Rais Kagame ashinda tuzo ya Kiongozi bora Afrika licha ya rais Magufuli kuongoza kwa kura

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
KAGAME ASHINDA TUZO YA KIONGOZI BORA AFRIKA.

Mtandao "African Leadership" wa nchini Uingereza uliokuwa unaendesha mashindano ya kuwapata viongozi bora wa Afrika ktk nyanja za kisiasa, na kiuchumi, umemtangaza Rais Paul Kagame wa Rwanda kuwa mshindi wa jumla wa tuzo hizo.

Kagame ametangazwa kuwa Rais bora zaidi Afrika na kuwapiga mweleka washindani wake ambao ni Rais John Magufuli wa Tanzania, Uhuru Kenyatta wa Kenya na Mohamed Buhari wa Nigeria. Kagame ameshinda tuzo hiyo kubwa na ya heshima barani Afrika licha ya Magufuli kuongoza kwa kura, kwa sababu kura haikuwa kigezo pekee cha kumpata mshindi.

Mkurugenzi Mtendaji wa jarida la African Leadership Magazine ambao ndio waandaaji wa Tuzo hizo Dr.Ken Giammi amesema licha ya Magufuli kuongoza kwa kura lakini alishindwa katika vipengele vingine ikiwemo masuala ya ukuzaji wa uchumi, demokrasia na haki za binadamu.

Muda mfupi kabla ya kumalizika kwa zoezi la upigaji kura, kijana Yericko Nyerere aliongoza kampeni ya kupinga Rais Magufuli kupewa tuzo hiyo kwa kutaja masuala ya kuzorota kwa demokrasia nchini. Bado haijafahamika kama kampeni aliyoiongoz Yericko imechangia kumnyima ushindi Rais Magufuli.

Tuzo hiyo ya heshima zaidi barani Afrika hadi sasa imetolewa kwa viongozi 8 tangu kuanzishwa kwake, ambao ni Dr.Mohamed Ibrahim, muasisi wa tuzo za MoIbrahim (2010), Ellen Johnson Sirleaf, Rais wa Liberia (2011), Atiku Abubakar, Makamu wa Rais mstaafu Nigeria (2012); Xavier Duval, Naibu Waziri mkuu wa Mauritius (2013), Jakaya Kikwete, Rais mstaafu wa Tanzania, (2014), Goodluck Jonathan, Rais Mstaafu Nigeria, (2015), na Bw.Mohamed Dewji, Mkurugenzi mkuu wa MeTL, (2016). Na sasa Kagame anakuwa mtu wa 8 kupata tuzo hizo.

Rais Kagame pamoja na washindi wa categories nyingine za tuzo hizo, watakabidhiwa tuzo zao katika sherehe zitakayofanyika tatehe 24 mwezi Febryary mwaka huu mjini Johannesburg, Afrika ya kusini.!
AFRICAN LEADERSHIP MAGAZINE PERSONS OF THE YEAR 2017 WINNERS - African Leadership Magazine
FB_IMG_1515332349301.jpg
 
Mkurugenzi Mtendaji wa jarida la African Leadership Magazine ambao ndio waandaaji wa Tuzo hizo Dr.Ken Giammi amesema licha ya Magufuli kuongoza kwa kura lakini alishindwa katika vipengele vingine ikiwemo masuala ya ukuzaji wa uchumi, demokrasia na haki za binadamu.
 
KAGAME ASHINDA TUZO YA KIONGOZI BORA AFRIKA.

Mtandao "African Leadership" wa nchini Uingereza uliokuwa unaendesha mashindano ya kuwapata viongozi bora wa Afrika ktk nyanja za kisiasa, na kiuchumi, umemtangaza Rais Paul Kagame wa Rwanda kuwa mshindi wa jumla wa tuzo hizo.

Kagame ametangazwa kuwa Rais bora zaidi Afrika na kuwapiga mweleka washindani wake ambao ni Rais John Magufuli wa Tanzania, Uhuru Kenyatta wa Kenya na Mohamed Buhari wa Nigeria. Kagame ameshinda tuzo hiyo kubwa na ya heshima barani Afrika licha ya Magufuli kuongoza kwa kura, kwa sababu kura haikuwa kigezo pekee cha kumpata mshindi.

Mkurugenzi Mtendaji wa jarida la African Leadership Magazine ambao ndio waandaaji wa Tuzo hizo Dr.Ken Giammi amesema licha ya Magufuli kuongoza kwa kura lakini alishindwa katika vipengele vingine ikiwemo masuala ya ukuzaji wa uchumi, demokrasia na haki za binadamu.

Muda mfupi kabla ya kumalizika kwa zoezi la upigaji kura, kijana Yericko Nyerere aliongoza kampeni ya kupinga Rais Magufuli kupewa tuzo hiyo kwa kutaja masuala ya kuzorota kwa demokrasia nchini. Bado haijafahamika kama kampeni aliyoiongoz Yericko imechangia kumnyima ushindi Rais Magufuli.

