyoileta taswira ya mtumiaji, ndivyo nafsi zetu huileta taswira ya maisha yetu.

Wewe ni yule unaejiona katika nafsi yako lakini wengi wetu tunaishi nje ya taswira za maisha yetu jambo linalotupa ugumu wakuwa tunavojiona katika nafsi zetu.

Na sababu kubwa ya hili ni matamanio yakua kama... lakini tunapaswa kujua matamanio hayawezi kuushinda uhalisia.

Rai yangu nikua tutamani kua kama... lakini iwe kupitia uhalisia wa tunavyojiona katika nafsi zetu, hii ndo njia pekee itakayotupa wepesi wakufika tunapopatamani
 
Kama kioo kinavyoileta taswira ya mtumiaji, ndivyo nafsi zetu huileta taswira ya maisha yetu.

Wewe ni yule unaejiona katika nafsi yako lakini wengi wetu tunaishi nje ya taswira za maisha yetu jambo linalotupa ugumu wakuwa tunavojiona katika nafsi zetu.

Na sababu kubwa ya hili ni matamanio yakua kama... lakini tunapaswa kujua matamanio hayawezi kuushinda uhalisia.

Rai yangu nikua tutamani kua kama... lakini iwe kupitia uhalisia wa tunavyojiona katika nafsi zetu, hii ndo njia pekee itakayotupa wepesi wakufika tunapopatamani
Nafsi ndo Nini..?
Natambuaje Kama ninayo nafsi..?
"Wewe ni yule unaejiona katika nafsi yako lakini wengi wetu tunaishi nje ya taswira za maisha yetu jambo linalotupa ugumu wakuwa tunavojiona katika nafsi zetu."

Kutokana na hichi ulichokiandika unataka kusema namna tunavyotenda ni tumewekewa kutenda hivyo I mean we're coded..?
 
Ni kweli Asante Sana,tatizo letu ni uthubutu hasa wasomi,yaani mtu anakuwa na hemwe hemwe ya kufanya kitu lakini kwa kukosa uthubutu Mambo mengi yaishia hewani.
 
Back
Top Bottom