Direct to the point
Nataka kuacha kazi serikalini, niko kwenye process za ajira mpya, taasisi binafsi katika mkoa mwingine .
Ila nina mkopo unaondelea bank ya CRDB na makato mengine kama ya HESLB .
Sijamshirikisha HR wetu wala watumishi wenzangu coz sitaki wafahamu jambo hili wakaanza nichanganya.
Sasa ,wakuu naombeni kushirikishwa uzoefu wenu,katika maamuzi kama haya mambo yapi ya msingi kuzingatia?
Pili ni jinsi gani mabenki yanavyo handle madeni kwa mwajiriwa anayeacha kazi na kwenda kwenye kazi nyingine?
Karibuni sana wakuu
Natanguliza shukrani
Regards
Nataka kuacha kazi serikalini, niko kwenye process za ajira mpya, taasisi binafsi katika mkoa mwingine .
Ila nina mkopo unaondelea bank ya CRDB na makato mengine kama ya HESLB .
Sijamshirikisha HR wetu wala watumishi wenzangu coz sitaki wafahamu jambo hili wakaanza nichanganya.
Sasa ,wakuu naombeni kushirikishwa uzoefu wenu,katika maamuzi kama haya mambo yapi ya msingi kuzingatia?
Pili ni jinsi gani mabenki yanavyo handle madeni kwa mwajiriwa anayeacha kazi na kwenda kwenye kazi nyingine?
Karibuni sana wakuu
Natanguliza shukrani
Regards