Duniani kuna viumbe vitatu tuu.... vyenye mpangilio sawia kwenye ubongo. Navyo ni:~
A. Binadamu
B. Dolfine
C. Gorilla
Bila kusahau tembo mwenye ubongo mkubwa mno lakini uko fold ndani ya...
Huko mwaka 2018 kulivuma habari, Marekani baada ya mtu mmoja asiyejulikana jina ....kutuma ujumbe wa sauti katika vyanzo mbalimbali ikiwemo vya habari
Mtu huyo alieleza kuwa 12-9-2018 atazaliwa...
Hii ni sehemu ya kitabu cha RWANDESE SPIONNEN kilichoandikwa kwa lugha ya ki Dutch na mwandishi nguli wa masuala ya Ujasusi Arend Goffin,kitabu pia kimetafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili...
Hawa ni viumbe ambao inakadiriwa waliishi miaka mingi iliyopita kabla hata ya mwanadamu kuwekwa kwenye uso wa dunia. Kipindi hicho dunia ilikuwa haijagawanyika, ardhi ilikuwa sehemu moja na...
Kama ilivyo ada kwa majeshi ya nchi kua na kitengo cha Anga,Jeshi letu pia sisi wananchi wa Tanzania tunayo kamandi yetu inaitwa Air Wing.Nembo yake ni hii hapa.
Sare zao ni hizi hapa
Huyu ni...
Habari zenu wanajamvi, awali ya yote namshukuru Mungu kwa kunipa uhai....
Going straight to the point,. Hizi siku chache almost (22+days), baada ya kuwa na almost same routine nnapokaribia...
Rafiki yangu mpendwa,
Tahajudi au kama inavyofahamika kwa Kiingereza Meditation ni zoezi la kiakili ambalo linatuwezesha kuwa na udhibiti wa fikra zetu, kitu ambacho kinatuletea utulivu mkubwa na...
Ukijifunza kuyachungulia mawazo yako utaona si kitu ila ni mzigo wa mambo yaliyopita na matarajio yajayo, ukifikiria kwa makini utagundua yaliyopita na yajayo yote ni taswira ya fikra tu ila sio...
Hii machine pichani inaitwa Sarco device au Pegasos wengi wanapenda kuiita suicide bag au Death Pod kwa majina ya utani ila kitaalamu inaitwa "Euthanasia device" hii mashine inatumika kwa Mtu...
Nilipokuwa nikisoma kuhusu dada yake kiongozi wa Korea Kaskazini aitwae Kim Yo-jong nikapata kidogo ufahamu wa chumba kiitwacho Room 39 ambacho inasadikiwa kuwa mume wake dada huyo aitwae Choe...
Makabila yote yanaweza shindwa maisha mjini na kukimbia na kuwaachia mji wamasai,sasa najiuljza huwa wanaishije?
Natamani nishinde na mmasai kuanzia asubuhi hadi jioni anapoenda kulala kwa mwezi...
Mwaka jana nilikuwa na boss wangu Mjerumani. Siku moja aliniambia mnajua nyinyi wa Africa mko mwisho katika jamiii zote 4 duniani? Yani 1 wazungu 2 Mongolians (Chinese&Japanese& Koreans) na wote...
Baada ya kufanya jaribio lake la pili kampuni ya Space X inayoongozwa na ELON MUSK la kurusha rocketi ya Falcon Heavy kuna kitu kipya kimeanza kusumbua akili ya “Alien Mask” ambapo kampuni yake...
Salaam Wandugu!
Ni Jambo ambalo najiuliza kila Uchao, kama kweli Uumbaji wa Mungu Ulikuwa ni wa Haki, Kwanini Kuliwekwa Matabaka ya Ngozi muonekano, yaani Nyeupe na Nyeusi? Mbaya Zaidi, Ngozi...
Wakuu sote tunafahamu kuwa giza hutokea pale mwanga unapotoweka..
Tumeona kuwa vyanzo vya mwanga ni kama vile nyota, umeme na kadhalika.
But CHANZO HALISI cha giza ni nini?(source of darkness)...
Habari za wakati huu wakuu, heri njema ziwe nanyi.
Nimejaribu kufikiria jinsi mwanadamu anavyoiendesha dunia kwa muda mrefu sasa pasipo ushindani wowote utokao kwa viumbe wengine mfano...
Mara tu unapozaliwa elimu ya kwanza nikuanza kukuprogramu kuwa mtu mwingine ambaye jamii inamwitaji hivyo jamii itakupa jina,watakuamulia lugha, na wataanza kukufundisha neno la kwanza la kutamka...
Kinachoifanya Dunia viumbe hai waezee kuisha ni kuwepo kwa Magnetic field na Ozone layer
Magnetic field
Jua linatoa miale ya mwanga ambayo inatumika Kama mwanga dunia na inakuja na upepo...
Ukisoma vizuri asili ya waafrika na sehemu mojawapo ambayo sisi waafrika tumekuwa tukijivunia kila tunapozungumzia ustaarabu tutagundua kuna sehemu hatupo sawa. Misri ni moja ya nchi za kale sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.