Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Nauliza kwa sababu maji ya viwandani huwekewa chemical ili yasiharibike au yasichache sasa Mimi nayaweka bila chemical je yatakuwa mabaya kwa matumizi?
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Mahubiri yake ni ya kimataifa,huu ndio ukweli hutoa mifano hai ya kwenye biblia hata hueleza visa vya manabii na wafalme kwa ufasaha sana,hakika ana upako,dini mbalimbali humsikiliza kupitia tv...
4 Reactions
72 Replies
15K Views
Kuwa rais si jambo dogo,kwani rais humwakilisha muumba hapa duniani,sasa inakuwaje tusiwaone kwenye hela?kwani wakionekana ktk hela huwa ni kumbukumbu ya kizazi cha Taifa kilichopiga kura kwa...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Dar nasikia kila kitu hela,luku,maji ya kunywa ni ya kununua,chumba cha kupanga,maji ya Dawasco huku kuna visima na mabwawa,Gharama ya daladala hadi mbogamboga tofauti ña mkoani kidogo Unaweza...
3 Reactions
43 Replies
5K Views
Usalama ni usalama,Hali ya utulivu katika mazingira ya mzukukayo mwanadamu Kwahiyo mtu kuielewa taasisi hii yenye dhamana ya kuhakikisha hàli ya utulivu ndani ya mazingira yetu si kazi rahisi...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wengi wanahamu ya kupanda Dreamliner. ATCL tunaomba mtenge siti mbili tu kwa week watu waweze jishindia bahati nasibu ya kupanda bure go and return, itapendeza sana. Waheshimiwa wabunge...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Wananidhamu ya hali ya juu,mtoto yeyote wa mwanajeshi hawezi kumpita mkubwa bila kumsalimia au kumsaidia ikiwa ana mzigo au msaada mwingine wowote,kama lifti ikiwa ana usafiri kama pikipiki au...
3 Reactions
20 Replies
8K Views
Seen endless conv somewhere trying to relate the scene with possible causes of death. What do u think, was this murder or suicide?
3 Reactions
40 Replies
7K Views
Wanasayansi wamegundua uwepo wa gas ya phosphine, kwenye mawingu ya venus , wamehusisha gas hiyo na uwezekano wa uwepo wa viumbe hai Kama [emoji89] bacteria wadogo wadogo ambao huwa wana...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Mohammed Majubwa,mkuu wa shule wa zamani wa Milambo sec,na lecture wa sasa chuo kikuu cha Sokoine Sua-Morogoro, Ni mnyenyekevu na maisha yake ni ya kipekee,yamejaa mvuto,aliwahi kuwatoroka...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
TOP GUN GRUMMAN F-11 SUPERSONIC FIGHTER & STORY OF A TIGER WHO HAD BITTEN ITS OWN TAIL: Ndege vita iliyojipiga yenyewe kwa kukimbia speed kuzidi kombora lake. UTANGULIZI: Jaribu kujenga picha...
6 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari, Kumekuwa na maswali mengi kuhusu hawa viumbe kuwa je ni kweli wana exists au ni just myth? Mimi ni miongoni mwa watu ambao nimekuwa nikiziuliza kuhusu huwepo wa hawa viumbe, kabla...
2 Reactions
50 Replies
21K Views
Opera News South Africa Get Opera News on Facebook. JOIN NOW Have you ever felt kind of different from others? Have you ever felt lonely and always be curious about this world?. Well, most...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Na. Robert Heriel. Hata sasa hatukuoni lakini wewe watuona. Wala hatusikii usemapo lakini wewe watusikia. Wayajua mawazo yetu lakini sisi hatujui watuwazia nini. Twakuona upo mbali lakini wewe...
9 Reactions
8 Replies
2K Views
What makes a good intelligence analyst? Are there certain skills, qualities and attributes that can make you better primed for success in your chosen field? If so, how can we transform these...
6 Reactions
17 Replies
4K Views
Habarini za mida hii wadau wa jukwa hatari la Jamii Intelligence..!!! kama heading inavyojieleza hapo juu ..ninapenda kuwaomba wana jamvi wenzangu mlio na uelewa juu ya uwepo wa visible na...
2 Reactions
70 Replies
13K Views
Tunaposoma kwenye biblia, kafara inatafsiriwa kama ishara ya utakaso na msamaha wa dhambi au kufanya mambo ambayo kwa hali ya kawaida haiwezekani isipokua kwa kumwaga damu . Yesu alitolewa...
7 Reactions
34 Replies
18K Views
Je, sisi asili yetu ni watu wazuri? Ukiangalia nchi yetu pmj na matatizo yoote ya Kiuchumi lkn bado ni nchi yenye Amani na Utulivu kabisa, hakuna mauwaji ya mara kwa mara ya kutisha kama nchi...
5 Reactions
38 Replies
5K Views
Jamani inakuwaje kuwaje ukitumia simu za mezani za ttcl mambo poa,hata kwa sie wa siku nyingi walileta mradi wa simu za box unadumkiza sarafu unapiga,nazo zikawa safi na wakaweza ila za mkononi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jina la Kitabu.How to Negotiate Anything with Anyone Anywhere Around the World Jina la Mwandishi.Frank Accuf Mchambuzi.Nanyaro EJ Utangulizi: Mwandishi anasema kitabu hiki ni mwongozo kwa...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom