Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Siku zote sayansi ni mazoezi unapotaka kujua nini ?! Lakini watu wengi tumekuwa tukijiuliza kipi ni kipi na kwa nini kipo.mambo ya kuadithiwa sikutaka na kuisoma vzuri sana. Basi tunazungumzia...
4 Reactions
11 Replies
4K Views
Duniani watu wachache tu ndio wanatumia akili. Wengine mabilioni hawawezi tena kutumia akili katika kuishi. Kuna sababu kubwa moja kwanini mabilioni ya watu duniani hawatumii akili katika kuishi...
7 Reactions
26 Replies
4K Views
Kila siku kukicha wanasayansi wanazidi kugundua na kutambua nyota na sayari zilizopo zilizopo na mpaka kujua je mwisho wa hizo nyote ni wapi !. Ilifikia upande kusema tukijumlisha vyote kwa hiyo...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Ukusanyaji wa data na kupata nini kuna muda tunaitaji vifaa super computer za hali ya juu kuzidi hata google kuhesabu na kujibu kila mmoja. Lakini wanasayansi wa anga wamejaribu kukusanya picha...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
STAFF SERGEANT Carlos Norman Hathcock: Askari Jeshi aliyetambaa mita zaidi ya 2,000 kwa siku 3 msituni bila kula wala kulala na kumuua Major General Vietnam. Wakati wa mission hatari ya...
59 Reactions
112 Replies
17K Views
Huwa najiuliza uteule wa wayahudi! Kumbe huhitaji kuwa mkristo ili uwe mteule AU JE MUNGU NI WA UPENDELEO, watu wengine wakimuasi wanaitwa wadhambi, wengine wakiasi wanaitwa wateule?
23 Reactions
415 Replies
66K Views
Hadi hivi sasa mwanadamu amekuwa akijitahidi kufanya kila kitu ili kutimiza na kurahisisha maisha yake,moja Kati ya jambo pana mpaka sasa kiumbe huyu analotaka ni kutua unyayo wake katika sayari...
14 Reactions
77 Replies
17K Views
Habari wana jamii. Slogani hizi ndo imenishawishi kutafakari haya yote. "Education is the Key To Success" "Education For The Bright Future" Nimeshindwa kutambua kosa liko wapi lakini natambua...
18 Reactions
104 Replies
10K Views
Imeatangazwa kuwa tawi la Alqaeda la Afrika Magharibi linajulikano kama AQIM limemchagua muAlgeria Abu Obaida Yusuf al-Annabi aliyekuwa mjumbe baraza la watukufu wa tawi hilo kuchukua nafasi ya...
8 Reactions
70 Replies
7K Views
Kemikali yoyote au mchanganyiko ambao huleta mabadiliko ya kihisia na ufahamu ni dawa za kulevya. Matumizi ya dawa za kulevya huleta utegemezi na usugu. Utegemezi ni hali ya kushindwa kuishi...
27 Reactions
115 Replies
30K Views
Hii ni njia ya kuachia virusi, bacteria au fangasi kwenye jamii ya watu, mazao au mifugo ili kuweza kuwaambukiza kwa makusudi ugonjwa fulani na kuua kila kitu chenye uhai kwenye sura ya ardhi...
12 Reactions
25 Replies
5K Views
Henrietta Lacks: Seli pekee za mwanadamu zilizoendelea kukua na kuzaliana katika maabara Saa 1 iliyopita CHANZO CHA PICHA,AP Maelezo ya picha, Simulizi yake ilikuwa maafuru kutokana na kitabu...
1 Reactions
1 Replies
805 Views
Ukuu na Mafanikio havipatikani kwa kwenda shule au kwa kuwa na degree. Kama ingekuwa ni shule basi Maprofesa ndo mabilionea wa dunia. Kwenda shule ni kitu kimoja na kufanikiwa kupitia shule yako...
21 Reactions
56 Replies
9K Views
Habari ndugu wana Jamii Intelligence, Katika kupitia pitia vitabu vyangu siku ya jana, nikapitia kitabu cha mwanafalsafa mmoja aitwae "Walt Whitman Rostow" (Rostow's Stages Of Economic Growth...
2 Reactions
42 Replies
7K Views
SALUTE COMRADES Hii mijengo hapa chini ni mijengo iliyojengwa miaka mingi zaidi kabla ya Kristo, enzi hizo teknolojia ya usafiri ilikua chini! Swali ni je, nani aliyezunguka bara moja kwenda...
20 Reactions
211 Replies
43K Views
Mtu kwenda shule ni kitu kizuri na mtu kupata elimu ni kitu kizuri zaidi ili mtu upate elimu siyo lazima uende shule. NAOMBA TUSIKILIZANE VIZURI nakumbuka zamani nilipokuwa mdogo baba aliniambia...
7 Reactions
33 Replies
7K Views
Habari za kutwa wana Jf, yawezekana wewe Kama watu wengine wengi umekuwa ukitazama Hollywood movies za agents mbalimbali wa CIA, na ulivutiwa na uwezo wao wa kufikiri kutenda na ku "imagine"...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Watu wengi kwa kutokujua wamekuwa wakiamini kuwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa India, Indira Gandhi alikuwa mtoto wa Baba wa Taifa la India Mahtma Gandhi. Indira hakuwa mtoto wa Gandhi bali...
6 Reactions
11 Replies
3K Views
Usije sema labda inaweza kua pyramid mimi sizani Mimi hata siamini kua hii inaweza kua ghali sana! Wengi mnaweza sema pyramid ilikua ghali sini kweli? Labda kwa kuangalia nikwa kiasi gani...
24 Reactions
49 Replies
11K Views
Is Tanzania's intelligence apparatus sophisticated enough to have been using modern wiretapping (apart from bugging telephone lines at the Exchanges)? If they use some form of wiretapping, do...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Back
Top Bottom