Au watu wa dunia ya tatu tumetengwa?

LH XiV

JF-Expert Member
Nov 27, 2016
346
352
Binafsi nimekuwa nikijiuliza sana juu utimamu na ueledi wa Binadamu wa dunia ya tatu (THIRD WORLD COUNTRIES). Kumekuwa na mambo yanafanyika katika nchii hizi hakika ukitathimini vizuri huwezi kuamini vitu kama hivyo vinafanyika na binadamu.

Akili za mtu wa dunia hiii ni TOTALY DIFFERENT na wale wa dunia ya kwanza, je nini kipo nyuma ya dunia ?

Huwa Napata wakati mgumu sana kuamini maneno ya baadhi ya waumini na watumishi wa dini juu ya BINADAMU WOTE NI SAWA, je kweli hii falsafa ina endana na ukweli au ililetwa na wana dunia ya kwanza ili kuwatia moyo hawa wa dunia ya tatu?

Je ni kweli Mungu hana upendeleo?

Kwa jinsi dunia inavyoenda pia Napata taabu kuliamini hili suala,kama kila kitu chiini ya jua ni mali yake kwanini vizuri, bora na vya thamani kubwa vyote viwekwe dunia ya kwanza?

Akili ya watu wale pia ni zile wanaita first quality grade IQ, hii inamaana hata akili zetu pia tunatumia akili za grade ya chini mno kulinganisha na wao.

Kwanini maendeleo wapige wao na kufanikkiwa ni wao tu hakuna jambo lolote kubwa limewahi kufanyika katika dunia ya tatu la likasaidia dunia yote kwa ujumla?

Hakuna mtu anaependa kuonekana hana maana katika jamii, nini kilitokea dunia ya kwanza ndiio wakawa watawala na wakoloni wa dunia hii ya mwisho?

BINAFSI NAUMIA SANA NINAPOONA DUNIA YETU INAPOKEA MISAADA INAYOAMBATANA NA KEJELI NA DHARAU KUTOKA DUNIA YAO,

NINI KINAENDELEA AU HATUPO SAYARI MOJA?
 
tumeamini sisi hatuwezi.. na kila kitu tuna copy kwao.... elimu yetu ilitakiwa itambue vipaji vyetu na kutuendeleza na kila mtu afanikiwe katika maisha kulingana na kipaji chake.... kama mtoto kipaji ni kuchora achore, kama ni mpira acheze, kila kipaji kikiendelezwa kinakuwa na matokeo chanya.

Fikiria wazazi wetu ... ukiwa mchoraji kipindi cha utotoni unaonekana hauna akili.

Tumefanywa tusiamini katika vipaji vyetu nasi tumekubali.

Angalia pia vyuoni ni wanafunzi wachache mno ambao wanasomea kitu wanachokipenda.. wengi inakuwa by chance.. kama bahati nasibu.

Ukitaka kufanikiwa fanya unachopenda kufanya ..kinachokupa furaha ndo kinatakiwa kiwe kazi yako.

Mfumo wa elimu yetu haiendani na mazingira yetu.. na kila utaratibu tume copy kutoka kwa wakoloni.. na mkoloni alitupa elimu ambayo itafanya tuweze kuwasaidia katika kazi zao (kuwatumikia) hivyo hamna namna tutaweza kufanikiwa kwa kuendelea kutumia mfumo wetu.

Tuna soma miaka mingi mno kwa ajili ya maisha ...

Kwa mtu ambaye ameanza shule umri wa miaka 7 anamaliza degree akiwa na miaka 23 ... kama alichelewa kidogo unakuta anamaliza akiwa na miaka kati ya 24 hadi 29... fikiria hapo umri ushaenda na ulichokisoma si cha ndoto yako hata namna ya kifanikiwa kwa umri ulioenda hivyo ni mdogo ukichanganya na viwango vya mshahara ni vidogo

Mambo mengi tunayosoma hayaendani kabisa na mazingira yetu.. tunatakiwa tubadili mfumo wetu wa elimu na kuishi kulingana na vipaji/talent zetu.
 
Kuna siku nilikua naangalia movie ya Blood Diamond, kuna sehem wazungu wapo kwenye mkutano wanajadili namna ya kuzuia mapigano yanayotokana na biashara haramu ya almasi huku Africa.

