Tafadhali ongozana nami kwenye tafakuri hii. Kwa nini katika miili ya viumbe hai kuna kuna ute ute ambao huwa katika formula ya kunata, kuvutika au kuteleza iwe ni mate, shahawa, kamasi, jasho...
OPERESHENI BARRACUDA ILIVYOMUUA LUMUMBA - 01
Alhamisi ya Juni 30, 1960, Congo ilijipatia uhuru kutoka kwa Ubelgiji. Waziri Mkuu Patrice Emery Lumumba akiwa na miaka 35, akawa kiongozi wa jamhuri...
Nimepitia sehemu mbalimbali kuhusu Madiba(Mandela) baada ya kutoka gerezani wanadai kuwa mandela halisi Alisha kufa gerezani aliyetoka Ni GIBson Makanda na sio Mandela ila walimfanyia kitu...
UKWELI KUHUSU MAISHA YA MBELE YA BINADAMU.
Na: @justtalker
Binadamu tunaishi leo, lakini kila mwaka ulioko mbele ambao utauishi, tayari una maisha yake, yaani upo kila mwaka wa mbele ambao...
UTANGULIZI
Toka kilipoandikwa mwishoni mwa karne ya 6KWK, sanaa ya vita ni moja ya vitabu vya kale na maarufu sana kuhusu mbinu za kivita. Kitabu hiki kiliandikwa na Sun Tzu, huyu alikuwa alikuwa...
Vipande vya ngozi vilikuwa na maandiko kutoka kitabu cha nane na cha mwisho cha kitabu cha Waebrania
Mabaki ya machapisho ya Biblia ya kale imepatikana katika kile maafisa wametaja kuwa "uvumbuzi...
Kwanini vitu vinadondoka?
Hili swali kwa muda mrefu nilikua nalichukulia poa (take for granted) lakini sasa nakili kuwa ni moja kati ya maswali magumu zaidi kuwahi kuulizwa na binadamu.
Ukiacha...
Maisha yote ya mtu hayatenganishwi na yanategemea imani. Kwa maneno mengine, maisha ni imani. Ye yote anayeishi duniani maisha yake ni imani yake.
Hatahivyo, swali ni kwamba imani ni nini? Imani...
Kabla ya kuwapo UKIMWI magonjwa yaliokua yanasumbua ni Degedege Pepopunda na mengine ambayo hivi sasa yote yana Chanjo kama Polio.
Ukimwi ulivyoingia miaka ya 80 ndio ulikua ugonjwa tishio na...
Wana jf wote ninawasalimu.
Moja kwa moja kwenye mada, siku za hivi karibuni baada ya kuzuka kwa tetesi zilizohusisha afya ya raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. JPM na HABARI...
Helo guys wazima nyie?
Kuna maswali na hoja tofauti nimekua nakutana nazo kuhusiana na watu wanaotumia mkono wa kushoto (Left handed peoples).
Baadhi ya hoja na maswali hayo ni:-
Kwanini mtu...
Unaposoma sayansi ya utambuzi wa mwili tunaambiwa kuwa mwili unauwezo wa kujikinga na mashambulizi ya kiufahamu na usidhuriwe na nguvu yoyote toka nje ishu ya laana...
Salute Comrades..
NB:Maelezo yangu hapa chini yanajaribu kuakisi ni wapi hasa bustani ya edeni ilikuwepo, lakini kutokana na vyanzo vya habari bado sijapata hasa ni wapi bustani hii ilikuwepo...
Hili ni jaribio lililofanyika mwaka 1907
Na Daktari mbobezi ndugu Duncun MacDougal.
Daktari huyu alikuja na swali kwamba je!! Inawezekana nafsi (soul)ikawa na nzito flani unaopimika!!!
Ili kuja...
Haina ubishi, wakristo wote huamini Jerusalem ndio mji muhimu kuliko yote katika imani yao na ni mji mtakatifu sana. Kila mkristo hutamani kufika huko kuhiji na kuyatembelea matukufu ya Mungu...
Habari za mchana wakuu, Bila shaka jumamosi njema sana leo. Naomba kuleta Uzi kuhusu bibi mkubwa mmoja ambaye kwenye soma soma za hapa na pale amenipa hamasa ya kushare nanyi historia ya maisha...
Utapeli wa 419 ni utapeli ambao pia unajulikana kama Lipa Ada Kabla (Advance Fee Scam). Ni utapeli ambao hufanywa kwa kiasi kikubwa nchini Nigeria, na namba 419 ni ‘code’ ya Nigeria ya kitengo cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.