Kuna tabia au hulka ambazo binadamu huzaliwa nazo na kuna zile ambazo mtu anazipata anapochangamana na watu mballimbali katika mazingira aliyopo.
Ukiachilia mbali tabia ya kutopenda kulaumiwa...
Wakuu naombeni kujuzwa nimeona Kwenye rank za usalama wa taifa duniani ya ya Pakistan inaonekana iko juu nafasi ya kwanza ikifuatiwa na CIA ya Marekani.
Leo ninataka kujua 'rank' ya ubora wa hivi...
imekuaje hadi nikajiuliza hilo swali?
story yenyewe iko hivi.
nina rafiki yangu wa kike,siku za hivi karibuni yapata kama mwezi sasa,mara kwa mara na humtokea baada ya kutoka kusali tu,anajikuta...
Barrack Obama aliwaita mkurugenzi mkuu wa CIA Leon Paneta pamoja na majenerali kadhaa wa jeshi la Marekani siku chache baada ya CIA kumtaarifu Rais Obama kuwa ,tayari maficho ya Osama waliweza...
Wiki kadhaa baada ya tukio hilo, wavamizi hao wa ofisi ya kamati ya uchaguzi ya chama cha democratic Horward Hunt alimpatia Barker film ili wazisafishe na wazikuze picha zake.Mwanzoni Barker...
Nianze kwa kusema hii ni mara yangu ya kwanza kuandika kwenye hili jukwaa la wana intelligence.Ila ningependa kushare na ninyi kuhusiana na mission impossible ya Watergate scandal.
Kutokana na...
After the fall of socialism/communism, most countries have subscribed to capitalism/free market in other words.
It is not such pure capitalism but it can be seen that, capitalism is more...
PA Image caption Wachunguzi waliondoa gari hili kutoka kwa kijiji karibu na Salisbury Jumatatu
Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May Jumatatu alisema jasusi wa zamani wa Urusi na binti yake...
1. Macho kukosa uono anaona giza
2.Ubongo kuchanganyikiwa kwa hofu na kukosa oxygen
3.Moyo kusimama kabisa (hapa pana maumivu Makali mno)
4.Pumzi kukata kabisa hapa ndio mtu anatapatapa au...
Ni one of the short docuseries on Netflix sasa hivi, imeanza kuruka nadhani last week,
Nimekuwaga nikisoma habari za Majasusi wa Mossad, na namna ambavyo Mossad ni moja ya Intelligence Unit...
Tunapozungumzia idara ya Usalama wa Taifa na jinsi imeiangusha serikali yetu na kuweka usalama wa taifa letu hatarini nafasi ya Bw ...haiwezi kupuuzws Baadhi ya matukio yaliyotokea na kuruhusu...
Hawa ni wageni kutoka kanda kavu juu ya anga,wenye mahusiano mazuri na clone yao ya bustani tengwa(kipande ardhi/dunia)...ni warefu wenye na ngozi yenye weupe mithili ya chaki,wakati macho yao...
Heshima kwenu wakuu,
Naomba kufahamu hili, kutokana na maumbile ya binadamu.
Kuna wengine wamezaliwa kuwa na vichwa kikubwa na wengine wana vichwa vidogo.
Katika maumbile haya, je kuna uhusiano...
Shakil Afridi: Daktari aliyeisaidia CIA kumpata Bin Laden
Haki miliki ya pichaAFPImage captionDkt Afridi amekana mashtaka yote na anasema kwamba hakufanyiwa haki.
Daktari wa PakistanI ambaye...
Posted as received:
"Dear All- Let's be real.
I wish to start by adding the benefit of my time as a student and then resident in the UK. Living in Abuja now. The first thing that I discovered...
Specie ni kundi la viumbe wenye uwezo wa kujamiiana na kupata kiumbe mwengine ambae ni fertlile(mwenye uwezo wa kuja kuzaa).
Viumbe kutoka specie tofauti huunda kundi moja linaloitwa Genus ambalo...
So It have been atheists' mantra that there is no evidence for God. They will try to press for evidence and then make rabbit trails that goes no where when presented with evidence. So ultimate...
Japo ni ukweli kuwa Mungu ndie bosi mkuu wa Usalama wa Taifa ila ukweli ni kwamba anafanya kazi kwa karibu na Usalama wa Taifa.
Kuna aina mbili ya Usalama wa Taifa,wale wasio na vitambulisho na...
Habari za jumapili wakuu natumaini siku yenu imekwenda vizuri sana. Naomba kushare nanyi makalaa hii nitakayokwenda kueleza kuhusu uhusiano Wa karibu kabsa katika ya Shetani au Ibilisi na vitendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.