Bonde la Isdalen karibu na jiji la Bergen, Norway linajulikana kama bonde la kifo/umauti "death valley" kwa wakazi wa eneo hilo si kwa sababu watembezi/watalii hupotelea kwenye mlima wa bonde hili...
The definition of the 'just life'.
Mwanafalsafa wa kale wa Ujerumani, Friedrich Nietzsche, aliwahi kusema "kitu bora kabisa ni kutokuzaliwa na kitu cha pili kwa ubora ni kufa mapema".
Maneno...
Naomba mnipatie ukweli wa yote kabla sijachukua maamuzi magumu. Naomba kufahamu yafuatayo:-
Binadamu anaabudu Mungu, dini, mtu au mnyama?
Binadamu anajuaje yupo sahihi tofauti/baina ya mwenzake...
Kwa maelezo mafupi ni msitu ambao upo katika nchi ya Romania, lakina nimeshindwa kupata history kamili kuhusu msitu huu ,hivyo naomb ma-great thinker wa jf wanisaidie au watusaidia tusio faham juu...
Mwanadamu kwa haiba yake akiwa kwenye changamoto ndio anapata wasaa mzuri wa kuchakata akili yake ili kupata suluhisho la matatizo yanayomzunguka. Na hili ndio lilimkuta Msanifu majengo na...
Barua iliyoandikwa kwa hati ya mkono na Albert Einstein, ambapo anajadili suala la dini na imani, imeuzwa kwenye mnada kwa bei ya karibu $2.9m (£2.3m).
Bei hiyo imepita makadirio.
Barua hiyo...
Wasalaamu ma intelegensias
Kabla ya mjadala Nianze kutoa namna tutakavyo define MUDA kwa leo tu...
MUDA -- seconds, minutes, hours, days, weeks, months, years, decades, centuries, milleniums etc...
Duniani ni mahali tunapoishi na pamebeba historia yetu kubwa,maendeleo yetu ktk nyanja zote yamepatikana hapa, upuuzi na uelevu wote tulionao tunautendea hapa!,hapa ni nyumbani.
Binafsi kwangu...
NOTE: Ndugu mchangiaji mada. Kama ni mara yako ya kwanza kuja katika uzi huu, jaribu fuatilia ulikoanzia. Aidha, usisahau kwanza kuisoma mada na kuielewa awali ya yote ndiposa kubofya like kwenye...
Bila kupoteza muda naomba kujua juu ya watoto wa Fatima
Lucia
Fransis
Yasinta
Hawa walitokewa na bikira maria mwaka 1917 kama sikosei (apparitions)
Kwa mujibu wa masimulizi ni kwamba bikira...
Salute Comrades:
Wakuu leo naomba tujadidili juu ya kifo cha muigizaji BRUCE LEE.
Hivi ni kweli alikufa kifo cha kawaida..?
Alikufaje? Sababu ya kufariki ni nini..?
Kwa story nazo zifahamu...
kichwa cha habari na kwa mtazamo wa haraka utadhani ni michezo ya kuchangamsha mwili, michezo ya kubahatisha au michezo ya kushindana na kupata zawadi
Lakini hapa ni zaidi ya hicho...
On Wednesday, Pat Robertson spent time on "The 700 Club" telling NASA not to waste money going to Mars or searching for life beyond Earth. Why? Well because in Robertson's non-expert opinion...
Inakadiriwa kuwa mnyama huyo huishi kwa kipindi cha miaka 20 akiwa katika pori. Lakini hiyo ilikuwa inafahamika zamani kipindi ambacho mnyama huyo alikuwa anaonekana tofauti na sasa.
Kuna aina...
Hakika ulimwengu huu una mambo mengi ambayo hatuyafahamu bado, kila siku tunaweza kujifunza jambo jipya hadi mwisho wa maisha yetu.
Intaneti ni kitu ambacho kwa ulimwengu huu wa sasa kila mtu...
[emoji117] Gucci mane, Ni mmoja Kati ya Binadamu ambao anadaiwa kufanyiwa Clone/ kutengenezwa yani mtu copy sio halisi.
Hii ilizua mijadala, kuanzia kipindi ,punde tu alipo toka gerezani baada ya...
Kwa kawaida, Kambona alijua au alikuwa amearifiwa mapema kuhusu maasi ya Dar es Salaam katika vitengo vya usalama vya Tanganyika na maafisa wa Kiingereza ambao bado waliitumikia Serikali ya...
Recently a news broke out in the media and social media that bring together Rwandans around the planet talking about the kidnap of a Tutsi businessman and also a Rwandan spy MIKE RWALINDA...
Katika pitapita zangu nimekutana na documentary moja inayoelezea mantiki nzima ya New Word Order NWO, Kuna mengi yameelezewa lakini haya machache yamenifanya niamini kama ni kweli basi hakuna...
Kitabu kinahusu story ya bwana Oleg Gordievsky. Huyu jamaa alizaliwa mwaka 1938. Mwaka 1961 akajiunga na KGB na Kupostiwa Berlin. Alishuhudia ujenzi a ukuta wa Berlin, na hili lilimuacha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.