Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,493
- 9,264
Wakuu,
Ndege yoyote anayopanda Rais mara nyingi inapewa jina Ili iweze kutambulika na watu wa control tower, mfano Rais alivyopanda Dreamliner basi palepale ili-change jina kwa muda mpaka aliposhuka ndiyo ikarudi jina lake halisi. Haya majina kuendana na kuwapo yeye ndani ya ndege hiyo, huongeza heshima na umakini wakati wa landing and taking off.
Mfano, Trump akiwa kwenye ndege yoyote basi call sign name yake itaitwa Airforce one hata kama ni Bombardier Q400, naomba kujua call sign name ya Rais wetu awapo katika usafiri wa anga.
Ndege yoyote anayopanda Rais mara nyingi inapewa jina Ili iweze kutambulika na watu wa control tower, mfano Rais alivyopanda Dreamliner basi palepale ili-change jina kwa muda mpaka aliposhuka ndiyo ikarudi jina lake halisi. Haya majina kuendana na kuwapo yeye ndani ya ndege hiyo, huongeza heshima na umakini wakati wa landing and taking off.
Mfano, Trump akiwa kwenye ndege yoyote basi call sign name yake itaitwa Airforce one hata kama ni Bombardier Q400, naomba kujua call sign name ya Rais wetu awapo katika usafiri wa anga.