Habari za kazi wakuu!?? Ni matumaini yangu yu wazima wa afya kabisa na ninaomba nitoe pole kwa ndugu zetu waaliopo hosipitali kwa muda huu,
Naomba turudi kwenye swali hapo juu...
Salute comrades,
Wakuu, naomba kufahamishwa, Mbinguni anapoishi Mungu ni wapi?
Ukisoma Biblia, Katekisimu etc zinasema Mungu yupo Mbinguni na mahali pote duniani. Je Mbinguni ni wapi?
Ni kule...
Wakubwa zangu kumekuwa na mijadala miwili kinzani kuhusu umbo la dunia yetu nzuri.
Wapo ambao wamethibitisha kwamba dunia ni ya mviringo kama tulivyosoma mashuleni na sababu za kutuambia hivyo...
VIETNAM WAR UNSUNG HEROES: Kutana na Komando wa Marekani aliyenusurika kuzikwa akiwa hai. Alimtemea daktari mate usoni akiwa ndani ya begi la kubebea maiti.
Roy Benavidez pia anajulikana kwa...
Vitazame vitu vyote: hai na visivyo hai, muundo wao na jinsi yao ni ya kustajabia.
Ni kwa namna gani vitu hivi vimepangwa katika mpangilio huo, ni jambo pia la kustajabia.
Hakuna kitu kilicho...
Hivi ndivyo mdomo wake ulivyo kwa ndani
Picha na buzzfeed
Watu wengi wamekua wakijiuliza sana kuusu mdomo wake unavyotisha
Ukiingia kwenye account ya ig kwa brykim official kwa kutumia...
Hello, habari zenu wakuu. Nahisi muko wazima wa afya, leo nimekuja na hii, unahisi dunia itakuwaje kama sisi sote tukilala kwa muda wa miaka 1000. Baada ya miaka hiyo 1000 tutakapoamka dunia...
Tuanze na HALI YA KWELI na HALI YS UONGO. Kuijua hali ya kweli lazima tupime na hali ya uwongo. Uongo ni hali isiyo na msimamo hubarika badirika kutokana mahali na muda unavyopita. Mfano; Rangi ya...
Habarini wana Intelijenisia...
Katika thread hii nitajaribu kufupisha maana ina mambo mengi sana. Tutajuzana zaidi pindi tutapojadili kwa pamoja. Moja kwa moja nataka nilete hii mada tupate...
Kumekuwepo maswali kadha wa kadha toka kwa wadau wakitaka kujua maana ya UTAKATISHAJI FEDHA (Money laundering), wengine huita "PESA/FEDHA CHAFU" na tumeona ni vema ikaeleweka kwa lugha rahisi kwa...
Habari za muda huu wana jf. Naiman mu wazima wa afya na shughuli za kusaka tonge zinaendelea. Mdogo wenu wa mwisho hapa 'kiziwanda' katika harakati zangu za kupunguza stress za mapenzi, ajira na...
Natumai mu wazima,
Kama kichwa kinavyouliza ndicho nachotaka kujua.
Tunaona mwezi, dunia, nyota na sayari nyengine zina umbo la duara nimetafakari kwanini vipo hivi nimekosa majibu, then nikaona...
Katika pitapita zangu nilikutana na mjadala kuhusu maswala kuhusu Marekani na utawala wa Roman empire ndani ya kanisa katoliki.
Wapo wengine wanafikia hatua wanasema kiongozi yoyote au rais...
Umewahi kujiuliza hii kitu?
Basi tujifunze kwa pamoja, kwa wale wajuvi karibuni tusemezane.
Viumbe wengi hupata usingizi, kama sio wote. Na katika ile hatua ya Macho Mwendokasi (Rapid Eye...
Jana katika pitapita zangu mitandaoni nikakutana na habari hii huko nchini naijeria ukiachana na kile kinachondelea huko maandamano ya wananchi na SARS yao.
kuna habari nyingine nlikutana nazo...
JWTZ lilianzishwa tarehe 01 Septemba 1964 likiwa na lengo la kulinda uhuru wa nchi na mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Dira ya JWTZ
Kuwa na Jeshi dogo, shupavu la Viongozi na Wataalamu...
Straight to the point.
Africa ni bara lililosheheni vitu vingi vya asili vyenye thamani.
Vitu ambavyo kama vingetumiwa ipasavyo na inavyotakiwa basi africa ingekuwa moja kati ya mabara yenye...
Huyu jamaa ukiingia Twitter utaelewa sio mtu wa kawaida. Kuna kampuni mpya iko Marekani waafanya kazi wao kila kukicha wanaona afadhali ya jana
Sasa kumbe kuna vitu wanaviita debris (majabali)...
Mtu alimuumba Mungu katika fikra zake ili awe kielelezo cha mambo yote yaliyokosa majibu kwa upeo wa watu.
Mungu alipewa sifa zote za kiutu kama vile huruma, chuki, upendo, ukatili, hasira, wivu...
Utakubaliana na mimi kuwa bwana wa mabwana na mfalme wa wafalme ni muumba mwenyewe wa kila kilichopo na katika yeye kilifanyika kila kitu na pasipo yeye akikufanyika chochote,
hivyo alitengeneza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.