Tuzo hiyo ya heshima zaidi barani Afrika hadi sasa imetolewa kwa viongozi 8 tangu kuanzishwa kwake, ambao ni Dr.Mohamed Ibrahim, muasisi wa tuzo za MoIbrahim (2010), Ellen Johnson Sirleaf, Rais wa Liberia (2011), Atiku Abubakar, Makamu wa Rais mstaafu Nigeria (2012); Xavier Duval, Naibu Waziri mkuu wa Mauritius (2013), Jakaya Kikwete, Rais mstaafu wa Tanzania, (2014), Goodluck Jonathan, Rais Mstaafu Nigeria, (2015), na Bw.Mohamed Dewji, Mkurugenzi mkuu wa MeTL, (2016). Na sasa Kagame anakuwa mtu wa 8 kupata tuzo hizo.

Rais Kagame pamoja na washindi wa categories nyingine za tuzo hizo, watakabidhiwa tuzo zao katika sherehe zitakayofanyika tatehe 24 mwezi Febryary mwaka huu mjini Johannesburg, Afrika ya kusini.!View attachment 670287
Waingereza hawawezi kumpa Rais Magufuli walizoea kuiba rasirimali zetu na Magufuli kawabana hawafurukuti lakini kwa kuwa watz tunamkubali weenda na tuzo zao huko!!
 
KAGAME ASHINDA TUZO YA KIONGOZI BORA AFRIKA.

Mtandao "African Leadership" wa nchini Uingereza uliokuwa unaendesha mashindano ya kuwapata viongozi bora wa Afrika ktk nyanja za kisiasa, na kiuchumi, umemtangaza Rais Paul Kagame wa Rwanda kuwa mshindi wa jumla wa tuzo hizo.

Kagame ametangazwa kuwa Rais bora zaidi Afrika na kuwapiga mweleka washindani wake ambao ni Rais John Magufuli wa Tanzania, Uhuru Kenyatta wa Kenya na Mohamed Buhari wa Nigeria. Kagame ameshinda tuzo hiyo kubwa na ya heshima barani Afrika licha ya Magufuli kuongoza kwa kura, kwa sababu kura haikuwa kigezo pekee cha kumpata mshindi.

Mkurugenzi Mtendaji wa jarida la African Leadership Magazine ambao ndio waandaaji wa Tuzo hizo Dr.Ken Giammi amesema licha ya Magufuli kuongoza kwa kura lakini alishindwa katika vipengele vingine ikiwemo masuala ya ukuzaji wa uchumi, demokrasia na haki za binadamu.

Muda mfupi kabla ya kumalizika kwa zoezi la upigaji kura, kijana Yericko Nyerere aliongoza kampeni ya kupinga Rais Magufuli kupewa tuzo hiyo kwa kutaja masuala ya kuzorota kwa demokrasia nchini. Bado haijafahamika kama kampeni aliyoiongoz Yericko imechangia kumnyima ushindi Rais Magufuli.

Tuzo hiyo ya heshima zaidi barani Afrika hadi sasa imetolewa kwa viongozi 8 tangu kuanzishwa kwake, ambao ni Dr.Mohamed Ibrahim, muasisi wa tuzo za MoIbrahim (2010), Ellen Johnson Sirleaf, Rais wa Liberia (2011), Atiku Abubakar, Makamu wa Rais mstaafu Nigeria (2012); Xavier Duval, Naibu Waziri mkuu wa Mauritius (2013), Jakaya Kikwete, Rais mstaafu wa Tanzania, (2014), Goodluck Jonathan, Rais Mstaafu Nigeria, (2015), na Bw.Mohamed Dewji, Mkurugenzi mkuu wa MeTL, (2016). Na sasa Kagame anakuwa mtu wa 8 kupata tuzo hizo.

Rais Kagame pamoja na washindi wa categories nyingine za tuzo hizo, watakabidhiwa tuzo zao katika sherehe zitakayofanyika tatehe 24 mwezi Febryary mwaka huu mjini Johannesburg, Afrika ya kusini.!View attachment 670287
Kosa lingine Chadema mnafanya... haya mambo 2020 yatawacost sijui ni kwamba hamjui watanzania au mnataka kupoteza chaguzi.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Mkurugenzi Mtendaji wa jarida la African Leadership Magazine ambao ndio waandaaji wa Tuzo hizo Dr.Ken Giammi amesema licha ya Magufuli kuongoza kwa kura lakini alishindwa katika vipengele vingine ikiwemo masuala ya ukuzaji wa uchumi, demokrasia na haki za binadamu.
Sawa Kagame ni kweli amekuza uchumi, demokrasia na haki za binadamu then tusione mtu humu aseme Kagame Dictator!!
 
ni kweli nimeona hapa
AFRICAN LEADERSHIP MAGAZINE PERSONS OF THE YEAR 2017 WINNERS - African Leadership Magazine

