FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Ukweli ni kwamba wajomba hawa hutenda haki japo wanaishi kama upepo maana hawaonekAni,mpakA umri huu nilionao nawasikia tu kuwa wapo hata ofisi zao hazijulikAni,sifa hizi zinawafanya kuitwa Malaika wàtu nA kikubwa nasikia hawalali kuhAkikisha dunia I salama maana watu hawa utendaji wao hufanana kote duniani.pori tofauti nyani wa wale wale,