Hivi upi ni ukweli kuhusu ndege(planes) kutokupita bahari ya Pacific?

griffin griffith

JF-Expert Member
Mar 22, 2017
549
440
Salamu

1. Kwa muda mrefu nimekuwa nikiambiwa kwamba ndege hazivuki bahari ya pacific!

Hili kwanza nataka kujua kama ni kweli ndege hazikatishi hii bahari! Kwa mtu yoyote anayefahamu hili anisaidie, kama lina ukweli wowote hapa

Adjustments.jpg


2. Nilipoendelea kudadisi kwa wale ambao wanasema ndege hazipiti hapa! Nilipewa sababu kama mbili Lakini kwa makundi mawili tofauti!

KUNDI A
Hili kundi wanasema ndege hazipiti hili eneo kwa sababu ya hili eneo lina mlango wa kuenda kuzimu! Hivyo ndege nyingi pamoja na vyombo vingine vya baharini vya usafiri vimekuwa vikipotea sana hapa!

Yaani naambiwa kuna kesi nyingi sana za kupotea kwa ndege na vyombo vingine kama meli kwenye eneo hili kwani inasadikika kuwa kuna mlango wa kuzimu!

Hili pia naomba kufahamu undani wake kwa walio na taarifa zaidi(data)


KUNDI B
Wanasema ndege hazivuki hili eneo kwa sababu ukivuka hili eneo(straight lane) hii njia ni ndefu kuliko ukipita pembeni ya bahari(curvature lane)

Adjustments.jpg

Straight way


Adjustments.jpg

Curvature way


Hebu tuliza akili kidogo! Wanasema straight way is longer than curvature way! Hapa sijakosea kutokana na maelezo Yao!

Hata Mimi nilijua straight way itakuwa shorter than curvature way! Lakini wao walisema si kweli! Bali straight way is longer than curvature way kwa sababu Dunia si flat Bali ni duara ( spherical).

Yaani wanasema kama dunia ingekuwa flat basi straight way ingekuwa shorter than curvature way and vice versa is true!

Hivyo kutokana na ukweli huo! Ndege hazivuki hii bahari maana straight way ni ndefu hivyo wanaepusha mambo yafuatayo.

1. Kutumia muda mrefu
2. Emergency ikitokea kama ndege kuongezewa mafuta ni ngumu kushughulika

3. Safari ni ndefu


Hivyo kwa yoyote anaejua ukweli nakaribisha mawazo juu ya hili


Asanteni nawasilisha
 

Curved Routes Are Shorter Than Straight Routes​

The primary reason airplanes don’t fly over the Pacific Ocean is because curved routes are shorter than straight routes. Flat maps are somewhat confusing because the Earth itself isn’t flat. Rather, it’s spherical. As a result, straight routes don’t offer the shortest distance between two locations. Whether a commercial airline is flying from the United States to Asia or elsewhere, it will have the fastest and most fuel-efficient flight by performing a curved rout.

You can see for yourself by conducting an experiment with a globe of the Earth. With a spherical globe in hand, identify two locations, such as the middle of the United States and the middle of Asia. Next, connect a piece of a string or cordage directly between these two areas to mimic a straight route. When finished, cut use a marker to highlight the string or cordage at this distance. Now it’s time to measure a curved path connecting the same two locations. Using the same piece of string or cordage, connect the two locations using a curved route. Assuming you followed these steps correctly, you’ll discover that the curved route is physically shorter than the straight route.

Curved Routes Are Safer​

Of course, curved routes connecting the United States to Asia (and vice versa) are also safer than straight routes connecting the same regions. Commercial airlines typically fly a Northern curved route that goes over Canada and Alaska. Therefore, they spend less time over the Pacific Ocean, allowing for emergency landings if needed.

C&P
 
Duniani kunasehem mbili ambapo ndege haziwezi kupita juu yake, lakini vilevile ndio centre of the bicon ya njia zote za ndege.

sehemu hizo ni North axis na south axis, naomba niweke wazi, sio nort pole au South Pole.

namaanisha north axis na south side axis ambapo ndio msingi wa swali.