Portsmouth
United Kingdom
January 5, 2018

The African Leadership Magazine Persons of the Year Awards committee has unveiled the winners for different categories in the just concluded polls for the African Leadership Magazine Persons of the Year Awards 2017.
The winners who shall be decorated on the 24th February 2018 in Johannesburg, South Africa, were unveiled by the Publisher of the Magazine Dr. Ken Giami, at the UK Head Office of the group, after the awards committee working with the editorial team concluded the collation of both online and offline votes and submissions from the over 1 million subscribers / followership base of the publication.
The winners are:
African of the Year 2017:
H.E. Paul Kagame, President of Rwanda – Winner
African Female Leader of the Year 2017:
1.Bethlehem Tilahum Alemu, Founder soleRebels, Ethiopia – Co-Winner
2. Ms. Suzan Mashibe, Executive Director, Tanjet Aviation, Tanzania – Co-Winner


ALM Person of the Year 2017-Educational Development
Strive Masayiwa, Founder Econet, Zimbabwe – Winner
ALM Person of the Year 2017 – Employment Generation
Kwame Nana Bediako, President, Founder & CEO, Petronia Ghana – Winner
ALM Person of the Year 2017 – Political Leadership
Marc Ravalomanana, Former President of Madagascar – Winner

ALM Person of the Year 2017 – Philanthropy & Charitable Contributions to Society
Manu Chandaria, Chairman, Comcraft Group, Kenya – Winner
ALM Young Person of the Year 2017
Joel Macharia, Founder / CEO, Abacus Kenya- Winner

It was a record year for African Leadership Magazine Persons of the Year awards as total online votes cast by Africans from all around the world jumped to 288,958 from 85,000 the previous year, and offline submissions by over 400%.



In addition to the winners, a special Commendation citation shall be presented to the most distinguished runners up, which includes Linah Mohohlo, Governor, Bank of Botwana; Fred Swaniker, Founder, African Leadership Academy, South Africa & African Leadership University, Mauritius; and Tony Elumelu, Chairman, Heirs Holdings Nigeria.
The Publisher of the Magazine, Ken Giami, reiterated the group’s position, that all nominees in the various categories are all winners, given their individual contributions to the continent’s growth and development. In his words, “to be chosen out of the over 1.2 billion people on the continent, speaks volumes.” He further stated that,” the nominees have elevated and redefined benchmarks of service to the humanity on the continent. They are all true lovers of Africa, contributing passionately, sometimes imperfectly, but all determined to impacting society, making Africa a better place for its people. ”

The African Leadership Magazine Persons of the Year which is in its 6th run, is an annual award reserved for distinguished Africans, who are considered to have blazed the trail in the year under review. A shortlist of nominees are selected from results gathered via a Call for nomination – traditionally promoted via a paid online and offline campaigns across the continent, Europe, and the Americas. The call for nomination is the first step in a multi-phased process. Remarkably, this year, the selection committee considered, among others, three key themes – Africans whose activities, policies and actions have contributed to ‘creating jobs & wealth creation; promotion, defense and delivering of democratic values; & the promotion of Africa’s image globally’; in arriving at their decisions. With Africa’s population tipped to double by the year 2050, and unemployment at the center of the problems confronting the continent, jobs and wealth creators deserve to be especially encouraged and supported.
Past recipients of the prestigious African Person of the Year Awards have included Dr. Mo Ibrahim, founder, Ibrahim Prize for Leadership, 2010; Liberia President Ellen Johnson Sirleaf, 2011; H.E. Atiku Abubakar, former Vice President of Nigeria 2012; Xavier Luc-Duval, Deputy Prime Minister of Mauritius & Minister of Finance (2013) H.E. President Jakaya Kikwete, former President of Tanzania, 2014; His Excellency President Goodluck Jonathan, former president of Nigeria, 2015; Mr. Mo Dewji, CEO, MeTL, Tanzania, 2016.

About African Leadership Magazine:
The African Leadership magazine is published by African Leadership (UK) Limited, a company registered in the United Kingdom (Company No. 07435198). The magazine focuses on bringing the best of Africa to a global audience, telling the African story from an African perspective; while evolving solutions to peculiar challenges being faced by the continent today.
Since its maiden edition, African Leadership Magazine has grown to become a leading pan-African flagship leadership-focused publication read by over 1, 000, 000 targeted international investors, business executives, government policy makers and multilateral agencies across Africa, the Middle East and Asia, Europe and the US. It is distributed at major international and African Leadership events around the world. The magazine has over 800,000 subscribers/Followers on facebook and a virile readership on other social media platforms. It is a niche and unbiased African voice born out of a desire to ameliorate the lot of Africans by focusing on individuals and corporate bodies that are known for their legacy-based approach to leadership. We believe in building sustainable leadership in Africa through exchange of ideas in tandem with global best practices. The magazine shall continually seek to herald the dawn of a new Africa as the continent of promise and global leadership, championed by people of integrity and resilience who are rising from the challenges of an unpleasant past; thereby preserving a legacy for future generations of Africans.
 
Back
Top Bottom