fungi06
JF-Expert Member
- Jul 1, 2020
- 632
- 854
Huyu jamaa ukiingia Twitter utaelewa sio mtu wa kawaida. Kuna kampuni mpya iko Marekani waafanya kazi wao kila kukicha wanaona afadhali ya jana
Sasa kumbe kuna vitu wanaviita debris (majabali) ambayo yamekua yaki aribu mno rocket angani. Nazani mmeyaona kwenye kwenye muvi za Skyfi sasa basi wamegundua ni mabomu ambayo yanatupwa kutoka kwenye satellite zilizopo angani za Space X.
Wafanyakazi ao wanalaumu mno kua ajira zao ziko ukingoni kukosa ajira maana wanashindwa kutengeneza radar yenye uwezo jambo ambalo space X linamuweka kwenye kupata utajiri mkubwa kwa kutengeneza mfumo mzuri kwa computer wakutuma na kupokea ujumbe kwenye radar..hii ni siri yake
Alivyo vumbua kile kigame chake cha aliens invasion ulikua ni ujumbe tosha kwa dunia kua soon atakua mungu wa anga na ndio maana lile game uwezi cheza bila kufail yani gameover afu unaambiwa busted
Ndo baadae wanakwambia new game yani mpaka ulimalize ni mwaka maana unacheza na cycle
Niliisi watu wengi wanajua sababu ya kampuni ya Space X kusajiliwa kwenye moja ya kampunu inayo miliki silaa kubwa!!?
Basi jua sababu
Maana hulipua wenzie angani
N.B unaambiwa zipo almost satellite nyingi juu angani ila ni siri mno maana huogopa ku be drained na watu wenye akili kama elon musk kwa kuambiwa alipe hela nyingi ili satelite zao zisilipuliwe labda ndo maana bongo amna wazo la kuanzisha karakana ya kutengenezea Rocket maana wakiambiwa watoe b12 alizo pewa billionaire laizer kila mwezi kama tunavolipa kodi kulamba chai yenye sukari kidogo,,,kubaki angani si tutarudi kwenye uchumi wa walala hoi
Sasa basi Alone Mask aliweza kitu ambacho kampuni zingine aziwezi
Yani program ya radar yake inapokea ujumbe wa kitu kilicho mbali na kukimbia haraka mtego akati wenzie wamegundua tu kitu kikiwa karibu mno kiasi kwamba akiwezi kukwepa kwa ufasaha maana tunajua sehemu walipo kuna upepo mkali na hamna graviti na hutumia moto mchache kwa ajili ya kuweza zunguka kufwata mahali wanapo taka wapachunguze either(mars) kwaio huwa avikimbii sana so ni rahisi lipuliwa na musk! Kwaio lazima alipwe kodi!
Iki kitu kinamfanya awe mjasiri alie jaa siri nyingi kwa namna anavyo pata hela
Ukitaka amini angalia TESLA kampuni yake ya magari yasio na dereva?
Ushangai kiaje hohoooo! Iyo ni radar inafanya kazi yani radar ikisaidiana na picha za satelite zake angani zenye uwezo wakutuma na kupokea ujumbe haraka mno...akapata TESLA.
Uyu jamaa ni shida ukiweza vumbua system radar kali kwa elimu yako ya basic inayo kuwezesha kusoma kingereza kiasi basi soma vitabu mchakato mzima wakutengeza radar au ata programming Language ili uweze kulink Radar yako na mawasiliano nacho kikiwa mbali kwa haraka utambeat Musk (future trillioner)
Soma bhana vitabu uje ata uwe kama Musk au bora kuliko yeye usiwaze tu kila siku hela ya udalali programmer atakuja kugundua udalali mzuri kwa digital ili kupunguza gharama za madalali uoni utakua ndocha?
Tusome vitu vigumu wenzetu walivyo vifanya nakutupa ujumbe kwa bei nafuu michakato yote ikiwa printed kukulisha ubongo wako unao waza ujichore tattoo ya diamond akakupe laki 6
Soma utengeneze simu yenye logo ya WCB pale ambapo apple hukaaga kwenye iPhone.
@mods huu uzi uwe displayed watu wajifunze
Sasa kumbe kuna vitu wanaviita debris (majabali) ambayo yamekua yaki aribu mno rocket angani. Nazani mmeyaona kwenye kwenye muvi za Skyfi sasa basi wamegundua ni mabomu ambayo yanatupwa kutoka kwenye satellite zilizopo angani za Space X.
Wafanyakazi ao wanalaumu mno kua ajira zao ziko ukingoni kukosa ajira maana wanashindwa kutengeneza radar yenye uwezo jambo ambalo space X linamuweka kwenye kupata utajiri mkubwa kwa kutengeneza mfumo mzuri kwa computer wakutuma na kupokea ujumbe kwenye radar..hii ni siri yake
Alivyo vumbua kile kigame chake cha aliens invasion ulikua ni ujumbe tosha kwa dunia kua soon atakua mungu wa anga na ndio maana lile game uwezi cheza bila kufail yani gameover afu unaambiwa busted
Ndo baadae wanakwambia new game yani mpaka ulimalize ni mwaka maana unacheza na cycle
Niliisi watu wengi wanajua sababu ya kampuni ya Space X kusajiliwa kwenye moja ya kampunu inayo miliki silaa kubwa!!?
Basi jua sababu
Maana hulipua wenzie angani
N.B unaambiwa zipo almost satellite nyingi juu angani ila ni siri mno maana huogopa ku be drained na watu wenye akili kama elon musk kwa kuambiwa alipe hela nyingi ili satelite zao zisilipuliwe labda ndo maana bongo amna wazo la kuanzisha karakana ya kutengenezea Rocket maana wakiambiwa watoe b12 alizo pewa billionaire laizer kila mwezi kama tunavolipa kodi kulamba chai yenye sukari kidogo,,,kubaki angani si tutarudi kwenye uchumi wa walala hoi
Sasa basi Alone Mask aliweza kitu ambacho kampuni zingine aziwezi
Yani program ya radar yake inapokea ujumbe wa kitu kilicho mbali na kukimbia haraka mtego akati wenzie wamegundua tu kitu kikiwa karibu mno kiasi kwamba akiwezi kukwepa kwa ufasaha maana tunajua sehemu walipo kuna upepo mkali na hamna graviti na hutumia moto mchache kwa ajili ya kuweza zunguka kufwata mahali wanapo taka wapachunguze either(mars) kwaio huwa avikimbii sana so ni rahisi lipuliwa na musk! Kwaio lazima alipwe kodi!
Iki kitu kinamfanya awe mjasiri alie jaa siri nyingi kwa namna anavyo pata hela
Ukitaka amini angalia TESLA kampuni yake ya magari yasio na dereva?
Ushangai kiaje hohoooo! Iyo ni radar inafanya kazi yani radar ikisaidiana na picha za satelite zake angani zenye uwezo wakutuma na kupokea ujumbe haraka mno...akapata TESLA.
Uyu jamaa ni shida ukiweza vumbua system radar kali kwa elimu yako ya basic inayo kuwezesha kusoma kingereza kiasi basi soma vitabu mchakato mzima wakutengeza radar au ata programming Language ili uweze kulink Radar yako na mawasiliano nacho kikiwa mbali kwa haraka utambeat Musk (future trillioner)
Soma bhana vitabu uje ata uwe kama Musk au bora kuliko yeye usiwaze tu kila siku hela ya udalali programmer atakuja kugundua udalali mzuri kwa digital ili kupunguza gharama za madalali uoni utakua ndocha?
Tusome vitu vigumu wenzetu walivyo vifanya nakutupa ujumbe kwa bei nafuu michakato yote ikiwa printed kukulisha ubongo wako unao waza ujichore tattoo ya diamond akakupe laki 6
Soma utengeneze simu yenye logo ya WCB pale ambapo apple hukaaga kwenye iPhone.
@mods huu uzi uwe displayed watu wajifunze