Siku zote sayansi ni mazoezi unapotaka kujua nini ?!
Lakini watu wengi tumekuwa tukijiuliza kipi ni kipi na kwa nini kipo.mambo ya kuadithiwa sikutaka na kuisoma vzuri sana.
Basi tunazungumzia...
Duniani watu wachache tu ndio wanatumia akili. Wengine mabilioni hawawezi tena kutumia akili katika kuishi.
Kuna sababu kubwa moja kwanini mabilioni ya watu duniani hawatumii akili katika kuishi...
Kila siku kukicha wanasayansi wanazidi kugundua na kutambua nyota na sayari zilizopo zilizopo na mpaka kujua je mwisho wa hizo nyote ni wapi !.
Ilifikia upande kusema tukijumlisha vyote kwa hiyo...
Ukusanyaji wa data na kupata nini kuna muda tunaitaji vifaa super computer za hali ya juu kuzidi hata google kuhesabu na kujibu kila mmoja.
Lakini wanasayansi wa anga wamejaribu kukusanya picha...
STAFF SERGEANT Carlos Norman Hathcock: Askari Jeshi aliyetambaa mita zaidi ya 2,000 kwa siku 3 msituni bila kula wala kulala na kumuua Major General Vietnam.
Wakati wa mission hatari ya...
Huwa najiuliza uteule wa wayahudi!
Kumbe huhitaji kuwa mkristo ili uwe mteule
AU JE MUNGU NI WA UPENDELEO, watu wengine wakimuasi wanaitwa wadhambi, wengine wakiasi wanaitwa wateule?
Hadi hivi sasa mwanadamu amekuwa akijitahidi kufanya kila kitu ili kutimiza na kurahisisha maisha yake,moja Kati ya jambo pana mpaka sasa kiumbe huyu analotaka ni kutua unyayo wake katika sayari...
Habari wana jamii.
Slogani hizi ndo imenishawishi kutafakari haya yote.
"Education is the Key To Success"
"Education For The Bright Future"
Nimeshindwa kutambua kosa liko wapi lakini natambua...
Imeatangazwa kuwa tawi la Alqaeda la Afrika Magharibi linajulikano kama AQIM limemchagua muAlgeria Abu Obaida Yusuf al-Annabi aliyekuwa mjumbe baraza la watukufu wa tawi hilo kuchukua nafasi ya...
Kemikali yoyote au mchanganyiko ambao huleta mabadiliko ya kihisia na ufahamu ni dawa za kulevya.
Matumizi ya dawa za kulevya huleta utegemezi na usugu.
Utegemezi ni hali ya kushindwa kuishi...
Hii ni njia ya kuachia virusi, bacteria au fangasi kwenye jamii ya watu, mazao au mifugo ili kuweza kuwaambukiza kwa makusudi ugonjwa fulani na kuua kila kitu chenye uhai kwenye sura ya ardhi...
Henrietta Lacks: Seli pekee za mwanadamu zilizoendelea kukua na kuzaliana katika maabara
Saa 1 iliyopita
CHANZO CHA PICHA,AP
Maelezo ya picha,
Simulizi yake ilikuwa maafuru kutokana na kitabu...
Ukuu na Mafanikio havipatikani kwa kwenda shule au kwa kuwa na degree. Kama ingekuwa ni shule basi Maprofesa ndo mabilionea wa dunia. Kwenda shule ni kitu kimoja na kufanikiwa kupitia shule yako...
Habari ndugu wana Jamii Intelligence,
Katika kupitia pitia vitabu vyangu siku ya jana, nikapitia kitabu cha mwanafalsafa mmoja aitwae "Walt Whitman Rostow" (Rostow's Stages Of Economic Growth...
SALUTE COMRADES
Hii mijengo hapa chini ni mijengo iliyojengwa miaka mingi zaidi kabla ya Kristo, enzi hizo teknolojia ya usafiri ilikua chini!
Swali ni je, nani aliyezunguka bara moja kwenda...
Mtu kwenda shule ni kitu kizuri na mtu kupata elimu ni kitu kizuri zaidi ili mtu upate elimu siyo lazima uende shule.
NAOMBA TUSIKILIZANE VIZURI
nakumbuka zamani nilipokuwa mdogo baba aliniambia...
Habari za kutwa wana Jf, yawezekana wewe Kama watu wengine wengi umekuwa ukitazama Hollywood movies za agents mbalimbali wa CIA, na ulivutiwa na uwezo wao wa kufikiri kutenda na ku "imagine"...
Watu wengi kwa kutokujua wamekuwa wakiamini kuwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa India, Indira Gandhi alikuwa mtoto wa Baba wa Taifa la India Mahtma Gandhi. Indira hakuwa mtoto wa Gandhi bali...
Usije sema labda inaweza kua pyramid mimi sizani
Mimi hata siamini kua hii inaweza kua ghali sana!
Wengi mnaweza sema pyramid ilikua ghali sini kweli?
Labda kwa kuangalia nikwa kiasi gani...
Is Tanzania's intelligence apparatus sophisticated enough to have been using modern wiretapping (apart from bugging telephone lines at the Exchanges)?
If they use some form of wiretapping, do...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.