Tatizo siyo kufa, tatizo ni unakufaje! Tatizo ni unarejeaje kwa mola wako? Kurejea haina shida, we will all follow suit, ni unareje kwa kuacha mchirizi upi?, umeacha maumivu/ukatili/ uonevu/mauaji...
Jana nimeona kisa ambacho mara nyingi tunaona ni vya kawaida ila sio vya haki katika jamii yetu.
Kisa chenyewe ni mama flani jirani apa aliye na tabia ya kutesa watoto wa kambo ambaye mumewe...
Habari wana jamvi,sote tu wazima na pole kwa wale ambao wameamka hawako na afya njema.
Kama kichwa cha habari kinavyoonyesha hapo juu,mimi ni mtumiaji wa mtandao wa halotel. Na kila mara nikiweka...
Hili janga la foleni kwenye jiji hili la maraha imekua too much sasa, takribani mwezi sasa naona foleni zimekua kero sasa, serikali inabid ichunguze swala hili maana si tu muda kupotea lakini pia...
Katabia ka kumshambulia mtanzania mwenzetu anayebahatika kuteuliwa na rais wetu kutumikia watanzania, siyo poa
Jaribuni kuwa waelewa jamani, nafasi zozote za ajira ni za watanzania bila kujali...
Ndio,
nadiriki kusema hili kwa kulingana na aina au mfumo wa ufanyaji siasa tuliouzoea kuuona ukitumika na CDM.
Huu ni wa kihistoria,na naongelea siasa za matukio ambazo chadema wanatumia Mara...
Wandugu, nimesoma kuhusu muswada wa mfuko mpya wa jamii kama ilivyoripotiwa na gazeti la Mwananchionline hapo jana tarehe 23/11/2017.
Nina mashaka na kilichoripotiwa, aidha aliyeripoti kuna vitu...
Wakati serikali hii ya awamu ya tano chini ya usimamizi mahiri Wa kabisa Wa Comrade JPM unaanza kutekeleza ilani yake moja ya vitu vilivyopigiwa kelele ni pamoja na utolewaji Wa elimu bure pasipo...
Jaman Jana nilienda kijijiflan kutembelea ndugu ila maajabu nilio kutana nayo nikama hivi ,,,, kuna kimlima flan hivi kipo kijijini hapo ambacho ukifikapo rangi ya ngozi ya mwili wako...
Hali si shwari. Kuna vitu huko Kibiti, Mkuranga na Rufiji vinapaswa kuchimbwa na kuwekwa wazi. Vitu vitakavyosaidia kumaliza kinachoendelea huko. Lazima wananchi tujitoe kwa ajili ya usalama na...
Habari wana JF. Kuna hii sera ya serikali ya matibabu bure kwa wazee, wamama wajawazito pamoja na watoto chini ya miaka mitano kutolewa katika hospitali zote za serikali, je lina uhalisia wowote...
Ni kweli sasa Clouds Media Group mnaboa, mmetuchosha hadi tumelazimika kusema. Vituo vyenu vyote sasa ni kutangaza grand finale ya tigo fiesta kuanzia asubuhi mpaka jioni mpaka kesho yake...
Wadau habarini
Katika kuunga mkono jitihada za RC Makonda, jumla ya Madaktari Bingwa Na Wataalamu wa Afya 381 kutoka Jeshi la China watawasili nchini tarehe 20/11/2027 na kutoa huduma za matibabu...
Bill hiyo inaenda kuua wastaafu.
1. Mafao utalipwa 38% na 62% utakuwa unalipwa monthly. Mfano kama ilikuwa ulipwe milioni 100 maana yake kwa mswada mpya utalipwa pension ya mkupuo 38 milioni...
Jana nimepokea deni nalodaiwa na bodi ya mikopo toka kwa mwajiri ,aiseeh linatisha.
Nimegraduate 201.... na nilipata mkopo kwa asilimia 100 degree ya sayansi chuo flan hapa bongo. Nashukuru...
Wakazi wa vijiji 46 kati ya 82 vya wilaya ya Magu mkoani Mwanza hawana uhakika wa kupata huduma za afya jirani na maeneo yao, kufuatia vijiji hivyo kutokuwa na zahanati kwa zaidi ya miaka 50...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.