Kwa upande wa North ni Pale ulipojengwa msikiti makka na maeneo yake ya pembeni kidogo na hilo eneo na

upande south ni eneo la flani ktk bahari ya Pasific. sababu kuu NI ile spinning power ya ukanda huo, huwezi kuuona kwa macho lakini ni very powerful.

kumbuka ndege zote huruka kwa kutegemea degree za mzunguko wa dunia. na Wala sio degree za michoro ya latitude au longitude.

mistari ya longitude na latitude inafata kivuli Cha jua na Wala sio spinning standing.

kwahio ni ndege haipiti kwasababu ya kani ya mvutano iliopo ambayo inafanya dunia ihimili mzunguko wake bila kusimama, na kwasababu hio kani ya mvutano inajizalisha yenyewe kwenye hizo axis.
 

Curved Routes Are Shorter Than Straight Routes​

The primary reason airplanes don’t fly over the Pacific Ocean is because curved routes are shorter than straight routes. Flat maps are somewhat confusing because the Earth itself isn’t flat. Rather, it’s spherical. As a result, straight routes don’t offer the shortest distance between two locations. Whether a commercial airline is flying from the United States to Asia or elsewhere, it will have the fastest and most fuel-efficient flight by performing a curved rout.

You can see for yourself by conducting an experiment with a globe of the Earth. With a spherical globe in hand, identify two locations, such as the middle of the United States and the middle of Asia. Next, connect a piece of a string or cordage directly between these two areas to mimic a straight route. When finished, cut use a marker to highlight the string or cordage at this distance. Now it’s time to measure a curved path connecting the same two locations. Using the same piece of string or cordage, connect the two locations using a curved route. Assuming you followed these steps correctly, you’ll discover that the curved route is physically shorter than the straight route.

Curved Routes Are Safer​

Of course, curved routes connecting the United States to Asia (and vice versa) are also safer than straight routes connecting the same regions. Commercial airlines typically fly a Northern curved route that goes over Canada and Alaska. Therefore, they spend less time over the Pacific Ocean, allowing for emergency landings if needed.

C&P

Asante kwa hii kitu

Kimeniongezea kitu kikubwa, especially on proving which is physically shorter btn curvature and straight ones
 
Mbona umeshazisema sababu mwenyewe hapo unataka sisi Wana JF tuje na taarifa tofauti zaidi ya hao hao waliosema Dunia ni duara?.

Tubishane nao ili hali asilimia 90 ya Geography tunayosoma wao ndio waliofanya tafiti na kutueleza?.

Kama nakubaliana nao kuwa Solar eclipse ni pale kivuli cha mwezi kinafunika sehemu ya dunia baada ya kuwa katikati ya dunia na jua.....sasa ni vipi nikatae wakiniambia hiyo njia ya straight ni ndefu zaidi?.
 
Niliambiwaga pia eti hata juu ya Mt Kilimanjaro, Ila mbona kuna siku tulikatiza na rubani akatuamsha tuangalie utalii wa ndani!

Haya Mambo yanachanganya Sana, hata katikati ya core ya dunia kuna barafu badala ya joto Kali zaidi ya magma.
 
Sio kwamba ndege hazitumii kabisa hiyo route hapana Bali zinatumiaa isipokuwa route hiyo mara nyingi commercial airlines ndo huwa wakwepa kwa sababu kama hizo ulotaja kwenye kundi B
 
Watu wanapenda kulishwa matango pori sana. Wahuni wanatengeneza vivideo YouTube kupiga watu.
Nilipanda ndege kutoka LAX -SIN tulikatiza bahari ya Pasific.
Ukisoma chochote kwenye internet fanya pia na wewe utafiti wako binafsi.
Upo sahihi.
 
Ngoja nikufungue macho kidogo nikuongezee maswali ya kujiuliza.

Sio hapo tu, fuatilia hiyo latitude dunia nzima utagundua mambo yenye utata.
 
Hizo habari za kuzimu ni tafiti za waafrika za chini ya mti.
Kuna mtumishi wa Mungu mwingine alisema kuna milango miwili ya kwenda kuzima tanzania. Moja uko Salend Bridge Dar es salaam na mwingine uko tabora😅😅😅
 
Back
Top Bottom