Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Wananchi wamelitupia lawama shirika la umeme TANESCO mkoani Morogoro kwa kushindwa kutatua tatizo hilo licha ya kudai kutoa taarifa Ofisi za TANESCO bila mafanikio.
ITV imeshuhudia mwili wa kijana huyo ukiwa umelala chini huku mafundi wa TANESCO wakizima umeme na kuanza uchunguzi wa tatizo hilo chini ya ulinzi wa Jeshi la Polisi kwa kuhofia wananchi kujichulia sheria mkononi.