Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Habari za kazi wakuu!?? Ni matumaini yangu yu wazima wa afya kabisa na ninaomba nitoe pole kwa ndugu zetu waaliopo hosipitali kwa muda huu, Naomba turudi kwenye swali hapo juu...
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Salute comrades, Wakuu, naomba kufahamishwa, Mbinguni anapoishi Mungu ni wapi? Ukisoma Biblia, Katekisimu etc zinasema Mungu yupo Mbinguni na mahali pote duniani. Je Mbinguni ni wapi? Ni kule...
16 Reactions
185 Replies
33K Views
Wakubwa zangu kumekuwa na mijadala miwili kinzani kuhusu umbo la dunia yetu nzuri. Wapo ambao wamethibitisha kwamba dunia ni ya mviringo kama tulivyosoma mashuleni na sababu za kutuambia hivyo...
3 Reactions
44 Replies
6K Views
VIETNAM WAR UNSUNG HEROES: Kutana na Komando wa Marekani aliyenusurika kuzikwa akiwa hai. Alimtemea daktari mate usoni akiwa ndani ya begi la kubebea maiti. Roy Benavidez pia anajulikana kwa...
21 Reactions
63 Replies
12K Views
Vitazame vitu vyote: hai na visivyo hai, muundo wao na jinsi yao ni ya kustajabia. Ni kwa namna gani vitu hivi vimepangwa katika mpangilio huo, ni jambo pia la kustajabia. Hakuna kitu kilicho...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Hivi ndivyo mdomo wake ulivyo kwa ndani Picha na buzzfeed Watu wengi wamekua wakijiuliza sana kuusu mdomo wake unavyotisha Ukiingia kwenye account ya ig kwa brykim official kwa kutumia...
13 Reactions
61 Replies
10K Views
  • Poll Poll
Hello, habari zenu wakuu. Nahisi muko wazima wa afya, leo nimekuja na hii, unahisi dunia itakuwaje kama sisi sote tukilala kwa muda wa miaka 1000. Baada ya miaka hiyo 1000 tutakapoamka dunia...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Tuanze na HALI YA KWELI na HALI YS UONGO. Kuijua hali ya kweli lazima tupime na hali ya uwongo. Uongo ni hali isiyo na msimamo hubarika badirika kutokana mahali na muda unavyopita. Mfano; Rangi ya...
6 Reactions
71 Replies
5K Views
Habarini wana Intelijenisia... Katika thread hii nitajaribu kufupisha maana ina mambo mengi sana. Tutajuzana zaidi pindi tutapojadili kwa pamoja. Moja kwa moja nataka nilete hii mada tupate...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Kumekuwepo maswali kadha wa kadha toka kwa wadau wakitaka kujua maana ya UTAKATISHAJI FEDHA (Money laundering), wengine huita "PESA/FEDHA CHAFU" na tumeona ni vema ikaeleweka kwa lugha rahisi kwa...
1 Reactions
162 Replies
72K Views
Habari za muda huu wana jf. Naiman mu wazima wa afya na shughuli za kusaka tonge zinaendelea. Mdogo wenu wa mwisho hapa 'kiziwanda' katika harakati zangu za kupunguza stress za mapenzi, ajira na...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Natumai mu wazima, Kama kichwa kinavyouliza ndicho nachotaka kujua. Tunaona mwezi, dunia, nyota na sayari nyengine zina umbo la duara nimetafakari kwanini vipo hivi nimekosa majibu, then nikaona...
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Katika pitapita zangu nilikutana na mjadala kuhusu maswala kuhusu Marekani na utawala wa Roman empire ndani ya kanisa katoliki. Wapo wengine wanafikia hatua wanasema kiongozi yoyote au rais...
14 Reactions
230 Replies
50K Views
Umewahi kujiuliza hii kitu? Basi tujifunze kwa pamoja, kwa wale wajuvi karibuni tusemezane. Viumbe wengi hupata usingizi, kama sio wote. Na katika ile hatua ya Macho Mwendokasi (Rapid Eye...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Jana katika pitapita zangu mitandaoni nikakutana na habari hii huko nchini naijeria ukiachana na kile kinachondelea huko maandamano ya wananchi na SARS yao. kuna habari nyingine nlikutana nazo...
19 Reactions
76 Replies
15K Views
JWTZ lilianzishwa tarehe 01 Septemba 1964 likiwa na lengo la kulinda uhuru wa nchi na mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Dira ya JWTZ Kuwa na Jeshi dogo, shupavu la Viongozi na Wataalamu...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Straight to the point. Africa ni bara lililosheheni vitu vingi vya asili vyenye thamani. Vitu ambavyo kama vingetumiwa ipasavyo na inavyotakiwa basi africa ingekuwa moja kati ya mabara yenye...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Huyu jamaa ukiingia Twitter utaelewa sio mtu wa kawaida. Kuna kampuni mpya iko Marekani waafanya kazi wao kila kukicha wanaona afadhali ya jana Sasa kumbe kuna vitu wanaviita debris (majabali)...
10 Reactions
36 Replies
5K Views
Mtu alimuumba Mungu katika fikra zake ili awe kielelezo cha mambo yote yaliyokosa majibu kwa upeo wa watu. Mungu alipewa sifa zote za kiutu kama vile huruma, chuki, upendo, ukatili, hasira, wivu...
50 Reactions
801 Replies
64K Views
Utakubaliana na mimi kuwa bwana wa mabwana na mfalme wa wafalme ni muumba mwenyewe wa kila kilichopo na katika yeye kilifanyika kila kitu na pasipo yeye akikufanyika chochote, hivyo alitengeneza...
2 Reactions
0 Replies
929 Views
Back
Top Bottom