We were born into a mystery. We awakened on this world like an abandoned baby left on a door-step without a note to explain who we are, where we come from and where we are going.
Death is the...
Chance of Impact in 2027 is Now 96%
Based on new tracking observations taken this week, IAWN has
confirmed that asteroid 2017 PDC is on a course that almost certainly
will impact the Earth on...
Habari Great thinkers
Naomba kuuliza hili maswali kuhusu Dunia. Tunaambiwa Dunia ina umbo la Tufe, Pia ni kawaida maji kukaa Square hajalishi yapo kwenye kitu chenye umbo gani.
>Nini kinafanya...
Aman iwe nanyi wapendwa
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Nimekuja mbele yenu ili magwiji watueleze maswali yafuatayo
A akili ni nini?
B ni kweli kuna kitu kinaitwa akili au tu ni moja ya...
Habari za asubuhi wana JF,
Kama nilivyouliza hapo juu, ili tupeane mawazo.kama tukisoma kwenye kitabu cha Agano la kale, baada ya Mungu kuwaonya binadamu na wakawa shingo ngumu, na kuamua kuachia...
Nimetafakari sana baada ya uwepo wa taarifa za Kagame kuhimiza wanywarwanda kuwekeza kanda ya ziwa (Mwanza). Baada ya taarifa kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba Tayari Kagame ndio...
Huyu aliyepo hii leo ndiye asiye kuwepo badae na asiye kuwepo ndiye aliyepo. Hiki unachokiona leo siyo hicho walichokiona waliokuwepo, lakini ndiyo hicho kilichopo, ambacho kila aliyekuwepo...
Nimekaa na kutafakari sana hasa nikitazama sisi waafrika na kulinganisja na watu wa mabara mengine kimaendeleo katika nyanja mbalimbali kama vile kiuchumi, kijamii na kiasia.
Sikuishia hapo tu...
Wanefili ni nani? wanefili maana yake ni majitu makubwa, hawa majitu kama Goliathi, Ahimani, sheshai, Talmai, Safu, Lahmi nk walijulikana katika agano la kale.
Hawa walikuwa ni wanadamu...
La petit Mort, tamka (la petii mwa) neno la kifaransa hili lililopata umaarufu zaidi karne ya 19th century.. Likiwa na maana "little death" kwa kiingereza na "kifo kidogo" kwa kiswahili. Ukisikia...
Inasemekana ni mtaalam wa mafunzo ya kulenga shabaha na uokozi.Jamaa huyo alijizolea sifa/pongezi toka kwa wananchi wa Kenya kwa namna alivyojitahidi kuwaokoa wahanga wa tukio baya kabisa lililo...
Ili kulielewa vyema na kulitumikia jambo ni lazima mtu kujua nini kilipelekea nini ili leo kipi kitokee. Ni kama vile watu wote huwaheshimu wazazi wao kwa kujua kiuhalisia kwamba ni wao ndio...
*JE, UNAMFAHAMU MTU ALIYEGUNDUA MITIHANI YA DARASANI?*
Kuna utata katika swala hili. Wapo watu wanatajwa kuwa mmojawapo ndiye aliyegundua mitihani ya darasani.
Fatilia ufafanuzi wangu...
ukimsikiliza kwa makini huyo jamaa hapo mwishoni anasema kuna nchi za afrika kuna waafrika walishatoweka kabisa kwa mfano misri nk.
kwa misingi hiyo inamaana waafrika tusipo kaa sawa tutakuja...
katika maisha uwezi kujua dunia mengine tufanye ni ulimwengu uliopo tusio jua.!? kwa nini ! Marais wawili wakuu wa Merika waliuawa kwa sababu ya haki
Novemba 22, 2003 ni alama ya kumbukumbu ya...
Habarini za uzima wakuu, naomba kuleta kwenu uzi huu unaohusu mambo kidogo juu ya mchezo wa Jumanji ambao umepelekea mpaka kutolewa kwa movie mbili zenye matukio ya kufanana.
Karibuni.
Kwa wale...
Kila Taifa duniani ili lisimame imara lazima idara hii iwepo, mfano US utawakuta CIA AU NASSA, Urusi wapo KGB na kadhalika. Tunasema Malaika hasa kulingana na ugumu na upekee wa kazi yenyewe, Wao...
Tarehe 8, mwezi wa 8 mwaka 2005, saa tatu asubuhi ikiwa ni siku ya Jumatatu, moja ya tawi la Bank Kuu ya Brazil lililopo katika mji wa Fortaleza katika jimbo la Ceara, lilifunguliwa kama kawaida...
Intelijensia: Pandikizi Chochezi
Source: Agent provocateur - Wikipedia
Suala la Intelijensia, ujasusi na ushushushu ni kitu adhimu sana kukifahamu si tu kwa manufaa ya usalama wa nchi bali pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.