God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,790
- 3,020
Katika maisha ya binadamu ni watu wachache sana tena ambao ni vichaa, matahira au waliologwa ndio wanaoweza kwenda kinyume na wazazi wao au kwa kwa lugha rahisi kuwasaliti wazazi wao au kuwa ignore completely.
Ni jambo gumu sana kwa binadamu kulifanya kwani watoto huwapenda sana wazazi wao na ni kweli ni watu muhimu sana kwao. Wamewalea na kuwafikisha hapo walipo.
Sasa wazee wa kazi (KITENGO) wanachukulia fursa hii adimu kupata credible asset au watu wa kuaminika.
Ni rahisi kuwaamini bila mashaka.
Wazazi wao nao wanakua na details zao ndani ya hizo agency hivyo mambo yanakua mbwito mbwito.
Hii njia imewamaliza watu wengi sana na kwa bahati mbaya hawajitambui. Kwa hiyo wanaliwa kiulaini mno kwa kuwa brainwashed na wazazi wao wenyewe.
Kwa hili nawalaumu sana wazazi na mwisho wa siku malipo ni hapa hapa duniani tuu na motoni utalipa, Nalaumu hili iwapo kijana/mtoto ataingizwa chaka kwa kupitia wazazi wake.
Watoto wengine unakuta walishapangiwa siku nyingi sana na wazazi wao kuuawa kwa malipo fulani/kuuzwa.
Most intelligence agencies zote za huu ulimwengu hufanya hivyo, akina CIA, KGB, Mossad and so on…
Unaweza shangaa taifa kubwa kama marekani/USA lenye maadui kila kuona ya ulimwengu hadi kuzimu kwanini hawaangushwi/hawaadhibiwi? Lina kila aina ya races/jamii zote za ulimwengu so kutengeneza ma agent wa covert operation ni simple sana lakini kwanini hili linakua gumu?
Jibu ni fupi tuu hilo taifa lina watu wanalishikilia. Nafasi nyeti hawapewi watu tuu from no where.
Wapo watu wa kuaminika toka vizazi na vizazi ambao taarifa zao hazipo popote wala hawaongelewi kabisa hawa ndio roho ya hilo taifa.
Hizo nafasi nyingine sio deep na ikitoke shida mhusika anadhibitiwa mara moja.
Mataifa yanaendeshwa kiutaalamu sana. Hata wale wanaolalamika huku kwamba wana vipaji lakini hawapewi hizo nafasi wajue tuu wanajulikana vizuri sana ila hawafai kwani ni threat na pengine background ya wazazi wao ni mbaya pengine ni defector au wapinzani au walidhulumia. Kwa hiyo kupunguza visasi na matatizo yatakayotokea wanakua omitted mapema sana.
NB:Ndugu zangu kwa upendo wangu kwenu nawaombeni sana msimuamini mtu yeyote yule chini ya jua ila ishini na wato wote vizuri hata wabaya wenu. Binadamu ni dhaifu sana na niwaambieni tuu hakuna mtu atakaeweza kutoa uhai wake kwa watu wengine na wanaogopa onyo. Kaeni mbali sana na marafiki zenu wa karibu (damu damu) na ndugu zenu wa kuzaliwa. Kaeni mbali sana na girl/boy friend, wachumba, masela/washkaji, wake na waume zenu. Hao ni target/silaha ya maangamizi na njia ya kufikia target(Mlengwa wao). Watu wengi wameuawa na watu wao wa karibu kama Rais wa Burkina-faso marehemu Thomas Sankara (Aliuawa na rafiki/mlinzi wake mkuuu Blaise Compaore aliekuja kuwa Rais baada ya yeye, alipoulizwa alisema makomandoo wa ufaransa ndio waliohusika), Laurent Kabila uyu alikua rais wa Congo DRC aliuwawa na bodigadi wake, Fidel Castrol mkewe alitumiwa na CIA kumuwekea sumu kwenye kinywaji lakini Fidel alishtukia mchezo hivyo akakishinda kifo na wengineo.
Chunguzeni kwa kina tuu hata kwenye /mitaa/vijiji/miji/familia zenu vifo vya kitata/kishirikina/kichawi wahusika wakuu ni watu wa karibu hivyo ni vyema kuokoka mapema kuwa na kinga ya Mungu kwa maana maadui ni wengi na vita mipiganavyo sio vya kimwili bali vya kiroho. Mambo mengi huanzia ulimwengu wa kiroho ila sasa kama huna uelewa na haya mambo ni vyema uanze kuutafuta utukufu wa Mungu mapema sana. Tafuta wachungaji kwenu, mafundisho google, youtube, facebook, instagram hata hapa lipo jukwaa la dini/imani upate kujifunza.
It’s dangerous game to trust anyone even your lovely parents/children. Usiwe na aibu ya kuwatupilia mbali watu wako wa karibu eti kisa watakuona vibaya. That is wrong… ndipo watu wengi wanapoangukia kwa hofu ya kukwepa lawama. Ukiona shida sana ita mtu wako huyo wa karibu mwambie waogopa mabaya yatakayomkumba kwa kuwa karibu na wewe. Hata maandiko yanasema amuaminiye binadamu amelaaniwa.
“Bora lawama kuliko fedhea/kifo”
Ni muhimu sana kuisikiliza sauti ya MUNGU kuliko binadamu, Na tatizo la binadamu hawaamini bila kushuhudia ila naama mhusika ukipuuzia sauti moja au mbili halafu ukaona madhara basi utajifunza kitu na utamuamini MUNGU siku zote za maisha yako.
Kua na positive mind. TRUST GOD ONLY!
