Habari za majukumu wakuu na wadogo.
Tunatambua kwamba mji wa Madina unajulikana kwamba ni uwarabuni hilo halina ubishi.
Ila kuna kasehemu ambapo palipatikana kwa jina hilo, ambayo ndo makao makuu...
na Happiness Katabazi
MWANAMUKIZI wa muziki wa dansi nchini,Nguza Vicking ‘Babu Seya' na mwanaye Papi Kocha ‘Mtoto wa Mfalme', wameiomba Mahakama ya Rufaa nchini iipitie upya hukumu...
Mwanamuziki wa muziki wa dansi nchini, Nguza Vicking ‘Babu Seya' na mwanaye Papi Kocha ‘Mtoto wa Mfalme', wameiomba Mahakama ya Rufaa nchini iipitie upya hukumu yake iliyoitoa Februari...
Heshima kwenu Wana jamii
Kulikuwa na uzi ule unaohusu msanii babu seya kufungua kesi mahakama ya Africa nadhani kupinga HUKUMU aliyopewa kwenye mahakama ya rufaha. Wengine walimtetea kwa kudai...
Moshi ni mji wa kitalii.Mji ulioanza kuona wazungu hapa Tanzania.
Pombe kali na kitimoto rosti ni wengi sana bila kujali jinsia. Watoto wadogo na vibinti vinakula pombe sana.
Vijiwe maarufu vya...
Wakuu kama kuna kanda hatujuii kuita majina basi sisi wa mbali na bahar tunaongoza mfano
Henry tunaita henure
Cliff tunaita kilifu
Frank - furee au furankii
Mengine mtanisaidiaa
Polisi Mkoa wa Shinyanga inafanya uchunguzi wa madai ya askari wake kula chipsi na kukataa kulipa kisha kuanzisha fujo baada ya kudaiwa fedha.
Askari hao zaidi ya watatu wanadaiwa kuagiza...
Huwezi kuamini kwamba mamlaka ya maji iArusha inayokusanya Pesa kama njugu jijini Arusha ndio inaongoza kwa kushindwa kuwanunulia vitendea Nazi wafanyakazi wake hasa waliopo kitengo cha maji...
RATIBA YA BABU SEA NA PAPII WIKI HII
JPili-Ibada kanisa St Joseph
Jtatu-Uzinduzi wa Supermarkert Mlimani city
Jnne-Uzinduzi Chuo Cha wauguzi-Mwanza
Jtano-Mahojiano Cluds Tv na Kutengeneza Tangazo...
Kuishi town kazi sana
Watu wanaishi maisha ya kujionyesha angali hali zao za kiuchumi haziendani
Ukitaka kuona wanavyoteseka mwambie Nakuja mjini naomba nifikie kwako kwa siku mbili tatu...
WALIVYOTIWA MBARONI
‘Babu Seya’ na ‘Papii Kocha’ walihukumiwa kifungo cha maisha jela mwaka 2004 baada ya kupatikana na hatia ya ubakaji na kuwanajisi watoto wa Shule ya Msingi Mashujaa, Sinza...
CHOZI LA BABU SEYA BADO LAITESA SERIKALI YA CCM; BABU SEYA AMWAGIZA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI KWENDA KUMUOMBEA MSAMAHA KWA JK.
Kwa mujibu wa KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA...
Mitandao yote ya simu iliyotajwa ina huduma ya kupokea na kutuma fedha. Halotel siijui sana maana haijafika huku bush Naibili.
Huduma hizo za fedha -M-pesa, Tigo-pesa na Airtel money zinamsaidia...
Ninatokea Mbeya, Haya magari yanakimbizwa Na yanashindana. Polisi njiani wanaangalia tu mtanange huu wakifurahia, Abiria wanamhamasisha dereva achochee Kuni.
Nimemuonya dereva, Basi Zima wamenijia...
Ijumaa hiyo tena,
Ijumaa ambayo ni tofauti na nyingine nyingi sana hapa JF!
Ijumaa ambayo haina vijembe sana na kukwaruzana kupita kiasi!
Ijumaa ambayo watanzania wanasherekea kuanguka kwa...
Ninaandika haya nikiwa kwenye tafakuri na hali ya kusikitishwa na mambo mazito yanayoendelea hapa duniani.
Maamuzi ya watu wachache huwa yanagharimu maisha ya wengi wasio na uwezo wa kuamua
Na hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.