Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

kumeibuka nfumo wa vyuo ambavyo tunaweza kuviita MOBILE UNIVERSITY kutokana na mfumo wa uendeshaji wake. Mfumo huu umeshika hatamu kipindi hiki ambacho kila chuo kinapambana kuhakikisha...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Tumeshuhudia nchi nyingi ambazo ni watengenezaji wa silaha za kivita ikiwemo ndege, mabomu, mizinga, vufaru na silaha nyinginezo kustaafisha na kuziondoa kwenye matumizi amabapo zimetumia garama...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Toka Jana tumeshuhudia Umahari wa Jeshi letu la Wananchi Jinsi linavyo rusha ndege zao huku Dodoma. Ila Duu unaweza toka mbio yaani anaishusha na inaachia mlio wa kurusha Roho... Natamani...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Vyombo Vya Habari Vimechangia Kupotea Kwa Mwandishi Azory Gwanda Kwasababu Viliamua KUYAFUMBIA MACHO Matukio Ya Watu Kuokotwa Kwenye Sandarusi Coco Beach, Watoto 1300 Kupotea Kibiti, Watu Kutekwa...
10 Reactions
25 Replies
48K Views
Jumla ya wagonjwa 185 katika halmashauri ya wilaya ya Nyasa walifika hospitalini kupatiwa matibabu na wagonjwa nane kufariki, wagonjwa wawili wanapatiwa matibabu sasa hivi Ugonjwa huo ulianzia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Nina mdogo wangu yupo chuo, yeye alipata mkopo 100% lakini kila mwezi anaomba wazazi hela ya matumizi, pia kodi ya chumba alikopanga ikiisha anaomba na kkulipiwa. Je ni kweli mkopo elimu...
0 Reactions
49 Replies
7K Views
Salaam Wandugu naomba kwa anaejua zilipo ofisi ya sheikh huyu
0 Reactions
2 Replies
2K Views
It’s all starting to feel like very familiar territory now… Nothing financially bad can ever happen again. The stock market feels nice and cozy. People continue to make money. What’s not to like...
0 Reactions
4 Replies
501 Views
Inatuchukua miaka mingi ya kujitolea na kumwomba Mungu hadi kufanikiwa kujenga nyumba za ibada. Kama Magufuli hajashiriki kujenga nyumba za ibada, hajui gharama kubwa inayotupata kujenga nyumba...
10 Reactions
27 Replies
3K Views
Jiji la Dar es Salaam limechukua tuzo ya Bloomberg Philathropies kutokana na mradi wa mabasi ya mwendokasi DART ambao umepunguza foleni barabarani na uchafuzi wa hali ya hewa Usafiri huu...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Mimi ni wakala wa m-pesa hapa mtaani wapo mawakala wenzangu huwa tunaaminiana kama mawakala maana miongoni mwa sifa kuu ya kuwa wakala ni uaminifu. Sasa ipo hivi kuna siku nilikosea kutuma pesa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Naamini uncle utawaambia wenzio Basi LA Kampala limewekwa taa za kuchajia toka SAA kumi namoja kama vile halina taa kabisa Ukiuliza dreva anakwambia ukishindwa kuona siti yako tuite kha Basis...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
hili jambo limekuwa likinikera sana. ni utaratibu wa hovyo sana kuwah kutokea kwenye sherehe na mikutano mbalimbali. wewe huna hili wala lile umemaliza sherehe au mkutano unatoka nje unakuta picha...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Shambulizi lililotekelezwa na ndege vita za Japan dhidi ya Marekani katika Bandari ya Pearl huko Hawaii halitakaa lisahaulike na Wamarekani.Walipigwa vibaya. Kimsingi lilikuwa shambulizi la...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
RUSHWA HUANZAJE KWENYE SYSTEM? 1.Unaachiwa maziwa au unamuachia mtoto wako mkubwa chakula cha mdogo anakula chote, 2.Monitor darasani anawapanga wengine ratiba za usafi lakin rafiki yake hampangi...
0 Reactions
2 Replies
649 Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Nataka kufikia mwaka kesho mwanzon nihame mwanza nihamie arusha Naomba wenyeji mnambie ni mtaa upi mzur wa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Hello wakuu wa nchi ,bado tunashikilia hii record wakuu ,maana najua tulikuwa number one Kwa Africa ,
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Yaani pasipo uzinduzi na yeye ni kama haishi au hayupo kabisa dunia hii! Anaishi panapo uzinduzi,pasipo na uzinduzi hana maisha na ndio maana kila panapo uzinduzi na yeye ndipo anapozinduka...
13 Reactions
20 Replies
2K Views
Hii ni hotuba aliyoitoa Mugabe katika mkutano wa 36 wa nchi wanachama wa umoja wa Africa huko addis ababa mwaka jana. Alikuwa anadai Africa ipewe walau seat moja kwenye baraza la usalama la umoja...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kuna wamama wamevaa nguo za ccm wanatembeza pesa hapa warid lodge iliyopo makole karibu na mahakamani naona wanaopokea wengi ni vijana wa kike na wamama mmoja mmoja anaingia chumbani na wapangaji...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Back
Top Bottom