Trust but verify - Ronald Reagan
Good luck! Mungu awe nanyi, wakuu.
Mika 7:5-6
Ni jambo gumu sana kwa binadamu kulifanya kwani watoto huwapenda sana wazazi wao na ni kweli ni watu muhimu sana kwao. Wamewalea na kuwafikisha hapo walipo.
Sasa wazee wa kazi (KITENGO) wanachukulia fursa hii adimu kupata credible asset au watu wa kuaminika.
Ni rahisi kuwaamini bila mashaka.
Wazazi wao nao wanakua na details zao ndani ya hizo agency hivyo mambo yanakua mbwito mbwito.
Hii njia imewamaliza watu wengi sana na kwa bahati mbaya hawajitambui. Kwa hiyo wanaliwa kiulaini mno kwa kuwa brainwashed na wazazi wao wenyewe.
Kwa hili nawalaumu sana wazazi na mwisho wa siku malipo ni hapa hapa duniani tuu na motoni utalipa, Nalaumu hili iwapo kijana/mtoto ataingizwa chaka kwa kupitia wazazi wake.
Watoto wengine unakuta walishapangiwa siku nyingi sana na wazazi wao kuuawa kwa malipo fulani/kuuzwa.
Most intelligence agencies zote za huu ulimwengu hufanya hivyo, akina CIA, KGB, Mossad and so on…
Unaweza shangaa taifa kubwa kama marekani/USA lenye maadui kila kuona ya ulimwengu hadi kuzimu kwanini hawaangushwi/hawaadhibiwi? Lina kila aina ya races/jamii zote za ulimwengu so kutengeneza ma agent wa covert operation ni simple sana lakini kwanini hili linakua gumu?
Jibu ni fupi tuu hilo taifa lina watu wanalishikilia. Nafasi nyeti hawapewi watu tuu from no where.
Wapo watu wa kuaminika toka vizazi na vizazi ambao taarifa zao hazipo popote wala hawaongelewi kabisa hawa ndio roho ya hilo taifa.
Hizo nafasi nyingine sio deep na ikitoke shida mhusika anadhibitiwa mara moja.
Mataifa yanaendeshwa kiutaalamu sana. Hata wale wanaolalamika huku kwamba wana vipaji lakini hawapewi hizo nafasi wajue tuu wanajulikana vizuri sana ila hawafai kwani ni threat na pengine background ya wazazi wao ni mbaya pengine ni defector au wapinzani au walidhulumia. Kwa hiyo kupunguza visasi na matatizo yatakayotokea wanakua omitted mapema sana.
NB:Ndugu zangu kwa upendo wangu kwenu nawaombeni sana msimuamini mtu yeyote yule chini ya jua ila ishini na wato wote vizuri hata wabaya wenu. Binadamu ni dhaifu sana na niwaambieni tuu hakuna mtu atakaeweza kutoa uhai wake kwa watu wengine na wanaogopa onyo. Kaeni mbali sana na marafiki zenu wa karibu (damu damu) na ndugu zenu wa kuzaliwa. Kaeni mbali sana na girl/boy friend, wachumba, masela/washkaji, wake na waume zenu. Hao ni target/silaha ya maangamizi na njia ya kufikia target(Mlengwa wao). Watu wengi wameuawa na watu wao wa karibu kama Rais wa Burkina-faso marehemu Thomas Sankara (Aliuawa na rafiki/mlinzi wake mkuuu Blaise Compaore aliekuja kuwa Rais baada ya yeye, alipoulizwa alisema makomandoo wa ufaransa ndio waliohusika), Laurent Kabila uyu alikua rais wa Congo DRC aliuwawa na bodigadi wake, Fidel Castrol mkewe alitumiwa na CIA kumuwekea sumu kwenye kinywaji lakini Fidel alishtukia mchezo hivyo akakishinda kifo na wengineo.
Chunguzeni kwa kina tuu hata kwenye /mitaa/vijiji/miji/familia zenu vifo vya kitata/kishirikina/kichawi wahusika wakuu ni watu wa karibu hivyo ni vyema kuokoka mapema kuwa na kinga ya Mungu kwa maana maadui ni wengi na vita mipiganavyo sio vya kimwili bali vya kiroho. Mambo mengi huanzia ulimwengu wa kiroho ila sasa kama huna uelewa na haya mambo ni vyema uanze kuutafuta utukufu wa Mungu mapema sana. Tafuta wachungaji kwenu, mafundisho google, youtube, facebook, instagram hata hapa lipo jukwaa la dini/imani upate kujifunza.
It’s dangerous game to trust anyone even your lovely parents/children. Usiwe na aibu ya kuwatupilia mbali watu wako wa karibu eti kisa watakuona vibaya. That is wrong… ndipo watu wengi wanapoangukia kwa hofu ya kukwepa lawama. Ukiona shida sana ita mtu wako huyo wa karibu mwambie waogopa mabaya yatakayomkumba kwa kuwa karibu na wewe. Hata maandiko yanasema amuaminiye binadamu amelaaniwa.
“Bora lawama kuliko fedhea/kifo”
Ni muhimu sana kuisikiliza sauti ya MUNGU kuliko binadamu, Na tatizo la binadamu hawaamini bila kushuhudia ila naama mhusika ukipuuzia sauti moja au mbili halafu ukaona madhara basi utajifunza kitu na utamuamini MUNGU siku zote za maisha yako.
Kua na positive mind. TRUST GOD ONLY!
Trust but verify - Ronald Reagan
Good luck! Mungu awe nanyi, wakuu.
Mika 7:5-6