Nianze kwa salamu ziwafikie wanajamvi wooote, nimatumaini yangu muwazima wa afya njema!
Nirudi kwenye maada, takriban siku 20 zimepita toka nisajil laini yangu ya simu katika mawakala wa moja...
Wakuu samahani naomba mnisaidie
seriez online ina subtittle ila nikiidownload inacheza bila subtittle
Nimetumia VLC Nina pc kupitia idm asante
Nimeipenda Dramacool kwa sababu unadownload file...
Mbunge wa Singida Mashariki Mhe. Tundu Lissu ambaye anaendelea na matibabu nchini Kenya jijini Nairobi amefunguka na kusema kuwa wanaendelea kupigana na watashinda vita hiyo.
Lissu amesema hayo...
Huu ni wimbo uliotolewa na Bushoke mwaka 2005 akimuombea msamaha.Bushoke ukimsikiliza katika huo wimbo anasema "Watu wanaishikilia kesi ya P",anaendelea kusema "Rais mtoa P,watu wanampenda...
Marafiki wa Isaac Habakuk pamoja na wadau ambao hawakupendezwa na hukumu dhidi yake ya kwenda gerezani miaka 3 au kulipa faini ya milioni 7 kwa kudaiwa kumtukana Rais Magufuli kupitia mtandao wa...
wadau kiukweli hii hali ya uchumi ni kufa kufaana. imesaidia sana wale mademu waliokuwa wanazingua sana zamani ... aaahh.. sasa wamekuwa wepesi kama unyoya tu.yaani kama upo fresh kila siku...
Takwimu za Shirika la takwimu la Taifa (NBS) zinaonesha mfumuko wa bei Tanzania kushuka kutoka 5.1% mwezi Oktoba hadi 4.4% mwezi Novemba.
Tanzania Annual Inflation Decrease to 4.4% in November...
Kamanda wa polisi mkoa wa Dar amesema hakuna ushahidi kuwa waliowapiga wananchi Ukonga ni askari, na ametaka mtu yeyote mwenye ushahidi aupeleke.
Ameelezea watuhumiwa hao walipokuwa wanawapiga...
Salam zenu wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza,
Ndugu zangu nimefikia uamuzi huu kutokana na ushauri mfupi na mzito kutoka kwa kaka yangu na pia kwa kuwa naona nafsi inamsuta sana.
Niseme tu...
Salaam wana HHM
Jamani mi nina mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 4 na miezi kama 8 hivi
Huyu mwanangu anaishi na mamake mkoa jirani na ninaoishi Mimi,kila Mara napata malalamiko toka kwa...
Habarini wa afrika wenzangu. Kwa watanzania hongereni kwa Uhuru, pia kwa Juhudi za Magufuli nasikia sasa Life expectancy yenu imepanda ktk utawala wake kutoka miaka 37 mpaka 61, japo binafsi...
Kwa wiki kadhaa sasa Chama Cha Mapinduzi kimeamua kupambana na CHADEMA kwa kutumia mikutano, maandamano na mitandao ya kijamii.
Mfumo huu wa mapambano umekuwa ukitumiwa na wanaCHADEMA kwa...
Bila shaka huko ambako yupo sasa hivi, atakuwa anajiuliza kwanini imekuwa hivi? Na atajifunza kuwa kuweka akiba ya maneno pia atajua kuwa dunia hii ni tambara bovu na siasa ni kupakana matope...
Wanajukwaa,mwenye taarifa kama Adv.Mwale wa Arusha kama naye ni miongoni mwa waliosamehewa jana.Huwa nikiangalia mazingira ya kesi yake na maamuzi ya mahakama naonaga kama kuna mkono wa mtu...
Tunaweza kufanya uchunguzi wa kujua Sumu ina kazi gani...tunajua fika kazi ya sumu ni kuua vijidudu na ndio maana dawa zote zinatengenezwa kwa kuwekewa sumu ambayo imedailutiwa ili kuweza kuua...
Najihisi kma naishi ulimwengu wa pekeangu ninapopita na kuona , watu wananyumba nzuri na magari makali hali ya kua mm hata kumake buku kwa siku inakua ngumu kwa kipa ninavyojitahidi.
Serikali imesema shule za taasisi za dini zimepoteza mwelekeo kwa kuwa zimeanza kuzalisha vijana wa vijiweni na baadhi zinatajwa katika suala la ushoga.
Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa na Naibu...
Mamilion ya WaTanzania walishangilia kwa furaha baada ya kuskia habari ya kuachiwa watu hawa kwa msamaha wa Rais, walio wengi walifikiri labda ni utani wa kwenye mitandao hasa wale waliokua...
Kufumaniwa raha sana. Kufumania ni uchungu sana.Unaweza omba mbingu ipasuke uzame ndani uachane na huyo kiumbe.
Ukimfumania usiyemhitaji ni kick nzuri sana ya kuhalalisha utengano. Raha sasa...
Hongera kwa miaka 56 ya Uhuru!
Ninapenda kua na passport ya kusafiria kama moja ya vitambulisho vyangu... Ivi ni lazima uwe na safari ya kwenda nchi za nje ndo uoate passport au naweza tu kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.