Habari wakuu?
Husikeni na kichwa Cha habari hapo juu. Mara nyingi nimekuwa nikifuatilia thread mbalimbali zinazoielezea Lucid dreaming. Zinaelezea ya kwamba lucid dreaming ni kwaajili ya...
Wakuu Tumsifu Yesu Kristu!
sisi wakatoliki kuna kitu kinaitwa Mwaka wa Kanisa.. au Jumapili ya Kadhaa ya Mwaka wa Kanisa je utajuaje Hii ni jumapili namba Fulani ya Mwaka wa Kanisa?
Mfano...
Sisi binadamu wengi ni wanafiki na hatuna misimamo au tabia ya kutoridhika, kwa mfano kulingana na maandiko(kutoka), Musa aliwapambaniaa Waisrael kutoka kwenye mateso makali misri na kuwapeleka...
Mambo ya jinsi na jinsia tangu kale yamekuwa mambo ya tafiti nyingi. Kwa karne nyingi mambo ya jinsi na jinsia hayakuwa yanaeleweka wazi.
Kuna mitazamo mbalimbali katika jamii kuhusu mambo ya...
Binafsi nimekuwa nikijiuliza sana juu utimamu na ueledi wa Binadamu wa dunia ya tatu (THIRD WORLD COUNTRIES). Kumekuwa na mambo yanafanyika katika nchii hizi hakika ukitathimini vizuri huwezi...
Ukweli ni kwamba wajomba hawa hutenda haki japo wanaishi kama upepo maana hawaonekAni,mpakA umri huu nilionao nawasikia tu kuwa wapo hata ofisi zao hazijulikAni,sifa hizi zinawafanya kuitwa...
KANALI KASHMIR NA KANALI MAHFOUDH WALIVYOSAIDIA KUPATIKANA KWA UHURU WA MSUMBIJI
Na. Simon Noel
Jeshi letu la wananchi wa Tanzania JWTZ limetimiza miaka zaidi ya hamsini sasa huku likiwa na...
Ni wazi kuwa tumepiga hatua kama nchi toka enzi za kutawaliwa mpaka kujitawala wenyewe natumefanikiwa katika baadhi ya mambo ya msingi/muhimu katika kujenga taifa/utaifa wetu ikiwa ni pamoja...
Hakuna binadamu anayefikia u-smart alionao Mungu, kwanza kabisa Mungu hawezi vunja sheria aliyojiwekea tofaut na mwanadamu, pili Mungu sio muongeaji ongeaji hovyo, huwa ana maneno machache Kwa...
Ndugu zangu wana intelligence Nina wazo muhimu ambalo linaweza kubadili Tanzania kuwa katika ulimwengu wa pili au wa kwanza kabisa,
Hii anatakiwa kuwa mwendelezo kabisa siyo suala la kukurupuka...
Je, ni kweli roho ina uzani wa gr21?
Iwapo watu wa kale nchini Misri walikuwa wakisema ukweli , baada ya kifo binadamu huingia katika safari ndefu yenye matatizo hadi pale tunapowasili katika...
Mawazo ni uhalisia.
Mawazo ni uhalisia unaosubiri muda fulani na space kufika na uhalisia huo kuonekana katika ulimwengu wako. Kinachofanya uone mawazo sio uhalisia ni muda. Kama kungekuwa...
SALUTE
Leo napenda nizingumzie kitu kinachoitwa Kanuni ya umiliki (Law of possession). By Default Mungu alipomuumba mwandamu alimpatia access ya kumiliki kila kitu kilichopoo duniani, kwahiyo...
Ndugu Wanabodi,
Napenda kuwaambia Watanzania wapenda AMANI na UTULIVU kuwa Sheikh Ponda Issa Ponda SIYO Mtanzania na kuwa ni Mtu wa Burundi aliyeingilia Kigoma na kuzamia Dar es salaam. Bw. Ponda...
Kutokana na taarifa zilizoingia kwenye wires this evening hapa London ni kuwa ile skendo ya Mtambo wa rada imeibuka umpya na kuna INVESTIGATION on the way na hawa jamaa wa SFO au serious fraud...
Najua ulaya barabara za chini ya bahari zipo hasa Marekani, kwakuwa Zanzibar siyo mbali toka Dar es salaam kwanini tusiwe na barabara za chini ya bahari tuwe tunaenda kwa magari?
Wakati wa...
Stairs escalator tukiapply ktk barabara za pembeni kutoka mtaa mmoja hadi mwingine zitasaidia wazee kwenda makanisani na wagonjwa kwenda mahospitalini
Picha chini haijawai tokea bado kukawa na...
Habarini wanajamvi..
Kwa muda mrefu tumekuwa tukiyasikia haya mashirika mawili katika vyombo vya habari na hata kwenye filamu mbalimbali...
Nikiamini kwamba mashirika haya yana lengo kuu la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.