Jiji la Mbeya mifugo inazurura hivyo

Jiji la Mbeya mifugo inazurura hivyo

augustino ameri

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2012
Posts
267
Reaction score
57
Maeneo mengi ya jiji LA Mbeya Mifugo haina utaratibu has a Ng'ombe na mbuzi.Mamlaka husika tafadhali zifanyekazi.
 
Nguruwe tumefuga Sana mbeya na hiyo ni kwasababu wale wanaovaa vikofia hawapo huko. Tupo wenyewe tu.
 
Sehemu ambayo mifugo inazurura hovyo hapo patakuwa ni malisho ya hiyo mifugo,kwa hiyo hakuna kesi hapo hiyo mifugo iko kwenye malisho yake lakini ni makazi ya watu pia.
 
Back
Top Bottom