SumadaVinci
Senior Member
- Dec 27, 2018
- 161
- 328
Jana katika pitapita zangu mitandaoni nikakutana na habari hii huko nchini naijeria ukiachana na kile kinachondelea huko maandamano ya wananchi na SARS yao.
kuna habari nyingine nlikutana nazo zimhusuzo muhammadu buhari raisi wa nchi ya naijeria inayoeleza kwamba alishakufa mwaka 2017 nafasi yake kuchukuliwa na buhari feki toka SUDAN
JE KUNA UKWELI JUU YA HILI
WAJUVI WA MAMBO naomba mtujuze hapa
kuna habari nyingine nlikutana nazo zimhusuzo muhammadu buhari raisi wa nchi ya naijeria inayoeleza kwamba alishakufa mwaka 2017 nafasi yake kuchukuliwa na buhari feki toka SUDAN
JE KUNA UKWELI JUU YA HILI
WAJUVI WA MAMBO naomba mtujuze hapa