Illuminati and Freemasons

future lawyer

JF-Expert Member
Jan 28, 2020
398
382
ILLUMINATI - 1
Illuminati ilianzishwa rasmi tarehe 1 mwezi wa 5 mwaka 1776 na Adam Weishaupt huko Ingolstadt, Germany huku lengo kuu likiwa "Into the bright" wakati kinaanzishwa walikua na malengo mengi mazuri, ikiwemo kupinga imani za jadi, kupinga matumizi ya nguvu za giza, kupinga unjanyasaji na kupinga na dora kubwa kubwa.

Hata haijulikani kilitokea nini! labla kwasababu ya kukosa nguvu ya ushawishi na kuungwa mkono, Baadae wakaanza kuvishawishi vikundi ambavyo kwa wakati huo vilionekana vina ushawishi kama vile Order of Assassins, Skull and Bones, Masons (Waashi/Wajenzi kabla hata hawajawa wajenzi huru {Freemasons}),

Hivi vyama ni kizungumkuti kuvielewa na kuvifuatilia kwa undani wengi tunaishia kusoma makala za kwenye magazeti na kujiona tuna vifahamu. Neno Freemasons sio ngeni masikio kwa watu na wengi wetu tuna wasikia zaidi Freemasons (Hatuwafahu kama tunavyo jiaminisha) kwa maneno mengine Freemasons ni maarufu kuliko hata Illuminati.

Kimsingi hawa Wote ni wamoja lakini wana tofautiana katika utendaji kwa mfano Freemasons hawa wana husika na mambo ya Imani hawa tunao kwenye Dini zetu, kwenye makanisa yetu na kwenye misikiti yetu wamesha piga kambi toka muda mrefu sana,

Hapa sina maana ya Dini fulani au kanisa au Msikiti fulani ni wa Freemasons, Lakini hawa wanakua na kikundi chao cha siri kinafanya kazi kwa siri kwenye imani fulani (Makanisa & Misikiti) wanacho kifanya hawa ni kufuata taratibu zote husika lakini Kuna vitu Wana anza kupandikiza kwenye imani husika na kuchunguza taratibu zote za Imani husika.

Freemasons wamekuwa maarufu zaidi kuliko vikundi vingine kutokana na wao kufanya kazi inayo husisha Imani na walikua maarufu kabla hata ya kuwa chini ya Illuminati, Pamoja na kwamba Freemasons ni kikundi ndani ya Illuminati nao kama Freemasons wanaongoza kuwa na vikundi vingi vya siri labla ndio sababu nyingine ya inayo wafanya kuwa maarufu.

Kuna Sect hatari ndani ya Freemasons inaitwa Propaganda Due (P2) maarufu sana kama "Trust Control" habari za Freemasons zote unazosoma kwenye machapisho mbali mbali asili yake ni wao ukisha sikia "Wadhibiti Ukweli" bila shaka usha fahamu nini kinaendelea.

ITAENDELEA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ILLUMINATI - 1
Illuminati ilianzishwa rasmi tarehe 1 mwezi wa 5 mwaka 1776 na Adam Weishaupt huko Ingolstadt, Germany huku lengo kuu likiwa "Into the bright" wakati kinaanzishwa walikua na malengo mengi mazuri, ikiwemo kupinga imani za jadi, kupinga matumizi ya nguvu za giza, kupinga unjanyasaji na kupinga na dora kubwa kubwa.

Hata haijulikani kilitokea nini! labla kwasababu ya kukosa nguvu ya ushawishi na kuungwa mkono, Baadae wakaanza kuvishawishi vikundi ambavyo kwa wakati huo vilionekana vina ushawishi kama vile Order of Assassins, Skull and Bones, Masons (Waashi/Wajenzi kabla hata hawajawa wajenzi huru {Freemasons}),

Hivi vyama ni kizungumkuti kuvielewa na kuvifuatilia kwa undani wengi tunaishia kusoma makala za kwenye magazeti na kujiona tuna vifahamu. Neno Freemasons sio ngeni masikio kwa watu na wengi wetu tuna wasikia zaidi Freemasons (Hatuwafahu kama tunavyo jiaminisha) kwa maneno mengine Freemasons ni maarufu kuliko hata Illuminati.

