Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

A nine year old boy from Mtondia, Kilifi County will not celebrate his tenth birthday after he committed suicide because he lost in a gamble with his friends. Kilifi police boss Alexander Makau...
0 Reactions
6 Replies
847 Views
Vijana Kama hatuta Tumia platform hii (JF ) ku discuss issues za kujenga akili zetu na kujenga nchi yetu , hatutapata nafasii pengine. Wengi humu ni wasomi tusilete mada za hovyo . Tutumie nafasi...
0 Reactions
1 Replies
672 Views
Tulihama Nachingwea mwaka 1986,I was so young by then. Marehemu mama Yangu aliwahi nunua Shamba kubwa,But wakati tunahama kule mama Alimuachia Shamba rafiki yake mama Mbwana, Na...
22 Reactions
43 Replies
5K Views
jamaa kaja na yake na anaondoka na jingine hahahha patamu hapo
1 Reactions
1 Replies
961 Views
Ni imani yangu kuwa mu wazima wa afya, na kwa namna moja au ingine ujumbe huu ama andiko hili linasomwa nanyi. Nimeamua kutumia jukwaa hili au njia ya mtandao wa kijamii kwa sababu si rahisi...
1 Reactions
4 Replies
972 Views
TAR kwanini mnawanyanyasa wafanyabiashara kiasi hicho? Kama kuna mfanyabiashara ambaye hana ugojwa wa moyo kwa sasa hivi nchini Tanzania sijui! Ni kosa gani kubwa kiasi hicho wafanyabiashara wa...
8 Reactions
50 Replies
5K Views
MTOTO mwenye umri wa miaka sita Joseph Simon[6]mkazi wa kijiji cha Buzanaki, Kata ya Nyamarimbe wilaya na mkoa wa Geita ameuawa na fisi na kisha kuliwa baadhi ya viungo vya mwili wake kabla ya...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Kuna mtu anapita anatangaza mtaani kuwa ananunua silver mbovu pamoja na dollar, je anakwenda kuzifanyia shughuli gani hizo pesa mbovu?
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hospitali hii maarufu kama ya mkoa inalidhalilisha taifa kwani imepakana na kituo cha mikutano cha AICC, ofisi ya mkuu wa mkoa,tra, etc inatia aibu kwa mazingira yake ya uzio wake. Uzio huu ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Taa hizi zilizojengwa maeneo ya stendi ya namanga, crdb na kona esso ni bughudha tupu kwa maisha ya wakazi wa jiji hili. Taa hizi zinasababisha msongamano mkubwa wa magari nyakati zote za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiangalia ubora wa kiatu cha Mrakibu Msaidizi wa Magereza Melkior Komba, katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma. Viatu hivyo...
7 Reactions
83 Replies
13K Views
Kutokana na jengo kubomolewa mifumo ya luku imekuwa dusturbed na haifanyi kazi toka jana saa 2 asubuh. Hii ni kutokana na upishaji wa jengo kubomolewa. Tanesco ambayo huwa inauza takribani bil3.5...
2 Reactions
54 Replies
6K Views
Wakuu, technology ndio kila kitu kwa sasa Pia kupitia Tech data collection na Management imekuwa Rahsi sana, Tunahitaji mifumo Sophisticated ya Kukusanya Data zote za Taasisi zinazofanana na Kuwa...
0 Reactions
4 Replies
840 Views
Leo wakati nipo sehemu tulivu sana yakanijia maono na kumuona babu Seya na mwanawe wanaachiwa huru mwaka huu na kufanyiwa sherehe moja ya nguvu na wanamuziki wote wa muziki wa dansi na bongo fleva...
16 Reactions
61 Replies
8K Views
Za asubuhi wana jf wote. Swali langu ni hilo tu, nineiona simu ebay ya uk, nimeipenda! Nawezaje inunua na inifikie mimi ambaye niko dsm, Tz? Je yawezekana?
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari zenu! Samahanini, naombeni kujua ni wapi hapa Tanzania wanaruka Bunjee Jumping, yale mambo ya adventure!! Ile unafungwa kamba mguuni kisha unajitupa chini mahali penye kina kirefu. Ajuaye...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wameisherehekea vizuri sana siku ya uhuru wa kujiamulia mambo including molestation. Kiongozi mkuu amewasamehe huku akijivunia na kujipiga kifua kutumia vifungu vya katiba! Of all criminal...
5 Reactions
46 Replies
4K Views
Bado najiuliza Kama Kweli Babu Seya hakuwa ameonewa , Je Kwa nini Baada ya Mh Rais kutaja jina lake kwa nini Uwanjani kulijawa na Shangwe na Vifijooo telee. Je kwa nini wale watoto waliotoa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wana jamvi, Nimekuwa nikisafiri kwa mabasi kwa muda refu sana katika mikoa mbalimbali hapa nchini. Kwa utaratibu wa sasa kuna vituo askari wa barabarani wamekuwa wakisimamisha...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Licha ya kuongezeka kwa bajeti inayoelekezwa katika sekta ya lishe nchini, bado haijasaidia kupunguza tatizo la udumavu kwa watoto walio chini ya umri wa miaka 5 na kuathiri maendeleo ya kiafya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom