Katika pitapita zangu nilikutana na mjadala kuhusu maswala kuhusu Marekani na utawala wa Roman empire ndani ya kanisa katoliki.
Wapo wengine wanafikia hatua wanasema kiongozi yoyote au rais...
Jana katika pitapita zangu mitandaoni nikakutana na habari hii huko nchini naijeria ukiachana na kile kinachondelea huko maandamano ya wananchi na SARS yao.
kuna habari nyingine nlikutana nazo...
JWTZ lilianzishwa tarehe 01 Septemba 1964 likiwa na lengo la kulinda uhuru wa nchi na mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Dira ya JWTZ
Kuwa na Jeshi dogo, shupavu la Viongozi na Wataalamu...
Straight to the point.
Africa ni bara lililosheheni vitu vingi vya asili vyenye thamani.
Vitu ambavyo kama vingetumiwa ipasavyo na inavyotakiwa basi africa ingekuwa moja kati ya mabara yenye...
Huyu jamaa ukiingia Twitter utaelewa sio mtu wa kawaida. Kuna kampuni mpya iko Marekani waafanya kazi wao kila kukicha wanaona afadhali ya jana
Sasa kumbe kuna vitu wanaviita debris (majabali)...
Mtu alimuumba Mungu katika fikra zake ili awe kielelezo cha mambo yote yaliyokosa majibu kwa upeo wa watu.
Mungu alipewa sifa zote za kiutu kama vile huruma, chuki, upendo, ukatili, hasira, wivu...
Utakubaliana na mimi kuwa bwana wa mabwana na mfalme wa wafalme ni muumba mwenyewe wa kila kilichopo na katika yeye kilifanyika kila kitu na pasipo yeye akikufanyika chochote,
hivyo alitengeneza...
Habari wakuu?
Husikeni na kichwa Cha habari hapo juu. Mara nyingi nimekuwa nikifuatilia thread mbalimbali zinazoielezea Lucid dreaming. Zinaelezea ya kwamba lucid dreaming ni kwaajili ya...
Wakuu Tumsifu Yesu Kristu!
sisi wakatoliki kuna kitu kinaitwa Mwaka wa Kanisa.. au Jumapili ya Kadhaa ya Mwaka wa Kanisa je utajuaje Hii ni jumapili namba Fulani ya Mwaka wa Kanisa?
Mfano...
Sisi binadamu wengi ni wanafiki na hatuna misimamo au tabia ya kutoridhika, kwa mfano kulingana na maandiko(kutoka), Musa aliwapambaniaa Waisrael kutoka kwenye mateso makali misri na kuwapeleka...
Mambo ya jinsi na jinsia tangu kale yamekuwa mambo ya tafiti nyingi. Kwa karne nyingi mambo ya jinsi na jinsia hayakuwa yanaeleweka wazi.
Kuna mitazamo mbalimbali katika jamii kuhusu mambo ya...
Binafsi nimekuwa nikijiuliza sana juu utimamu na ueledi wa Binadamu wa dunia ya tatu (THIRD WORLD COUNTRIES). Kumekuwa na mambo yanafanyika katika nchii hizi hakika ukitathimini vizuri huwezi...
Ukweli ni kwamba wajomba hawa hutenda haki japo wanaishi kama upepo maana hawaonekAni,mpakA umri huu nilionao nawasikia tu kuwa wapo hata ofisi zao hazijulikAni,sifa hizi zinawafanya kuitwa...
KANALI KASHMIR NA KANALI MAHFOUDH WALIVYOSAIDIA KUPATIKANA KWA UHURU WA MSUMBIJI
Na. Simon Noel
Jeshi letu la wananchi wa Tanzania JWTZ limetimiza miaka zaidi ya hamsini sasa huku likiwa na...
Ni wazi kuwa tumepiga hatua kama nchi toka enzi za kutawaliwa mpaka kujitawala wenyewe natumefanikiwa katika baadhi ya mambo ya msingi/muhimu katika kujenga taifa/utaifa wetu ikiwa ni pamoja...
Hakuna binadamu anayefikia u-smart alionao Mungu, kwanza kabisa Mungu hawezi vunja sheria aliyojiwekea tofaut na mwanadamu, pili Mungu sio muongeaji ongeaji hovyo, huwa ana maneno machache Kwa...
Ndugu zangu wana intelligence Nina wazo muhimu ambalo linaweza kubadili Tanzania kuwa katika ulimwengu wa pili au wa kwanza kabisa,
Hii anatakiwa kuwa mwendelezo kabisa siyo suala la kukurupuka...
Je, ni kweli roho ina uzani wa gr21?
Iwapo watu wa kale nchini Misri walikuwa wakisema ukweli , baada ya kifo binadamu huingia katika safari ndefu yenye matatizo hadi pale tunapowasili katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.