Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Kwa mujibu wa maelezo ya makamu wa chuo kikuu cha Muhimbili kampasi ya Mloganzila kuwa hospitali hiyo pamoja na chuo kitafunguliwa rasmi tarehe 25/11/2017, ni jambo jema na la kutia faraja kwa...
7 Reactions
65 Replies
14K Views
Wana JF, natamani kusaidiwa ni kwa namna gani naweza kupata cheti cha kuzaliwa cha mtoto ambaye kadi yake ya clinic ilipotea na bahati mbaya sana hata ya mamake pia haipo, naombeni mawazo yenu wadau!!
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Huu ni wakati wenu wa kusimamia tamko la waziri juu ya nyumba za kupanga. Kodi ilipwe kwa mwezi na sio kwa miezi sita au Mwaka. Kusahau au kutosimamia hili hakutakua na maana saana ikiwa wajumbe...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tulishawahi kujiuliza ni muda kiasi gani tunaupoteza bila kuutumia kuzalisha mali. Watalaam wa ujasiliamali wanasema :- Ukiwa na miaka 18 hadi 28 tumia muda mwingi kujifunza mambo mapya na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Licha ya serikali kuboresha miundombinu ya sekta ya afya, bado vituo vingi vya afya vinatoa huduma hiyo kwa upendeleo na kuwabagua baadhi ya wagonjwa ambao hawana fedha. Kwa mujibu wa matokeo ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya kusua sua kwa mda mrefu, kiwanda hiki kilichopo Arusha hivi sasa kina mpango kabambe wa kujiimarisha kimataifa ikiwemo kuanza kuuza bidhaa zake nje ya nchi ikiwemo Kenya, Rwanda, Zanzibar...
3 Reactions
44 Replies
11K Views
Kumeibuka tabia ya baadhi ya watu Wetu wa karibu kama ndugu au rafiki au Jirani. Kila akikutafuta au ukikutana nae huwa anapenda kujua unafanya nini Au unashughulika na nini baada ya kufahamu...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Siku huyu akirudi CCM ni balaa. Jamaa ni Genius sema wanamuogopa sana ana sifa zote za kuwa Rais wa nchii hii na ni mzalendo Tusisahau pia jinsi ambavyo amekuwa akifanyiwa vituko na vikwazo vya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu nalazimika kuandika haya kwa uchungu na hasira kumekua na diwani mmoja ambae sitamtaja Chama chake kuepuka kuonekana labda nimelizungumza hili kwa kuangalia itikadi ya Chama Chake. Kifupi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Watu watatu ambao ni raia wa Somalia wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka sita likiwemo la kuhujumu uchumi na kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya shilingi...
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Habari! Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza tunaomba Serikali itupie jicho kwa bandari ya Mtwara. Ukweri ni kwamba kuna tabia za kijinga ambazo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Imebainika kuwa wakazi wengi wa jiji la Dar es salaam wako hatarini kiafya kutokana na kukabiliwa na maradhi ya moyo, shinikizo la damu maarufu kama presha, uoni hafifu na kisukari. Ukweli huo...
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Bwana Yesu Asifiwe: Kwanza naomba kudeclare interest kuwa ndugu zangu ikiwemo wazazi wangu ni wakulima wa korosho kwa muda mrefu. Tangu nizaliwe mpaka nafikia umri huu shughuli tunayoitegemea...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Zaidi ya raia mia nane wengi wao wakiwa ni watoto na wanawake kutoka nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameingia nchini katika wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma kuomba hifadhi ya ukimbizi...
1 Reactions
2 Replies
983 Views
1. Wana njaa kali wanatafuta pa kujishibisha 2. Wamekosa ukomavu wa kisiasa, wanafikiri upinzani ni lele mama 3. Wanafikiri upinzani hauna cha kusema angali hata Marekani/Uingereza/Ufaransa...
12 Reactions
37 Replies
4K Views
Mabasi yamepaki abiria wanaangaika usafiri. Huu ni ushamba waendeshaji wanasababisha usumbufu na kero kubwa. Badilikeni mtu amekata tiketi anakaa kituoni dakika 30. Ushamba au dharau
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Kwa sababu umeme umekuwa shida sana serikali ingewekeza hata kwa kushirikiana na watu binafsi kwenye uzalishajimdogo mdogo wa umeme wa maji tuna maeneo mengi sana ambayo ni potential kwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wadau Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Abdallah Uledi amesema Tanzania inaagiza kutoka nje tani 2,000 za Samaki kila mwaka. Amesema hii ni aibu kwani wapo Samaki wengi wa aina tofauti...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wadau Haya ndiyo masharti Mapya kwa watakaoshiriki mnada wa kesho tarehe 24/11/2017 1. Lazima kila mshiriki ajisajiri 2. Kila mshiriki atatoa tshs milioni 2 kabla ya kuanza mnada. Ukishindwa...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom