Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Habari za majukumu wakuu na wadogo. Tunatambua kwamba mji wa Madina unajulikana kwamba ni uwarabuni hilo halina ubishi. Ila kuna kasehemu ambapo palipatikana kwa jina hilo, ambayo ndo makao makuu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
na Happiness Katabazi MWANAMUKIZI wa muziki wa dansi nchini,Nguza Vicking ‘Babu Seya' na mwanaye Papi Kocha ‘Mtoto wa Mfalme', wameiomba Mahakama ya Rufaa nchini iipitie upya hukumu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwanamuziki wa muziki wa dansi nchini, Nguza Vicking ‘Babu Seya' na mwanaye Papi Kocha ‘Mtoto wa Mfalme', wameiomba Mahakama ya Rufaa nchini iipitie upya hukumu yake iliyoitoa Februari...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Heshima kwenu Wana jamii Kulikuwa na uzi ule unaohusu msanii babu seya kufungua kesi mahakama ya Africa nadhani kupinga HUKUMU aliyopewa kwenye mahakama ya rufaha. Wengine walimtetea kwa kudai...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Moshi ni mji wa kitalii.Mji ulioanza kuona wazungu hapa Tanzania. Pombe kali na kitimoto rosti ni wengi sana bila kujali jinsia. Watoto wadogo na vibinti vinakula pombe sana. Vijiwe maarufu vya...
6 Reactions
203 Replies
16K Views
Wakuu kama kuna kanda hatujuii kuita majina basi sisi wa mbali na bahar tunaongoza mfano Henry tunaita henure Cliff tunaita kilifu Frank - furee au furankii Mengine mtanisaidiaa
1 Reactions
1 Replies
690 Views
Kwa kuwekwa "bench" sasa Taifa linahuzunika! Ushauri:-kocha achia ngazi.
0 Reactions
1 Replies
572 Views
Polisi Mkoa wa Shinyanga inafanya uchunguzi wa madai ya askari wake kula chipsi na kukataa kulipa kisha kuanzisha fujo baada ya kudaiwa fedha. Askari hao zaidi ya watatu wanadaiwa kuagiza...
4 Reactions
109 Replies
15K Views
Huwezi kuamini kwamba mamlaka ya maji iArusha inayokusanya Pesa kama njugu jijini Arusha ndio inaongoza kwa kushindwa kuwanunulia vitendea Nazi wafanyakazi wake hasa waliopo kitengo cha maji...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
RATIBA YA BABU SEA NA PAPII WIKI HII JPili-Ibada kanisa St Joseph Jtatu-Uzinduzi wa Supermarkert Mlimani city Jnne-Uzinduzi Chuo Cha wauguzi-Mwanza Jtano-Mahojiano Cluds Tv na Kutengeneza Tangazo...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau ni mradi upi utamalizika haraka?
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Kuishi town kazi sana Watu wanaishi maisha ya kujionyesha angali hali zao za kiuchumi haziendani Ukitaka kuona wanavyoteseka mwambie Nakuja mjini naomba nifikie kwako kwa siku mbili tatu...
3 Reactions
78 Replies
5K Views
WALIVYOTIWA MBARONI ‘Babu Seya’ na ‘Papii Kocha’ walihukumiwa kifungo cha maisha jela mwaka 2004 baada ya kupatikana na hatia ya ubakaji na kuwanajisi watoto wa Shule ya Msingi Mashujaa, Sinza...
2 Reactions
61 Replies
12K Views
CHOZI LA BABU SEYA BADO LAITESA SERIKALI YA CCM; BABU SEYA AMWAGIZA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI KWENDA KUMUOMBEA MSAMAHA KWA JK. Kwa mujibu wa KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA...
1 Reactions
128 Replies
45K Views
Mitandao yote ya simu iliyotajwa ina huduma ya kupokea na kutuma fedha. Halotel siijui sana maana haijafika huku bush Naibili. Huduma hizo za fedha -M-pesa, Tigo-pesa na Airtel money zinamsaidia...
2 Reactions
29 Replies
26K Views
Ninatokea Mbeya, Haya magari yanakimbizwa Na yanashindana. Polisi njiani wanaangalia tu mtanange huu wakifurahia, Abiria wanamhamasisha dereva achochee Kuni. Nimemuonya dereva, Basi Zima wamenijia...
6 Reactions
101 Replies
22K Views
POLISI ILULA mpo likizo?? mbona watumia madawa ya kulevya bado wametapakaa maeneo ya Bismilah Hotel ya zamani???
0 Reactions
3 Replies
780 Views
Ijumaa hiyo tena, Ijumaa ambayo ni tofauti na nyingine nyingi sana hapa JF! Ijumaa ambayo haina vijembe sana na kukwaruzana kupita kiasi! Ijumaa ambayo watanzania wanasherekea kuanguka kwa...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Ninaandika haya nikiwa kwenye tafakuri na hali ya kusikitishwa na mambo mazito yanayoendelea hapa duniani. Maamuzi ya watu wachache huwa yanagharimu maisha ya wengi wasio na uwezo wa kuamua Na hii...
0 Reactions
5 Replies
893 Views
Back
Top Bottom