Nikawaza inamaana sisi kuanzia chakula, uchumi amani yetu vyote watu wengine ndio wanakaa kutafakari na kujadili mambo yaendeje? Sasa nikajiuliza viongozi wetu au serikali zetu zipo kwa lengo gani? Nafikiri tumewaachia sisi wenyewe hiyo nafasi ya kutuamulia na wametujengea mazingira ya sisi kuamini hivyo.

Kila kiongozi anaetaka kwenda kinyume na huo utaratibu wao watampinga kwa nguvu zote ikiwemo kutengenezewa propaganda ili mradi asiamshe akili za weusi. Hata uwepo wa haya mashirika ya misaada ya kimataifa na NGOs lengo lao ni kuendeleza hiyo mikakati yao tu. Kama lengo na kusudi lao kubwa ni kutokomeza umasikini, wamekuwepo kwa miongo kadhaa lakini huwezi kupima kazi zao kwa vitu vinavyoonekana.
 
tumeamini sisi hatuwezi.. na kila kitu tuna copy kwao.... elimu yetu ilitakiwa itambue vipaji vyetu na kutuendeleza na kila mtu afanikiwe katika maisha kulingana na kipaji chake.... kama mtoto kipaji ni kuchora achore, kama ni mpira acheze, kila kipaji kikiendelezwa kinakuwa na matokeo chanya.

Fikiria wazazi wetu ... ukiwa mchoraji kipindi cha utotoni unaonekana hauna akili.

Tumefanywa tusiamini katika vipaji vyetu nasi tumekubali.

Angalia pia vyuoni ni wanafunzi wachache mno ambao wanasomea kitu wanachokipenda.. wengi inakuwa by chance.. kama bahati nasibu.

Ukitaka kufanikiwa fanya unachopenda kufanya ..kinachokupa furaha ndo kinatakiwa kiwe kazi yako.

Mfumo wa elimu yetu haiendani na mazingira yetu.. na kila utaratibu tume copy kutoka kwa wakoloni.. na mkoloni alitupa elimu ambayo itafanya tuweze kuwasaidia katika kazi zao (kuwatumikia) hivyo hamna namna tutaweza kufanikiwa kwa kuendelea kutumia mfumo wetu.

Tuna soma miaka mingi mno kwa ajili ya maisha ...

Kwa mtu ambaye ameanza shule umri wa miaka 7 anamaliza degree akiwa na miaka 23 ... kama alichelewa kidogo unakuta anamaliza akiwa na miaka kati ya 24 hadi 29... fikiria hapo umri ushaenda na ulichokisoma si cha ndoto yako hata namna ya kifanikiwa kwa umri ulioenda hivyo ni mdogo ukichanganya na viwango vya mshahara ni vidogo

Mambo mengi tunayosoma hayaendani kabisa na mazingira yetu.. tunatakiwa tubadili mfumo wetu wa elimu na kuishi kulingana na vipaji/talent zetu.
mkuu safi sana umejibu na kulezea vizuri lakini je nini kilifanyika wao wakaja kutawala huku na sio sisi kwenda kutawala kwao nini kilikua tumefichwa
 
Kuna siku nilikua naangalia movie ya Blood Diamond, kuna sehem wazungu wapo kwenye mkutano wanajadili namna ya kuzuia mapigano yanayotokana na biashara haramu ya almasi huku Africa.

Nikawaza inamaana sisi kuanzia chakula, uchumi amani yetu vyote watu wengine ndio wanakaa kutafakari na kujadili mambo yaendeje? Sasa nikajiuliza viongozi wetu au serikali zetu zipo kwa lengo gani? Nafikiri tumewaachia sisi wenyewe hiyo nafasi ya kutuamulia na wametujengea mazingira ya sisi kuamini hivyo.

Kila kiongozi anaetaka kwenda kinyume na huo utaratibu wao watampinga kwa nguvu zote ikiwemo kutengenezewa propaganda ili mradi asiamshe akili za weusi. Hata uwepo wa haya mashirika ya misaada ya kimataifa na NGOs lengo lao ni kuendeleza hiyo mikakati yao tu. Kama lengo na kusudi lao kubwa ni kutokomeza umasikini, wamekuwepo kwa miongo kadhaa lakini huwezo kupima kazi zao kwa vitu vinavyoonekana.
katika dunia ile mkuu sijawahi ona wanafanya mambo kwajili ya nchi ya wengine, kila wanalopanga ni kwa maslahi yao. Nani wakubadilisha kila kilichopo dunia hii ya giza
 
mkuu safi sana umejibu na kulezea vizuri lakini je nini kilifanyika wao wakaja kutawala huku na sio sisi kwenda kutawala kwao nini kilikua tumefichwa
Kimaendeleo wao walipiga hatua zaidi yetu hivyo waliweza safiri na kufikia bara letu.. na hapo ndipo walipodidimiza kila jambo la maendeleo kwetu..


