Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Kwa Wazalendo Wa Kweri _____________________________ Tunalala kwenye vumbi na matope ili wewe ulale kitandani, Tunala na bunduki ili wewe ulale na mwenzi wako, Tunalala porini ili wewe ulale...
1 Reactions
0 Replies
637 Views
Naangalia sherehe za Uhuru kupitia Clouds TV nashindwa kuelewa jinsi mnavyo rusha matanganzo toka uwanja wa Jamhuri Dodoma.je hamna wapiga picha wenye uwezo wa kurusha tukio halisi kwa wakati...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mambo ya marehemu ni mambo ya kiroho, kuna vitu vinafanyika juu ya ufahamu wa kawaida wa binadamu Ivan kijana bilionea kaondoka akiwa mbichi kabisa..utajiri wake si jambo la kawaida sana...
33 Reactions
258 Replies
25K Views
Leo nchi yetu inasherekea miaka 56 ya uhuru wake tulioupata kutoka mikononi mwa Mwingireza chini ya Kiongozi Shupavu hayati mwl Julius K.Nyerere na huku hati za kupewa uhuru zikisainiwa na Ndugu...
0 Reactions
1 Replies
813 Views
Habari njema kwa wakulima wote wa nyanya Tanzania, kwa muda mrefu sana tumeona wakulima wa nyanya tanzania wakipoteza mitaji yao kwa bei ambazo hazina faida kabisa ila sasa hichi chama kitakuwa...
0 Reactions
2 Replies
916 Views
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Suleimani Jaffo amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Wilaya ya Nkasi, Julius Kawondo kwa tuhuma za rushwa na matumizi mabaya yaliyoisababishia Serikali hasara ya...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Aanza kujenga nyumba za wageni eneo la ekari 70 Asema muujiza wa sasa ni zaidi ya tiba ya 'Kikombe' Kijiji chamuona Nabii baada ya kutabiri mawili yakatokea Aajiri 13 kwa 100,000/- Baada ya kimya...
1 Reactions
68 Replies
12K Views
Je Biblia Inaruhusu Mwanamume Awe na Wake Wengi? Jibu la Biblia Kwa muda fulani, Mungu aliruhusu mwanamume awe na wake wengi. (Mwanzo 4:19; 16:1-4; 29:18–29) Lakini Mungu hakuanzisha mpango wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tanesco vipi tunajiandaa watu kuangalia gwaride mshafanya yenu kwa nini lakin? kama kuna mgao wa umeme si mseme ukweli tu kuwa punzi ndogo root ndefu hii aibu tena siku ya muhimu leo umeme...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanry ameliagiza Jeshi la polisi mkoani humo kumsaka na kumtia nguvuni mwanaume mmoja mkazi wa wilaya ya Urambo anayedaiwa kupanga njama za kumuua mke wake kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba nitoe ushauri kutokana na tetesi nilizosikia, nitashukuru kama nitaeleweshwa iwapo ushauri wangu si mwafaka. Lakini pia naomba nisirushiwe maneno yenye kuudhi kutokana na ushauri wangu...
0 Reactions
2 Replies
811 Views
Habari wadau.. Binafsi ni mhasibu kwa taaluma.. Nimesoma research ya PWC, research ya Oxford university, research ya kpmg, na research nyingi za vyuo tofauti.. Zinaonesha kwamba IT technology...
14 Reactions
101 Replies
9K Views
habari wakuu.. haka katabia kamekuwa kawaida yetu .hivi hata kwa majirani zetu wakenya au waganda ipo? unakuta mtu hajui kitu..labda katoka kijijini au hajawahi tumia/kuona kitu..utaskia...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Wengi wetu wanapenda sana kumiliki European Cars lakini huwa wanaogopa gharama na ugumu wa kuliendesha/kulimiliki hasa upatikanaji wa vipuri. Lakini yapo magari mengi tu ya Europe ambayo...
13 Reactions
83 Replies
11K Views
Wanabodi, Hivi mayai ya mbuni yanapatikana wapi hapa Tanzania na bei yake ni kiasi gani? Nauliza sio kwa sababu nataka kununua ila nataka kupata mchango wa wa wenye uelewa wa biashara hii...
0 Reactions
50 Replies
8K Views
Sijawahi kushuhudia Meya bogus kama huyu wa sasa, siku zote kihistoria Meya wa Jiji huvuma kila mahali, lkn huyu wa sasa nina uhakika 3/4 ya wana Dar hata jina lake hatulijui, hivi anaitwa tena...
0 Reactions
7 Replies
999 Views
Ndugu zangu Wakristo nawasalimu. Tumsifu Yesu Kristo! Ndugu zangu nawaomba wakristo wenzangu kwa nafasi zetu, vipawa vyetu na karama alizo tujalia Mwenyezi Mungu na sisi Tuanzishe Mashindano ya...
7 Reactions
253 Replies
27K Views
Wazima ndugu zangu, napenda kwenda moja kwa moja kwenye mada, kuna kiongozi mmoja wa dini yangu tunakaa nae mtaani lakini bahati mbaya mimi huwa sihudhurii ibada katika nyumba ya ibada ambayo yeye...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Naomba msaada wa kupata mawasiliano ya mtunzi wa sauti toka Ughaibuni, mashairi ya matumaini ndg. Christopher Mwashinga. Kama yumo humu anipm namba nimpigie ni muhimu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom