Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Habari. Wadau tukutane hapa tuelekezane wapi mtu unaweza kupata elimu,ujuzi,ufundi au maelekezo ya kutosha kuhusiana na huduma inayohusiana na elimu au ujuzi ambayo mtu unaitafuta. Mfano: Mimi...
0 Reactions
3 Replies
912 Views
Niende moja kwa moja kwenye swali la msingi tumeambiwa tuko kwenye Tanzania ya viwanda mi naomba tu list au hata picha tu ya kiwanda kilicho kwenye hatua ya ujenzi au hata tu eneo lililofyekwa...
5 Reactions
41 Replies
8K Views
Kati ya Ofisi ya Basata, Wizara ya Michezo, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ipi yenye uwezo wa kutoa katazo kwa wasanii, mfano kukatazo la Fiesta hadi asubuhi nani kati ya hao ambaye anatakiwa atoe katazo...
0 Reactions
0 Replies
924 Views
Jeshi la polisi mkoani Tanga limewatuhumu baadhi ya viongozi wa serikali waliopo katika kata ya Kigombe wilayani Muheza kuwa ni miongoni mwa watuhumiwa wanaosaidiana na baadhi ya wafanyabishara...
0 Reactions
0 Replies
863 Views
Hapo vip!! Binafsi ningekutana na Mungu ningemuomba atuondolee kifo,maradhi na umaskini. Je, wewe ungekutana nae ungemuomba afanye nini Duniani?
1 Reactions
49 Replies
3K Views
Nimeongia kwenye Tv Mpya hapa kwa jina JTV mara namuona JK akisakata rumba huku anakula popcorn! Nimejiuliza ni tangazo la biashara au jamaa ana ubia na tv hii? All in all jamaa yuko vizuri sana...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Dah wanakula bando kama hawana akili nzuri. Nishaurini laini nyingine
4 Reactions
98 Replies
11K Views
Ujue walimu wa Tz sijui wamerogwa Walimu wa Tz ndo wanatumika kuibeba CCM kipindi cha uchaguzi mwisho wa siku wanatupwa kama makapi ,mshahara wanaongezewa elfu 6 kweli walimu mnanyanyasika sana...
13 Reactions
35 Replies
3K Views
Iki kitendo cha kuwakamata na kuwazuia mawakala wote wa upinzani kuingia vituoni au kusimamia uchaguzi kwa haki na amani, kunawapa taswila mbaya sanaa viongozi walioko madarakani hasa rais na tume...
0 Reactions
3 Replies
705 Views
Niaje wanaJamiiForums? Nimekutana na haya maeneo ambayo hayaelezeki historia yake na mengine maelezo yake hayana mashiko, lakini maeneo haya yana maajabu yake tofauti na chumba chako cha kulala...
10 Reactions
12 Replies
10K Views
Katika kipindi hiki mimi Deogratius Kisandu nikiwa na umri wa miaka 17 nilikuwa nasoma sekondari-Form One(Evenning Classess) na nikitoka Shule jioni naingia mzigoni kama Mhudumu wa Bar( Kaunta na...
10 Reactions
65 Replies
7K Views
Ndugu hebu tuelimishane, hvi maisha ya mahabusu na gerezani yanakuwaje hasa? Tupeani elimu ili itusaidie kuelminisha watoto waetu wasifanye makosa
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Mzuqa wanajamvi! Kuna dogo flani nimjivuni Sana halaf anamashindano flan Na Mimi. Kaliletwaga long time hapa Na maza yake. Mara ya kwanza kufahamiana naye 2010alikuwa akiongea kwenye simu...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Suala la kuwepo ombaomba mijini na Serikali kutokuwa na mikakati ya kudumu kukabiliana nalo, nalileta kwa majadiliano. Hii ni baada ya kufanya marejeo ya bandiko kadhaa humu JF: Tatizo la...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna vitambulisho vimeokotwa royal village Dodoma vya mwanachuo wa IRDP jina Mussa Mwamtemi yeyote anae mfahamu huyo bwana mussa mwamtemi tuwasiliane kwa pm ili vimfikie muhusika. Ahsante
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Salaam wapendwa. Leo nimepokea kwa huzuni habari za kifo cha aunty yangu(ulale pema peponi shangazi) Allikua anasumbuliwa na saratani ya titi, As a coincidence ,asubuhi hii pia nimesoma habari...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Naomba kuuliza jamani mh Jamal malinzi na Rais wetu wa msimbazi bado wapo kolokoloni au wemeshatoka? Mbona kimya sana naomba mtujuze mnaojua hawa vigogo wapo wap? Nawasilisha
0 Reactions
5 Replies
852 Views
Waziri wa habari , mh Mwakyembe amekemea tabia ya watu mbalimbali wakimwemo viongozi kupenda matumizi ya lugha zao za asili(makabila yao). Amesema kwa sasa imekuwa ni suala la kawaida kwa watu...
1 Reactions
49 Replies
3K Views
Hamjambo. Naomba kujua kama polisi watachukua vijana fresh from school bila kupita jeshi la kujenga taifa. Je ni lini usaili wa polisi hufanyika? Kwa niaba ya wadogo zetu walokosa nafasi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom