Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Salamu 1. Kwa muda mrefu nimekuwa nikiambiwa kwamba ndege hazivuki bahari ya pacific! Hili kwanza nataka kujua kama ni kweli ndege hazikatishi hii bahari! Kwa mtu yoyote anayefahamu hili...
6 Reactions
23 Replies
5K Views
Siri gani ambayo na jaribu kufikilia kwangu, kila siku tuna somesha watu ila baada ya kuvuna tuliyo somesha tunavuna siasa na IQ za kuojiwa na masanja. Kuna teknolojia nyingi ambazo dunia kama...
8 Reactions
173 Replies
25K Views
Vita, njaa, vifo, maradhi ni vitu ambavyo wengi wamevisikia na kuvifahamu kuhusu Afrika. Lakini sasa ni wakati wa kubadili mtazamo huu. Afrika ni bara la kushangaza ambalo ni tofauti kabisa na...
7 Reactions
24 Replies
10K Views
Ubongo wetu unatumia kanuni ya "KAMA KITU HAKITUMIKI BASI HAKINA UMUHIMU" hivyo huwa ngumu kwa ubongo kukupatia majibu kwa haraka kwa vitu ambavyo havijaonyeshwa umuhimu na wewe mwenyewe. Kuelewa...
35 Reactions
79 Replies
11K Views
NCHI 10 ZINAZOLIPA VIZURI MISHAHARA DUNIANI Je, ulishawai kujiuliza nchi ambazo wafanyakazi wanalipwa mishahara ya juu? Hebu tuangalie nchi kumi ambazo wafanyakazi wanapata malipo makubwa ya...
2 Reactions
37 Replies
15K Views
Dr. Yuval Noah Harari, Mwandishi wa Kitabu kiitwacho, "Masomo 21 Kwa Ajili ya Karne ya 21 (2018) Mwaka 2018, mwanahistoria wa huko Israel, Profesa Yuval Noah Harari, aliandika kitabu kiitwacho...
14 Reactions
106 Replies
16K Views
Habari wakuu,nasikia korea kusini na kaskazini ilikuwa taifa moja yaani korea.Sasa sababu gani ilsababisha taifa hili la korea kumeguka na kuzaliwa Korea mbili?mwenye data tafadhali
2 Reactions
29 Replies
10K Views
Natumaini Ijumaa kuu inawaendea vyema wana jamvi wakati huu taifa likiwa kwenye maombolezo ya kitaifa. Bila kupoteza muda, niende moja kwa moja kwenye hoja. Wengi wetu kama sio wote tunafahamu...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
SEHEMU YA KWANZA Saikolojia: Jifunze mambo yakayokusaidia kuwa na maisha yenye furaha duniani ( na fahamu vigezo vilivyotumiwa kuichagua Finland kuwa nchi ya kwanza (Juu) kwa watu wenye furaha na...
23 Reactions
131 Replies
43K Views
Annunaki. Inasemekana walikuja duniani miaka mingi iliyopita na kuna mambo yalifanyika. Kifupi huku walikotoka walipata majanga kwenye vyombo chao (space ship) hivyo wakatakiwa kurekebisha...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Ifahamu TISS Madhumuni, kazi na nguvu yao juu ya usalama wa nchi, Angalieni hapo kwenye vipengele vya nguvu zao na limitation zao, Kwa ufupi ni lazima wapate approval ya polisi au wizara...
5 Reactions
79 Replies
94K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu watanzania na wasio watanzania, Mlioko ndani ya mipaka ya kisiwa Cha Amani au Nje ya Kisiwa Hiki. Nianze na musema poleni kwa msiba wa Kiongozi wetu pendwa...
12 Reactions
107 Replies
18K Views
Lini haswa tulianza kuwahesabu wanawake na watoto kwenye mambo ya Mungu na mengineo ya msingi? Tukirudi nyuma hata idadi ya waliolishwa mikate na Yesu, watoto na wanawake hawakuwepo kwenye ile...
9 Reactions
133 Replies
20K Views
Mimi sina uzoefu wa uongozi wa kiserikali lakini nikiwa mume mwenye wake wanne nina uzoefu sana na mambo yanavyokwenda majumbani mwetu. Raisi au mfalme ni mtu mkubwa katika taifa lolote lakini...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wasaalaam, Anubis ni mungu wa Misri Huyu alikuwa mungu wa utunzaji wa maiti na maisha ya baadaye na pia mungu wa walinzi wa roho zilizopotea na wanyonge. Yeye ni mmoja wa miungu ya zamani zaidi...
6 Reactions
36 Replies
5K Views
George Stinney Junior alikuwa na umri wa miaka 14 tu wakati korti ya South Carolina ilimhukumu kifo. Aliuawa siku tarehe, 16 Juni, mnamo 1944, kijana wa mweusi mmarekani alikuwa mtu mdogo kabisa...
9 Reactions
39 Replies
6K Views
CHARLIE CHARLIE IS DEMONIC CHALLANGE Wassalam Nadhani tumeishuhudia sana hii challange vijana wakiicheza katika siku hizi hapa nchini kwetu imeibuka kasumba ya hii challange ya Charlie Charlie...
2 Reactions
68 Replies
10K Views
Inafahamika kwamba usalama wa taifa au secret service kwa kimombo ni moja ya kitengo kinachofanya kazi zake kwa siri mno, hii ni kutokana na majukumu waliyo nayo juu ya taifa lakini pia na aina ya...
19 Reactions
77 Replies
22K Views
Kwakuwa Usalama wa Taifa ni kama kinyonga wanafiti popote,basi wangevaa uniform za shule ya msingi na sekondari na kuingia madarasani kama wanafunzi ilimradi tu wawe wanajulikana na walimu ili...
7 Reactions
19 Replies
4K Views
Katika dunia ya leo mataifa hayategemei tu majeshi ya nchi peke yake bali pia taasisi za kiintelijensia zinazosimamia usalama wa taifa na kulilinda dhidi ya vitisho vya ndani na nje ya nchi. Kwa...
25 Reactions
141 Replies
31K Views
Back
Top Bottom