Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,714
- 165,056
Tundu Lissu anaenda kulazwa Ubelgiji nchi ambayo mwanasoka wa kimataifa wa kitanzania, Mbwana Samatta anacheza soka(mpira wa muguu).
Swali ni je,mwanasoka huyu maarufu atakwenda kumuona hospitalini mwanasiasa huyu maarufu na ambae ni mtanzania mwenzake?
Iwapo atakwenda kumuona na wakapiga picha ya pamoja, unadhani picha hiyo itasambaa kwa kiasi gani?
Wacha tusubiri.
Swali ni je,mwanasoka huyu maarufu atakwenda kumuona hospitalini mwanasiasa huyu maarufu na ambae ni mtanzania mwenzake?
Iwapo atakwenda kumuona na wakapiga picha ya pamoja, unadhani picha hiyo itasambaa kwa kiasi gani?
Wacha tusubiri.