Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
ILLUMINATI - 1 Illuminati ilianzishwa rasmi tarehe 1 mwezi wa 5 mwaka 1776 na Adam Weishaupt huko Ingolstadt, Germany huku lengo kuu likiwa "Into the bright" wakati kinaanzishwa walikua na malengo...
12 Reactions
92 Replies
22K Views
Mengi yalizungumzwa kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli. Wengi wakakosoa kwamba analindwa na maaskari wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi huku wameshikilia mabunduki makubwa. Ni viongozi wengi tu...
27 Reactions
267 Replies
27K Views
Kiranga hapa unasemaje? Mawe na sepeto viliweza kufanya maajabu haya au ni Alliens? Will Science be bale to give explanations for this work let's in the future? And because it does not at the...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Ndugu zangu, Naona wengi wetu tunapinga vikali masuala ya Ukoloni mambo leo. Na tumekuwa tunasoma kuwa mataifa ya Magharibi, Marekani, Russia na Uchina yamekuwa yakitumia Scholarships kama njia...
7 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari wana jamvi Ni tumaini langu kuwa mko wazima kabisa (kwa namna pekee napenda kutoa pongezi kwa team nzima ya Jamii Forum kwa kazi kubwa wanayoifanya bila kuchoshwa na mitazamo ya watu as we...
13 Reactions
201 Replies
40K Views
Mimi ni Mkristo Mkatoliki na napenda sana dini yangu. Ila zaidi napenda sana kujifunza hasa pale ambapo panakua na ugumu ama mkanganyiko. Narudia tena, nitaomba mnisamehe kama nakosea ila nina...
32 Reactions
303 Replies
27K Views
Mimi ni nani? Pasina shaka sifahamu, Je huyu anayeongea ndani yangu ni nani? La! nahisi ni akili au nafsi au roho ama tuko binadamu wawili katika mwili mmoja yaani mmoja anaongelea nje(kwa...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa thread ambayo niliianzisha kuhusu uwezo wa kutenda miujiza, kuna watu wengi sana wameniuliza maswali na nikaahidi kuwa nitaanzisha thread inayoongelea Kabla ya kuzaliwa hapa duniani...
22 Reactions
365 Replies
66K Views
Salamu 1. Kwa muda mrefu nimekuwa nikiambiwa kwamba ndege hazivuki bahari ya pacific! Hili kwanza nataka kujua kama ni kweli ndege hazikatishi hii bahari! Kwa mtu yoyote anayefahamu hili...
6 Reactions
23 Replies
5K Views
Siri gani ambayo na jaribu kufikilia kwangu, kila siku tuna somesha watu ila baada ya kuvuna tuliyo somesha tunavuna siasa na IQ za kuojiwa na masanja. Kuna teknolojia nyingi ambazo dunia kama...
8 Reactions
173 Replies
25K Views
Vita, njaa, vifo, maradhi ni vitu ambavyo wengi wamevisikia na kuvifahamu kuhusu Afrika. Lakini sasa ni wakati wa kubadili mtazamo huu. Afrika ni bara la kushangaza ambalo ni tofauti kabisa na...
7 Reactions
24 Replies
10K Views
Ubongo wetu unatumia kanuni ya "KAMA KITU HAKITUMIKI BASI HAKINA UMUHIMU" hivyo huwa ngumu kwa ubongo kukupatia majibu kwa haraka kwa vitu ambavyo havijaonyeshwa umuhimu na wewe mwenyewe. Kuelewa...
35 Reactions
79 Replies
11K Views
NCHI 10 ZINAZOLIPA VIZURI MISHAHARA DUNIANI Je, ulishawai kujiuliza nchi ambazo wafanyakazi wanalipwa mishahara ya juu? Hebu tuangalie nchi kumi ambazo wafanyakazi wanapata malipo makubwa ya...
2 Reactions
37 Replies
15K Views
Dr. Yuval Noah Harari, Mwandishi wa Kitabu kiitwacho, "Masomo 21 Kwa Ajili ya Karne ya 21 (2018) Mwaka 2018, mwanahistoria wa huko Israel, Profesa Yuval Noah Harari, aliandika kitabu kiitwacho...
15 Reactions
106 Replies
16K Views
Habari wakuu,nasikia korea kusini na kaskazini ilikuwa taifa moja yaani korea.Sasa sababu gani ilsababisha taifa hili la korea kumeguka na kuzaliwa Korea mbili?mwenye data tafadhali
2 Reactions
29 Replies
10K Views
Natumaini Ijumaa kuu inawaendea vyema wana jamvi wakati huu taifa likiwa kwenye maombolezo ya kitaifa. Bila kupoteza muda, niende moja kwa moja kwenye hoja. Wengi wetu kama sio wote tunafahamu...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
SEHEMU YA KWANZA Saikolojia: Jifunze mambo yakayokusaidia kuwa na maisha yenye furaha duniani ( na fahamu vigezo vilivyotumiwa kuichagua Finland kuwa nchi ya kwanza (Juu) kwa watu wenye furaha na...
23 Reactions
131 Replies
43K Views
Annunaki. Inasemekana walikuja duniani miaka mingi iliyopita na kuna mambo yalifanyika. Kifupi huku walikotoka walipata majanga kwenye vyombo chao (space ship) hivyo wakatakiwa kurekebisha...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Ifahamu TISS Madhumuni, kazi na nguvu yao juu ya usalama wa nchi, Angalieni hapo kwenye vipengele vya nguvu zao na limitation zao, Kwa ufupi ni lazima wapate approval ya polisi au wizara...
5 Reactions
79 Replies
94K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu watanzania na wasio watanzania, Mlioko ndani ya mipaka ya kisiwa Cha Amani au Nje ya Kisiwa Hiki. Nianze na musema poleni kwa msiba wa Kiongozi wetu pendwa...
12 Reactions
107 Replies
18K Views
Back
Top Bottom