Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Wanasayansi wamegundua sayari ambayo inakaribia sana Dunia kwa mazingira na ukubwa wake na ambayo inazunguka nyota ijulikanayo kama Proxima Centauri, iliyo na mfumo unaokaribia zaidi mfumo wetu wa...
9 Reactions
113 Replies
21K Views
Habari wanajukwaa? Naona kichwa cha habari kitakuwa kimekuvutia na wewe pia. Hata mimi natamani kufahamu ukweli uliojificha juu ya viumbe hivi kutoka sayari nyingine. Nilishapataga kusikia sana...
2 Reactions
72 Replies
14K Views
Biblia inatuambia hii ndiyo ishara ya mwisho wa ulimwengu. Watu kujali pesa na kujipenda wenyewe. Yataibuka Magonjwa ya kuenea Njaa, Vita baina ya mataifa pamoja uhalifu kushamiri watu...
7 Reactions
136 Replies
13K Views
PESA NI NINI: Pesa inatambulika kama nyenzo ya kukuwezwesha kupata kitu au huduma, lakini kwa watu wengine huchukuliwa katika tafsiri tofauti, Kwa wengine pesa kwao huwa ni ulinzi na furaha na...
1 Reactions
26 Replies
42K Views
1.JOHN F KENNEDY (JFK) Alikuwa raisi wa 35 wa marekani aliuwa November 22 mwaka 1963 akiwa raisi wa nne kuuawa kwa kupigwa risasi katika historia ya marekani. Akiwa na mkewe, kwenye gari la wazi...
35 Reactions
157 Replies
28K Views
Guys tusaidiane kidogo hapa Mwanzo 2:23 Hivi walivyozungumzia tunda walimaanisha tunda kweli? Na huu mti wa uzima ni nini?? Karibuni
0 Reactions
20 Replies
9K Views
KWANINI AFRICA NI BARA MASIKINI? Heshima yenu wakubwa na wadogo. Bara la Afrika ni bara la pili kwa ukubwa baada ya Asia, ni bara lenye kila aina ya utajiri na rasilimali za kutosha. La...
7 Reactions
25 Replies
6K Views
Amani iwe nanyi! ... Ivi kuna Mahusiano gani kati ya nyota na matendo ya wanadamu? ... Kilichonifanya niulize hilo swali niki apa chini: Kipindi niko mdogo (miaka 12) nilipenda kusikiliza...
8 Reactions
110 Replies
43K Views
Habari za kazi wakuu!?? Ni matumaini yangu yu wazima wa afya kabisa na ninaomba nitoe pole kwa ndugu zetu waaliopo hosipitali kwa muda huu, Naomba turudi kwenye swali hapo juu...
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Salute comrades, Wakuu, naomba kufahamishwa, Mbinguni anapoishi Mungu ni wapi? Ukisoma Biblia, Katekisimu etc zinasema Mungu yupo Mbinguni na mahali pote duniani. Je Mbinguni ni wapi? Ni kule...
16 Reactions
185 Replies
34K Views
Wakubwa zangu kumekuwa na mijadala miwili kinzani kuhusu umbo la dunia yetu nzuri. Wapo ambao wamethibitisha kwamba dunia ni ya mviringo kama tulivyosoma mashuleni na sababu za kutuambia hivyo...
3 Reactions
44 Replies
6K Views
VIETNAM WAR UNSUNG HEROES: Kutana na Komando wa Marekani aliyenusurika kuzikwa akiwa hai. Alimtemea daktari mate usoni akiwa ndani ya begi la kubebea maiti. Roy Benavidez pia anajulikana kwa...
21 Reactions
63 Replies
12K Views
Vitazame vitu vyote: hai na visivyo hai, muundo wao na jinsi yao ni ya kustajabia. Ni kwa namna gani vitu hivi vimepangwa katika mpangilio huo, ni jambo pia la kustajabia. Hakuna kitu kilicho...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Hivi ndivyo mdomo wake ulivyo kwa ndani Picha na buzzfeed Watu wengi wamekua wakijiuliza sana kuusu mdomo wake unavyotisha Ukiingia kwenye account ya ig kwa brykim official kwa kutumia...
13 Reactions
61 Replies
10K Views
  • Poll Poll
Hello, habari zenu wakuu. Nahisi muko wazima wa afya, leo nimekuja na hii, unahisi dunia itakuwaje kama sisi sote tukilala kwa muda wa miaka 1000. Baada ya miaka hiyo 1000 tutakapoamka dunia...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Tuanze na HALI YA KWELI na HALI YS UONGO. Kuijua hali ya kweli lazima tupime na hali ya uwongo. Uongo ni hali isiyo na msimamo hubarika badirika kutokana mahali na muda unavyopita. Mfano; Rangi ya...
6 Reactions
71 Replies
5K Views
Habarini wana Intelijenisia... Katika thread hii nitajaribu kufupisha maana ina mambo mengi sana. Tutajuzana zaidi pindi tutapojadili kwa pamoja. Moja kwa moja nataka nilete hii mada tupate...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Kumekuwepo maswali kadha wa kadha toka kwa wadau wakitaka kujua maana ya UTAKATISHAJI FEDHA (Money laundering), wengine huita "PESA/FEDHA CHAFU" na tumeona ni vema ikaeleweka kwa lugha rahisi kwa...
1 Reactions
162 Replies
72K Views
Habari za muda huu wana jf. Naiman mu wazima wa afya na shughuli za kusaka tonge zinaendelea. Mdogo wenu wa mwisho hapa 'kiziwanda' katika harakati zangu za kupunguza stress za mapenzi, ajira na...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Natumai mu wazima, Kama kichwa kinavyouliza ndicho nachotaka kujua. Tunaona mwezi, dunia, nyota na sayari nyengine zina umbo la duara nimetafakari kwanini vipo hivi nimekosa majibu, then nikaona...
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Back
Top Bottom