Kikosi cha kupambana na rushwa Kiteto kinawashikilia maafisa elimu wawili wilayani Kiteto kwa tuhuma za kutumia mqdaraka yao vibaya
Taarifa za uhakikia zinaeleza kuwa moja ya sababu ya...
Ikiwa inajulikana kwamba Punda huwa ana ngozi ngumu na ni mharifu sana wa magari hasa madogo pindi anapogongwa leo kaipata fresh.
Maeneo ya Nanja Wilayani Monduli Mkoani Arusha leo january 04...
Siku moja baada ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kutangaza kuanza kampeni ya miezi mitatu ya kuwasaka wanufaika wa mikopo ambao mikopo yao imeshaiva, wadaiwa waanza...
Habari wadau;
Mimi kitaaluma ni mwanasaikolojia na kwa muda sasa nimekuwa nikifanya study ya personality development kuanzia utotoni mpaka uzeeni.Katika tafiti zangu pia ninatazama maswala ya...
January 04, 2018
BARUA YA WAZI KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MHE(DR.) JOHN POMBE MAGUFULI
Mhe.Rais, kwa heshima na taadhima naomba nianze kwa...
Mamlaka husika ujumbe mzito huo kuhusu bidhaa zetu za ndani katika kuelekea uchumi wa viwanda na nchi kufikia uchumi wa kati ifika mwaka 2025.
Utatuzi wa Changamoto hii.......
JIHADHARI, HAYA NDIYO YANAITWA UCHOCHEZI KWASASA.
Kama hujajua ni kuwa ni rahisi sana kuunganishwa kwenye makosa ya uchochezi.
Sheria mpya ya Huduma za Habari ya mwaka 2016...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Jaffary Mohamed amethibitisha kuwa wanamshikila Nyandaro Kusoya mkazi wa kijiji cha Nyang'oma kwa tuhuma za kumchoma moto mikono yote mtoto wa kaka yake, Sarah...
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) mkoani Kilimanjaro inamshikilia karani wa Mahakama ya Mwanzo ya Maili Sita wilayani Hai, Rose Urassa (58) kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa...
Naomba swali hili liwe mahususi kwa jeshi la polisi na wapenda usalama wote. Huu mtaa wa keko uko jijini Dar es salaam katika manispaa ya temeke. naweza kusema ni mtaa tata tangu enzi na enzi na...
Marafiki wawili*(Elias na Ben)* walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.
Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo...
Habari wanabodi.
Mada hapo juu yahusika. Mimi ni msomaji wa vitabu na mfuatiliaji mkubwa wa matukio mbalimbali kwa nyanja zote za maisha.
Sasa nataka kupata taarifa za habari za BBC na Radio DW...
Hi everyone on JF! Nina swali,, na pia naombeni majibu .kwa waliofanikiwa na wanaohitaji , Je? Taasisi ya Mikopo itwayo STEP UP LOAN NI taasisi ya kweli? Na IPO chini ya Nani Ahsanteni Wanajamvi...
Tumekuwa tukiuza aina mbali mbali za gesi
Oryx n moja ya kampuni bora kabisa
Hivi karibuni wananchi wameanza kulalamika kila kona gesikuvuja
kuna shida wakati mkifunga ama zile rubber zenu...
Waryoba alitoa agizo hilo Desemba mwaka jana katika kikao cha kamati ya ushauri ya wilaya baada ya kupokea taarifa ya elimu kutoka kwa Ofisa Elimu Sekondari, Sostenes Luhende kuhusu wanafunzi hao...
Ndugu jamaa na marafiki kwa wenye ufahamu juu ya jambo hili naombeni msaada.
Yapata takribani miezi miwili tangu hii hali kuanza kunitokea na ni kila nikilala haijalishi iwe usiku au mchana...
Wakuu nimeona ongezeko la ujenzi holela kuanzia eneo la Uyole kati ukiwa unaelekea Tukuyu Kyela au Nchi jirani. Kuna ujenzi wa nyumba nyingi za kisasa. Kwa hili wananchi wanapaswa kupongezwa...
Mikoa itakayokuwa na mvua hizo ni Pwani ya Kusini ambayo ni Lindi na Mtwara, Nyanda za Juu Kusini Magharibi ambayo ni Mbeya, Iringa, Songwe na Rukwa, Dar es Salaam na Pwani.
Dar es Salaam...
Nilikua nasikiliza maneno ya Askofu Kakobe huko youtube kwakweli kwa maneno aliyoyasema kwenye video hii yamenifanya nimkumbuke Mungu wangu na nimshukuru kwa uhai nilionao.
Alikua anazungumzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.