Kimsingi hawa Wote ni wamoja lakini wana tofautiana katika utendaji kwa mfano Freemasons hawa wana husika na mambo ya Imani hawa tunao kwenye Dini zetu, kwenye makanisa yetu na kwenye misikiti yetu wamesha piga kambi toka muda mrefu sana,

Hapa sina maana ya Dini fulani au kanisa au Msikiti fulani ni wa Freemasons, Lakini hawa wanakua na kikundi chao cha siri kinafanya kazi kwa siri kwenye imani fulani (Makanisa & Misikiti) wanacho kifanya hawa ni kufuata taratibu zote husika lakini Kuna vitu Wana anza kupandikiza kwenye imani husika na kuchunguza taratibu zote za Imani husika.

Freemasons wamekuwa maarufu zaidi kuliko vikundi vingine kutokana na wao kufanya kazi inayo husisha Imani na walikua maarufu kabla hata ya kuwa chini ya Illuminati, Pamoja na kwamba Freemasons ni kikundi ndani ya Illuminati nao kama Freemasons wanaongoza kuwa na vikundi vingi vya siri labla ndio sababu nyingine ya inayo wafanya kuwa maarufu.

Kuna Sect hatari ndani ya Freemasons inaitwa Propaganda Due (P2) maarufu sana kama "Trust Control" habari za Freemasons zote unazosoma kwenye machapisho mbali mbali asili yake ni wao ukisha sikia "Wadhibiti Ukweli" bila shaka usha fahamu nini kinaendelea.

ITAENDELEA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unavujisha siri za vyama vya siri?
Au haya uliyoyaandika ni mawazo yako tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuuu watakuja freemasonry na masawali yao ya kukukatisha tamaaa,we usjali songa mbele na stori ,hawa watu wapo hata hapo ulipo kaaa ni noma
 
ILLUMINATI - 1
Illuminati ilianzishwa rasmi tarehe 1 mwezi wa 5 mwaka 1776 na Adam Weishaupt huko Ingolstadt, Germany huku lengo kuu likiwa "Into the bright" wakati kinaanzishwa walikua na malengo mengi mazuri, ikiwemo kupinga imani za jadi, kupinga matumizi ya nguvu za giza, kupinga unjanyasaji na kupinga na dora kubwa kubwa.

Hata haijulikani kilitokea nini! labla kwasababu ya kukosa nguvu ya ushawishi na kuungwa mkono, Baadae wakaanza kuvishawishi vikundi ambavyo kwa wakati huo vilionekana vina ushawishi kama vile Order of Assassins, Skull and Bones, Masons (Waashi/Wajenzi kabla hata hawajawa wajenzi huru {Freemasons}),

Hivi vyama ni kizungumkuti kuvielewa na kuvifuatilia kwa undani wengi tunaishia kusoma makala za kwenye magazeti na kujiona tuna vifahamu. Neno Freemasons sio ngeni masikio kwa watu na wengi wetu tuna wasikia zaidi Freemasons (Hatuwafahu kama tunavyo jiaminisha) kwa maneno mengine Freemasons ni maarufu kuliko hata Illuminati.

Kimsingi hawa Wote ni wamoja lakini wana tofautiana katika utendaji kwa mfano Freemasons hawa wana husika na mambo ya Imani hawa tunao kwenye Dini zetu, kwenye makanisa yetu na kwenye misikiti yetu wamesha piga kambi toka muda mrefu sana,

Hapa sina maana ya Dini fulani au kanisa au Msikiti fulani ni wa Freemasons, Lakini hawa wanakua na kikundi chao cha siri kinafanya kazi kwa siri kwenye imani fulani (Makanisa & Misikiti) wanacho kifanya hawa ni kufuata taratibu zote husika lakini Kuna vitu Wana anza kupandikiza kwenye imani husika na kuchunguza taratibu zote za Imani husika.

Freemasons wamekuwa maarufu zaidi kuliko vikundi vingine kutokana na wao kufanya kazi inayo husisha Imani na walikua maarufu kabla hata ya kuwa chini ya Illuminati, Pamoja na kwamba Freemasons ni kikundi ndani ya Illuminati nao kama Freemasons wanaongoza kuwa na vikundi vingi vya siri labla ndio sababu nyingine ya inayo wafanya kuwa maarufu.

Kuna Sect hatari ndani ya Freemasons inaitwa Propaganda Due (P2) maarufu sana kama "Trust Control" habari za Freemasons zote unazosoma kwenye machapisho mbali mbali asili yake ni wao ukisha sikia "Wadhibiti Ukweli" bila shaka usha fahamu nini kinaendelea.

ITAENDELEA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii mada ni muhimu kuendelea
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom