Kwa Wazalendo Wa Kweri
_____________________________
Tunalala kwenye vumbi na matope ili wewe ulale kitandani,
Tunala na bunduki ili wewe ulale na mwenzi wako,
Tunalala porini ili wewe ulale...
Naangalia sherehe za Uhuru kupitia Clouds TV nashindwa kuelewa jinsi mnavyo rusha matanganzo toka uwanja wa Jamhuri Dodoma.je hamna wapiga picha wenye uwezo wa kurusha tukio halisi kwa wakati...
Mambo ya marehemu ni mambo ya kiroho, kuna vitu vinafanyika juu ya ufahamu wa kawaida wa binadamu
Ivan kijana bilionea kaondoka akiwa mbichi kabisa..utajiri wake si jambo la kawaida sana...
Leo nchi yetu inasherekea miaka 56 ya uhuru wake tulioupata kutoka mikononi mwa Mwingireza chini ya Kiongozi Shupavu hayati mwl Julius K.Nyerere na huku hati za kupewa uhuru zikisainiwa na Ndugu...
Habari njema kwa wakulima wote wa nyanya Tanzania, kwa muda mrefu sana tumeona wakulima wa nyanya tanzania wakipoteza mitaji yao kwa bei ambazo hazina faida kabisa ila sasa hichi chama kitakuwa...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Suleimani Jaffo amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Wilaya ya Nkasi, Julius Kawondo kwa tuhuma za rushwa na matumizi mabaya yaliyoisababishia Serikali hasara ya...
Aanza kujenga nyumba za wageni eneo la ekari 70
Asema muujiza wa sasa ni zaidi ya tiba ya 'Kikombe'
Kijiji chamuona Nabii baada ya kutabiri mawili yakatokea
Aajiri 13 kwa 100,000/-
Baada ya kimya...
Je Biblia Inaruhusu Mwanamume Awe na Wake Wengi?
Jibu la Biblia
Kwa muda fulani, Mungu aliruhusu mwanamume awe na wake wengi. (Mwanzo 4:19; 16:1-4; 29:18–29) Lakini Mungu hakuanzisha mpango wa...
Tanesco vipi tunajiandaa watu kuangalia gwaride mshafanya yenu kwa nini lakin? kama kuna mgao wa umeme si mseme ukweli tu kuwa punzi ndogo root ndefu hii aibu tena siku ya muhimu leo umeme...
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanry ameliagiza Jeshi la polisi mkoani humo kumsaka na kumtia nguvuni mwanaume mmoja mkazi wa wilaya ya Urambo anayedaiwa kupanga njama za kumuua mke wake kwa...
Naomba nitoe ushauri kutokana na tetesi nilizosikia, nitashukuru kama nitaeleweshwa iwapo ushauri wangu si mwafaka. Lakini pia naomba nisirushiwe maneno yenye kuudhi kutokana na ushauri wangu...
Habari wadau..
Binafsi ni mhasibu kwa taaluma..
Nimesoma research ya PWC, research ya Oxford university, research ya kpmg, na research nyingi za vyuo tofauti..
Zinaonesha kwamba IT technology...
habari wakuu..
haka katabia kamekuwa kawaida yetu .hivi hata kwa majirani zetu wakenya au waganda ipo?
unakuta mtu hajui kitu..labda katoka kijijini au hajawahi tumia/kuona kitu..utaskia...
Wengi wetu wanapenda sana kumiliki European Cars lakini huwa wanaogopa gharama na ugumu wa kuliendesha/kulimiliki hasa upatikanaji wa vipuri.
Lakini yapo magari mengi tu ya Europe ambayo...
Wanabodi,
Hivi mayai ya mbuni yanapatikana wapi hapa Tanzania na bei yake ni kiasi gani? Nauliza sio kwa sababu nataka kununua ila nataka kupata mchango wa wa wenye uelewa wa biashara hii...
Sijawahi kushuhudia Meya bogus kama huyu wa sasa, siku zote kihistoria Meya wa Jiji huvuma kila mahali, lkn huyu wa sasa nina uhakika 3/4 ya wana Dar hata jina lake hatulijui, hivi anaitwa tena...
Ndugu zangu Wakristo nawasalimu. Tumsifu Yesu Kristo!
Ndugu zangu nawaomba wakristo wenzangu kwa nafasi zetu, vipawa vyetu na karama alizo tujalia Mwenyezi Mungu na sisi Tuanzishe Mashindano ya...
Wazima ndugu zangu, napenda kwenda moja kwa moja kwenye mada, kuna kiongozi mmoja wa dini yangu tunakaa nae mtaani lakini bahati mbaya mimi huwa sihudhurii ibada katika nyumba ya ibada ambayo yeye...
Naomba msaada wa kupata mawasiliano ya mtunzi wa sauti toka Ughaibuni, mashairi ya matumaini ndg. Christopher Mwashinga.
Kama yumo humu anipm namba nimpigie ni muhimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.