Nauliza kwa sababu maji ya viwandani huwekewa chemical ili yasiharibike au yasichache sasa Mimi nayaweka bila chemical je yatakuwa mabaya kwa matumizi?
Mahubiri yake ni ya kimataifa,huu ndio ukweli hutoa mifano hai ya kwenye biblia hata hueleza visa vya manabii na wafalme kwa ufasaha sana,hakika ana upako,dini mbalimbali humsikiliza kupitia tv...
Kuwa rais si jambo dogo,kwani rais humwakilisha muumba hapa duniani,sasa inakuwaje tusiwaone kwenye hela?kwani wakionekana ktk hela huwa ni kumbukumbu ya kizazi cha Taifa kilichopiga kura kwa...
Dar nasikia kila kitu hela,luku,maji ya kunywa ni ya kununua,chumba cha kupanga,maji ya Dawasco huku kuna visima na mabwawa,Gharama ya daladala hadi mbogamboga tofauti ña mkoani kidogo Unaweza...
Usalama ni usalama,Hali ya utulivu katika mazingira ya mzukukayo mwanadamu
Kwahiyo mtu kuielewa taasisi hii yenye dhamana ya kuhakikisha hàli ya utulivu ndani ya mazingira yetu si kazi rahisi...
Wengi wanahamu ya kupanda Dreamliner. ATCL tunaomba mtenge siti mbili tu kwa week watu waweze jishindia bahati nasibu ya kupanda bure go and return, itapendeza sana.
Waheshimiwa wabunge...
Wananidhamu ya hali ya juu,mtoto yeyote wa mwanajeshi hawezi kumpita mkubwa bila kumsalimia au kumsaidia ikiwa ana mzigo au msaada mwingine wowote,kama lifti ikiwa ana usafiri kama pikipiki au...
Wanasayansi wamegundua uwepo wa gas ya phosphine, kwenye mawingu ya venus , wamehusisha gas hiyo na uwezekano wa uwepo wa viumbe hai Kama [emoji89] bacteria wadogo wadogo ambao huwa wana...
Mohammed Majubwa,mkuu wa shule wa zamani wa Milambo sec,na lecture wa sasa chuo kikuu cha Sokoine Sua-Morogoro,
Ni mnyenyekevu na maisha yake ni ya kipekee,yamejaa mvuto,aliwahi kuwatoroka...
TOP GUN GRUMMAN F-11 SUPERSONIC FIGHTER & STORY OF A TIGER WHO HAD BITTEN ITS OWN TAIL: Ndege vita iliyojipiga yenyewe kwa kukimbia speed kuzidi kombora lake.
UTANGULIZI: Jaribu kujenga picha...
Habari,
Kumekuwa na maswali mengi kuhusu hawa viumbe kuwa je ni
kweli wana exists au ni just myth?
Mimi ni miongoni mwa watu ambao nimekuwa nikiziuliza kuhusu huwepo wa hawa viumbe, kabla...
Opera News
South Africa
Get Opera News on Facebook.
JOIN NOW
Have you ever felt kind of different from others? Have you ever felt lonely and always be curious about this world?. Well, most...
Na. Robert Heriel.
Hata sasa hatukuoni lakini wewe watuona. Wala hatusikii usemapo lakini wewe watusikia. Wayajua mawazo yetu lakini sisi hatujui watuwazia nini. Twakuona upo mbali lakini wewe...
What makes a good intelligence analyst? Are there certain skills, qualities and attributes that can make you better primed for success in your chosen field? If so, how can we transform these...
Habarini za mida hii wadau wa jukwa hatari la Jamii Intelligence..!!!
kama heading inavyojieleza hapo juu ..ninapenda kuwaomba wana jamvi wenzangu mlio na uelewa juu ya uwepo wa visible na...
Tunaposoma kwenye biblia, kafara inatafsiriwa kama ishara ya utakaso na msamaha wa dhambi au kufanya mambo ambayo kwa hali ya kawaida haiwezekani isipokua kwa kumwaga damu .
Yesu alitolewa...
Je, sisi asili yetu ni watu wazuri? Ukiangalia nchi yetu pmj na matatizo yoote ya Kiuchumi lkn bado ni nchi yenye Amani na Utulivu kabisa, hakuna mauwaji ya mara kwa mara ya kutisha kama nchi...
Jamani inakuwaje kuwaje ukitumia simu za mezani za ttcl mambo poa,hata kwa sie wa siku nyingi walileta mradi wa simu za box unadumkiza sarafu unapiga,nazo zikawa safi na wakaweza ila za mkononi...
Jina la Kitabu.How to Negotiate Anything with Anyone Anywhere Around the World
Jina la Mwandishi.Frank Accuf
Mchambuzi.Nanyaro EJ
Utangulizi:
Mwandishi anasema kitabu hiki ni mwongozo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.