Ila nikitafakari naona pia bado sisi IQ yetu ilikuwa ndogo mno ndio maana waliweza kututawala kirahisi kwa kutumia viongoz wetu.
 
Kimaendeleo wao walipiga hatua zaidi yetu hivyo waliweza safiri na kufikia bara letu.. na hapo ndipo walipodidimiza kila jambo la maendeleo kwetu..


Ila nikitafakari naona pia bado sisi IQ yetu ilikuwa ndogo mno ndio maana waliweza kututawala kirahisi kwa kutumia viongoz wetu.
Bado unaamin Mungu hana upendeleo na binadamu wote ni sawa??????
 
Kuna siku nilikua naangalia movie ya Blood Diamond, kuna sehem wazungu wapo kwenye mkutano wanajadili namna ya kuzuia mapigano yanayotokana na biashara haramu ya almasi huku Africa.

Nikawaza inamaana sisi kuanzia chakula, uchumi amani yetu vyote watu wengine ndio wanakaa kutafakari na kujadili mambo yaendeje? Sasa nikajiuliza viongozi wetu au serikali zetu zipo kwa lengo gani? Nafikiri tumewaachia sisi wenyewe hiyo nafasi ya kutuamulia na wametujengea mazingira ya sisi kuamini hivyo.

Kila kiongozi anaetaka kwenda kinyume na huo utaratibu wao watampinga kwa nguvu zote ikiwemo kutengenezewa propaganda ili mradi asiamshe akili za weusi. Hata uwepo wa haya mashirika ya misaada ya kimataifa na NGOs lengo lao ni kuendeleza hiyo mikakati yao tu. Kama lengo na kusudi lao kubwa ni kutokomeza umasikini, wamekuwepo kwa miongo kadhaa lakini huwezo kupima kazi zao kwa vitu vinavyoonekana.
 
Tatizo la hizi nchi zetu ni ujinga uliotukuka. Kwetu kila kitu ni kukopi na kupaste toka hizo nchi za nje, yaani tunakopi mpaka ujinga na mavazi ya hajabu ambayo watu wa heshima toka hizo nchi hawavai na kudharau ila sisi tunaona ujiko. Elimu ndiyo kabisaaaaa, we fikiria mpaka leo chuo kikuu Dar bado kinafundisha elimu ya kukariri vitu na hiki supposedly ndiyo chuo bora hapa nchini, are we serious? Hii dunia yetu (ya tatu) kwa Imani yangu ni kwamba inaangushwa na viongozi wetu kwani hawana mtazamo wa maendeleo bali wamejawa na ubinafsi na ujinga uliotukuka. We fikiria mpaka juzi juzi tu hapa Kikwete alikuwa anahutubia Tabora na kusema nchi yetu ni masikini, this is 2017 (yeye alisema 2016)....are we really that stupid kuamini kuwa tuko masikini kihivyo huku yeye na marafikize wakijinufaisha na mali ya nchi yetu? Kwa hali kama hii, itakuwa vigumu sana kwa sisi wa dunia ya tatu kuendelea, kwani ataondoka rais huyu na mali za nchi kibao kujinufaisha yeye na family yake. Atakuja mwingine, naye atafanya hayo hayo....yaani inakuwa mashindano mpaka wanashindwa kufanya yale waliyo waahidi wananchi wao. Angalieni jamaa wa Gambia ( Yahya Djammey)....alikataa kuondoka madarakani kwani hakuamini kuwa wananchi wamemchoka na kumkataa, kwa hasira kaondoka kwa kuibia nchi yake. Mtu amekaa madarakani miaka 22 na hakuna cha maana alichofanya, yet anataka kukalia kiti. Mimi ndiyo maana namuunga mkono Trump kwani kasema ukweli kuhusu Africans na our laziness.
 
Mimi naamin tumeletewa dini ili zitupumbaze... na kwa kiasi fulani zinatufanya zitupumbaze akili kwa kuamim akhera kuliko hapa tulipo.
 
