Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Wakuu najaribu tu kuwaza kama heading inavyojieleza, tunalala na tunaamka viumbe wote hai lazima walale tena usingizi wa kutojitambua na pasipo kujua chochote kinachoendelea juu yao. Kuna...
3 Reactions
64 Replies
11K Views
Habari zenu Nina maswali ambayo kwa uwezo wa fikra zangu nimeshindwa kuyapatia jibu ,nimeamua kuyaleta kwenu najua siwezi kukosa jibu, maswali yanahusiana na imani zaid NOTE: usilete utani tupo...
11 Reactions
288 Replies
32K Views
Let's dive in a non spiritual world/ physical one, the world of Newton's laws, the world of wanyonge and wasakatonge. Does randomness defy creationism? If it doesn't, then how can you explain the...
0 Reactions
0 Replies
660 Views
Mark my Word : “Livafan” Mheshimiwa kafanya mambo Mengi sana ya kupigiwa mfano kama kama kiongozi wa Taifa letu;- Hayati Dkt John Pombe Magufuli nina imani na ninaamini kanisa la Tanzania...
5 Reactions
47 Replies
5K Views
Hii picha nimekua nikiitazama mara kadhaa sijaipatia majibu ........... Nimepnda ku share ili wajuzi muweze kunifafanulia hii picha inamaanisha nini..... Mwandishi alikusudia nini.......
4 Reactions
21 Replies
4K Views
HIVI BAADA YA SHETANI NA BIBLIA KUCHAPISHWA HAKUNA MALAIKA MWINGINE ALIYE ASI TENA MBINGUNI MPAKA SASA? Hivi dunia iliumbwa kabla ya shetani kutolewa mbinguni au baada ya shetani kutolewa...
5 Reactions
75 Replies
9K Views
Leo sitoenda mbali sana katika mifano yangu japo sitokuwa jirani sana bali ntawapa soga landana sana na ardhi ya ukwasi, Bila ajizi waweza dhani waelewa vingi vya sirini lakini vile vya upenuni...
10 Reactions
19 Replies
2K Views
Ukiangalia vumbuzi zote Duniani ni njema, nzuri kwa ajili ya kufanya maisha si tu kuwa mepesi bali bora zaidi. Hakuna uvumbuzi ambao umefanyika duniani ambao ni mbaya. Kinachokuwa kibaya ni...
1 Reactions
1 Replies
977 Views
Kiukweli wanaojiita hawaamini uwepo wa Mungu hawajui wanachokitafuta.Na shida ni kwamba wanaowajibu pia hawajui wanachokijibu. . Uwepo wa Mungu upo ndani ya Mtu. Na ili Mungu awepo kwako ni lazima...
18 Reactions
650 Replies
36K Views
Amani iwe nanyi. Naona kuna upuuzi washauri na wasaidizi wa Rais wetu mama yetu Samia Hassan Suluhu wanataka kuufanya kwa mama yetu, nao ni kumuweka kwenye risk ya kupata maambukizi ya ugonjwa...
41 Reactions
171 Replies
11K Views
Tafadhali ongozana nami kwenye tafakuri hii. Kwa nini katika miili ya viumbe hai kuna kuna ute ute ambao huwa katika formula ya kunata, kuvutika au kuteleza iwe ni mate, shahawa, kamasi, jasho...
3 Reactions
15 Replies
3K Views
OPERESHENI BARRACUDA ILIVYOMUUA LUMUMBA - 01 Alhamisi ya Juni 30, 1960, Congo ilijipatia uhuru kutoka kwa Ubelgiji. Waziri Mkuu Patrice Emery Lumumba akiwa na miaka 35, akawa kiongozi wa jamhuri...
17 Reactions
50 Replies
13K Views
Nimepitia sehemu mbalimbali kuhusu Madiba(Mandela) baada ya kutoka gerezani wanadai kuwa mandela halisi Alisha kufa gerezani aliyetoka Ni GIBson Makanda na sio Mandela ila walimfanyia kitu...
2 Reactions
20 Replies
5K Views
UKWELI KUHUSU MAISHA YA MBELE YA BINADAMU. Na: @justtalker Binadamu tunaishi leo, lakini kila mwaka ulioko mbele ambao utauishi, tayari una maisha yake, yaani upo kila mwaka wa mbele ambao...
5 Reactions
29 Replies
6K Views
Kupitia picha hizi hapa chini, nimejiuliza mara mbili tatu je, ni wapi makamu wa Rais hupokea heshima ya kiitifaki kama picha zinavyojieleza?
1 Reactions
24 Replies
5K Views
UTANGULIZI Toka kilipoandikwa mwishoni mwa karne ya 6KWK, sanaa ya vita ni moja ya vitabu vya kale na maarufu sana kuhusu mbinu za kivita. Kitabu hiki kiliandikwa na Sun Tzu, huyu alikuwa alikuwa...
8 Reactions
35 Replies
8K Views
Vipande vya ngozi vilikuwa na maandiko kutoka kitabu cha nane na cha mwisho cha kitabu cha Waebrania Mabaki ya machapisho ya Biblia ya kale imepatikana katika kile maafisa wametaja kuwa "uvumbuzi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwanini vitu vinadondoka? Hili swali kwa muda mrefu nilikua nalichukulia poa (take for granted) lakini sasa nakili kuwa ni moja kati ya maswali magumu zaidi kuwahi kuulizwa na binadamu. Ukiacha...
6 Reactions
136 Replies
14K Views
Maisha yote ya mtu hayatenganishwi na yanategemea imani. Kwa maneno mengine, maisha ni imani. Ye yote anayeishi duniani maisha yake ni imani yake. Hatahivyo, swali ni kwamba imani ni nini? Imani...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Kabla ya kuwapo UKIMWI magonjwa yaliokua yanasumbua ni Degedege Pepopunda na mengine ambayo hivi sasa yote yana Chanjo kama Polio. Ukimwi ulivyoingia miaka ya 80 ndio ulikua ugonjwa tishio na...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom