Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Ni kweli sasa Clouds Media Group mnaboa, mmetuchosha hadi tumelazimika kusema. Vituo vyenu vyote sasa ni kutangaza grand finale ya tigo fiesta kuanzia asubuhi mpaka jioni mpaka kesho yake...
6 Reactions
23 Replies
3K Views
Wadau habarini Katika kuunga mkono jitihada za RC Makonda, jumla ya Madaktari Bingwa Na Wataalamu wa Afya 381 kutoka Jeshi la China watawasili nchini tarehe 20/11/2027 na kutoa huduma za matibabu...
3 Reactions
179 Replies
25K Views
Bill hiyo inaenda kuua wastaafu. 1. Mafao utalipwa 38% na 62% utakuwa unalipwa monthly. Mfano kama ilikuwa ulipwe milioni 100 maana yake kwa mswada mpya utalipwa pension ya mkupuo 38 milioni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jana nimepokea deni nalodaiwa na bodi ya mikopo toka kwa mwajiri ,aiseeh linatisha. Nimegraduate 201.... na nilipata mkopo kwa asilimia 100 degree ya sayansi chuo flan hapa bongo. Nashukuru...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Wakazi wa vijiji 46 kati ya 82 vya wilaya ya Magu mkoani Mwanza hawana uhakika wa kupata huduma za afya jirani na maeneo yao, kufuatia vijiji hivyo kutokuwa na zahanati kwa zaidi ya miaka 50...
0 Reactions
3 Replies
45K Views
Watanzania wenzangu sipingi kuwepo kwa flyover. Tulikuwa hatuitaji flyover Dar kabla ya kutengeneza/ kuweka Lami kwenye barabara zote za mitaani. Tumetumia pesa nyingi sana kwenye flyover ya...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Kumekuepo na video kadhaa zinazorushwa mitandaoni kila mara zikiionesha ndege yetu iliyokamatwa uko Canada ikiwa imeparkiwa tu kama gari kwenye maegesho, na kumekuwepo na mashaidi ambao wamekiri...
3 Reactions
35 Replies
3K Views
Ni hatari makini salama, wapiga kura hao wawekewa alama ya X ili kupisha barabara (sio barabara kuu) ni barabara ya ndani. Wananchi hao wanyonge wamebambikiziwa kesi ya kujenga bila hati wakati...
1 Reactions
55 Replies
8K Views
Miezi kadhaa nyuma clouds fm walikua wana walilia waTanzania kwamba Makonda kawatenda isivyo, watu wengi walisikitika sanaa na vyombo vya hanari vikaungana nao kukemea uvamiaji ule, kama haitoshi...
12 Reactions
111 Replies
10K Views
Mara nyingi nimesikia Serikali/Statistics officer wakisema mfumuko umepungua, wanataja mazao peke yake Sukari Ngano Mafuta ya kula/kupika Gesi ya kupikia Mafuta taa Nguo madukani Vyote hivyo hapo...
0 Reactions
0 Replies
549 Views
Inaeleezwa kuwa vitendo vya ukatili na udhalilishaji vinaendelea katika ngazi ya familia na jamii kwasababu baadhi ya watu wanaoshuhudia matendo maovu hawatoi taarifa kwa mamlaka husika ili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanafunzi wengi wa chuo cha Ardhi wamekuwa na kasumba ya kucheleweshewa mikopo yao au kutopewa kabisa licha ya kusaini majina yao kwenye majina ya watu waliopata mkopo. Pia hata kwa wale ambao...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Dr. Shika ametuma hela kama bima ya kuletewa cheki yake ya mabilioni ya hela toka Asia, ili anunue magorofa ya Lugumi. Utapeli kama huu umejaa duniani na hasa WaNigeria wamekubuhu. Wanakwambia...
28 Reactions
144 Replies
16K Views
Kwa mujibu wa maelezo ya makamu wa chuo kikuu cha Muhimbili kampasi ya Mloganzila kuwa hospitali hiyo pamoja na chuo kitafunguliwa rasmi tarehe 25/11/2017, ni jambo jema na la kutia faraja kwa...
7 Reactions
65 Replies
14K Views
Wana JF, natamani kusaidiwa ni kwa namna gani naweza kupata cheti cha kuzaliwa cha mtoto ambaye kadi yake ya clinic ilipotea na bahati mbaya sana hata ya mamake pia haipo, naombeni mawazo yenu wadau!!
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Huu ni wakati wenu wa kusimamia tamko la waziri juu ya nyumba za kupanga. Kodi ilipwe kwa mwezi na sio kwa miezi sita au Mwaka. Kusahau au kutosimamia hili hakutakua na maana saana ikiwa wajumbe...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tulishawahi kujiuliza ni muda kiasi gani tunaupoteza bila kuutumia kuzalisha mali. Watalaam wa ujasiliamali wanasema :- Ukiwa na miaka 18 hadi 28 tumia muda mwingi kujifunza mambo mapya na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Licha ya serikali kuboresha miundombinu ya sekta ya afya, bado vituo vingi vya afya vinatoa huduma hiyo kwa upendeleo na kuwabagua baadhi ya wagonjwa ambao hawana fedha. Kwa mujibu wa matokeo ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya kusua sua kwa mda mrefu, kiwanda hiki kilichopo Arusha hivi sasa kina mpango kabambe wa kujiimarisha kimataifa ikiwemo kuanza kuuza bidhaa zake nje ya nchi ikiwemo Kenya, Rwanda, Zanzibar...
3 Reactions
44 Replies
11K Views
Back
Top Bottom