Mfum0 wetu wa elimu ni wa kulazimishana na si kusaidiana . wazungu wanaangalia uwezo/kipaji huku kwe2 unaanza vidudu alafu unakua mwana art ama science haha
 
mkuu safi sana umejibu na kulezea vizuri lakini je nini kilifanyika wao wakaja kutawala huku na sio sisi kwenda kutawala kwao nini kilikua tumefichwa
Inaonekana wao wame exist tangu muda mrefu kuzidi sisi hata ukiangalia wako wengi kuliko sisi so that's why wamekuwa na akili kutuzidi, itataka muda sana na busara nyingi kuwa kama wao
 
Bado unaamin Mungu hana upendeleo na binadamu wote ni sawa??????
Kila kitu kilianzia bustani ya Eden na kwa watoto wa Nuhu baada ya gharika hivyo kinachoendelea Duniani ni kinyume na mipango ya Mungu pale alipoamua kuiumba Dunia, Ni binadamu ndio wanasababisha Dunia iende hivi na Mungu anaangalia kama haoni anaruhusu binadamu aendelee kufanya anachofikiri kwa maana hata yeye anasema binadamu ni mkaidi na mwenye kujifanya mwerevu, anaacha hivi akiwa na mpango wa siku moja kuja kuikomboa Dunia yake na wateule wake
 
Kila kitu kilianzia bustani ya Eden na kwa watoto wa Nuhu baada ya gharika hivyo kinachoendelea Duniani ni kinyume na mipango ya Mungu pale alipoamua kuiumba Dunia, Ni binadamu ndio wanasababisha Dunia iende hivi na Mungu anaangalia kama haoni anaruhusu binadamu aendelee kufanya anachofikiri kwa maana hata yeye anasema binadamu ni mkaidi na mwenye kujifanya mwerevu, anaacha hivi akiwa na mpango wa siku moja kuja kuikomboa Dunia yake na wateule wake
Pia mambo ya Eden, sodoma sijui gomora inawezekana ikawa ni hadithi za kizungu kutaka tuamini kile wanachotuandikia. Babu na bibi zetu inasemekana waliabudu kile walichoabudu kabla ya mzungu kuja kubadilisha imani zao, swali ni je hiki tunachoamini nacho kililetwa na nani?.
Hivi kwanini katika biblia yote hakuna jina la kiafrica, je hatukutembelewa na manabii?
 
Pia mambo ya Eden, sodoma sijui gomora inawezekana ikawa ni hadithi za kizungu kutaka tuamini kile wanachotuandikia. Babu na bibi zetu inasemekana waliabudu kile walichoabudu kabla ya mzungu kuja kubadilisha imani zao, swali ni je hiki tunachoamini nacho kililetwa na nani?.
Hivi kwanini katika biblia yote hakuna jina la kiafrica, je hatukutembelewa na manabii?
Swali- Umewahi soma Biblia? Majina ya Kiafrica ya Nchi au watu? Kama ya nchi kuna Ethiopia na kuna Misri mle kwenye biblia.

Kwa nini wazungu?! Ukiangalia hivyo visa vya Biblia vimekaa ki kutungwa na mtu au kubuniwa?!
Tafakari upya, chukua Biblia usome mwenyewe ili upate uelewa wa maswali uliyonayo. Injili ilianzia huko kwa wazungu na ikaenea kwa agizo la Yesu aliloliacha la kuhubiri injili ulimwenguni kote na ndo maana wakafika mpaka Africa
 
Binafsi nimekuwa nikijiuliza sana juu utimamu na ueledi wa Binadamu wa dunia ya tatu (THIRD WORLD COUNTRIES). Kumekuwa na mambo yanafanyika katika nchii hizi hakika ukitathimini vizuri huwezi kuamini vitu kama hivyo vinafanyika na binadamu.

Akili za mtu wa dunia hiii ni TOTALY DIFFERENT na wale wa dunia ya kwanza, je nini kipo nyuma ya dunia ?

Huwa Napata wakati mgumu sana kuamini maneno ya baadhi ya waumini na watumishi wa dini juu ya BINADAMU WOTE NI SAWA, je kweli hii falsafa ina endana na ukweli au ililetwa na wana dunia ya kwanza ili kuwatia moyo hawa wa dunia ya tatu?

Je ni kweli Mungu hana upendeleo?

Kwa jinsi dunia inavyoenda pia Napata taabu kuliamini hili suala,kama kila kitu chiini ya jua ni mali yake kwanini vizuri, bora na vya thamani kubwa vyote viwekwe dunia ya kwanza?

Akili ya watu wale pia ni zile wanaita first quality grade IQ, hii inamaana hata akili zetu pia tunatumia akili za grade ya chini mno kulinganisha na wao.

Kwanini maendeleo wapige wao na kufanikkiwa ni wao tu hakuna jambo lolote kubwa limewahi kufanyika katika dunia ya tatu la likasaidia dunia yote kwa ujumla?

Hakuna mtu anaependa kuonekana hana maana katika jamii, nini kilitokea dunia ya kwanza ndiio wakawa watawala na wakoloni wa dunia hii ya mwisho?

BINAFSI NAUMIA SANA NINAPOONA DUNIA YETU INAPOKEA MISAADA INAYOAMBATANA NA KEJELI NA DHARAU KUTOKA DUNIA YAO,

NINI KINAENDELEA AU HATUPO SAYARI MOJA?
Labda Na sisi tujifunze toka kwa shetani ambaye alianguka toka mbinguni lakini sasa hvi watu humwabudu kila siku kupitia matendo.Tujifunze kuwa Na free will ya kupigania ndoto zetu no matter what
 
Hii mada ni mtambuka sana! Lakini kwa uelewa wangu kiasi kuhusu haya mambo nadiriki kusema mtindo wa maisha, kukosa uthubutu na roho ya kwanini vimetufikisha hapa tulipo.
1. Mtindo wa Maisha
Katika mtindo huu wa maisha yetu waafrika yamezaliwa mambo kadha wa kadha ikiwemo utegemezi, mfumo duni wa elimu, kutokuwa na vipaumbele vya pamoja vyenye tija na ubinafsi uliopitiliza.

2. Kukosa Uthubutu
Ukisoma motto wa Special Force ya Israel unasema 'He who dares Win!' Kwa kiswahili 'Kila mwenye uthubutu anashinda'. Kwa kukosa kwetu uthubutu kumesababisha mambo kwenda kombo na kutofanikiwa hata pale palipohitaji kupambana kidogo basi tulijiona hatuwezi hata tukaacha mambo yaende kiholela holela.

3. Roho ya Kwanini
Kwa afrika tuna watu wengi sana ambao wana roho ya chuki na kutopenda wengine wasifanikiwe pasipo kujua kufanikiwa kwa mmoja kunafanya mambo upande mwingine kwa wengine yaende sawa sawia kutokana na kufanikiwa kwake. Roho hii imesababisha sana wataalamu wengi kulikimbia bara hili na kutokomea huko kwa walioendelea na wanapothamini taaluma yao na uwezo wao.

Hatupendi kukosolewa, hatupendi kuambiwa ukweli, hatupendi kushauriwa sahihi, tuna tatizo kubwa la kupenda kusikia tunachotaka kusikia. Wenzetu mpaka kufika hapo walipofika waliumia sana, waliambiana sana ukweli hata kama unauma na waliburuzana sana ili kuweza kufikia kwenye nchi ya maziwa na asali. Hakuna kizuri kinachokuja bila kuvuja jasho, tunatakiwa tubadilishe mfumo wa maisha yetu, mfumo wa elimu yetu na tuthamini wataalamu wetu na wataalamu chipukizi bila kusahau tuthamini vipaji vya watoto wetu.

Tusipoona kuna haja ya kujikwamua kutoka hapa tulipo, hakuna atakayeona kama kuna haja ya sisi kutoka hapa tulipo.
 
Swali- Umewahi soma Biblia? Majina ya Kiafrica ya Nchi au watu? Kama ya nchi kuna Ethiopia na kuna Misri mle kwenye biblia.

Kwa nini wazungu?! Ukiangalia hivyo visa vya Biblia vimekaa ki kutungwa na mtu au kubuniwa?!
Tafakari upya, chukua Biblia usome mwenyewe ili upate uelewa wa maswali uliyonayo. Injili ilianzia huko kwa wazungu na ikaenea kwa agizo la Yesu aliloliacha la kuhubiri injili ulimwenguni kote na ndo maana wakafika mpaka Africa
Nimesema MAJINA sio NCHI ni kweli nchi zimetajwa Ikiwemo Tanzania Lakini inawezekana walipita tu majina ya akina Mandela, unyuku, onyango, akina al_farok wa misri hamna humu
 
Back
Top Bottom