kisoko
Member
- Dec 20, 2015
- 37
- 39
Habari wanajukwaa, Natumai mu wazima.
Naomba kuanza kwa kusema sijaleta habari za uhakika kuhusu kitabu tajwa hapo juu, ili nimepata shauku ya kuleta uzi huu ili kupata habari na uelewa au kupata habari za uhakika kwa kuwa JF ni jukwaa la uhakika na kuaminika kwa miaka mitatu sasa ya uzoefu wangu, nipende kusema tu kuwa mara nipatapo breaking news za siasa, uchumi au tukio lolote nchini huwa nakimbilia hapa jukwaani na mara zote km siyo mara nyingi nmekuwa nikikuta na kupata habari za uhakika kuhusu mambo na matukio kadha wa kadha, lakini leo sijaona habari hii hapa jukwaani na ikanilazimu kuandika uzi huu kwenu wakuu.
Hivyo basi naomba bniende kwenye point yangu, ni kwamba toka mchana nmekuwa nikisikia kuwa kuna mwandishi mmoja wa vitabu huko nchini Uingereza Michael Wolff, ameandika kitabu chenye kicha cha habari hapo juu kuhusu utawala wa Rais wa marekani Dolnad Trump, kiasi kwamba kimevunja record ya mauzo ya vitabu vinavyonunuliwa mtandaoni, na kwamba Trump ametweet kuhusu hicho kitabu kwa maana hakina ujumbe mzuri zaidi kuhusu utawala wake wa takribani mwaka mmoja tok a alipoingia madarakani.
Naomba kwa wajuzi wa mambo wanoweza kutupa ufafanuzi wa kitabu hicho kimezungumzia nini na kwanini kipate umaarufu wa muda mfupi hivi, na kama anaweza pia kukitupia hapa au kutuonesha na mna ya kukipata mtandaoni tukakisoma itapendeza zaidi.
Naomba kuwasilisha. Nawasalimu sana Mshana Jr na miss natafuta na wanajukwaa wote ambao sijakariri ID zao fake za kuvutia.
Naomba kuanza kwa kusema sijaleta habari za uhakika kuhusu kitabu tajwa hapo juu, ili nimepata shauku ya kuleta uzi huu ili kupata habari na uelewa au kupata habari za uhakika kwa kuwa JF ni jukwaa la uhakika na kuaminika kwa miaka mitatu sasa ya uzoefu wangu, nipende kusema tu kuwa mara nipatapo breaking news za siasa, uchumi au tukio lolote nchini huwa nakimbilia hapa jukwaani na mara zote km siyo mara nyingi nmekuwa nikikuta na kupata habari za uhakika kuhusu mambo na matukio kadha wa kadha, lakini leo sijaona habari hii hapa jukwaani na ikanilazimu kuandika uzi huu kwenu wakuu.
Hivyo basi naomba bniende kwenye point yangu, ni kwamba toka mchana nmekuwa nikisikia kuwa kuna mwandishi mmoja wa vitabu huko nchini Uingereza Michael Wolff, ameandika kitabu chenye kicha cha habari hapo juu kuhusu utawala wa Rais wa marekani Dolnad Trump, kiasi kwamba kimevunja record ya mauzo ya vitabu vinavyonunuliwa mtandaoni, na kwamba Trump ametweet kuhusu hicho kitabu kwa maana hakina ujumbe mzuri zaidi kuhusu utawala wake wa takribani mwaka mmoja tok a alipoingia madarakani.
Naomba kwa wajuzi wa mambo wanoweza kutupa ufafanuzi wa kitabu hicho kimezungumzia nini na kwanini kipate umaarufu wa muda mfupi hivi, na kama anaweza pia kukitupia hapa au kutuonesha na mna ya kukipata mtandaoni tukakisoma itapendeza zaidi.
Naomba kuwasilisha. Nawasalimu sana Mshana Jr na miss natafuta na wanajukwaa wote ambao sijakariri ID zao fake za kuvutia.