Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Nianze kwa salamu ziwafikie wanajamvi wooote, nimatumaini yangu muwazima wa afya njema! Nirudi kwenye maada, takriban siku 20 zimepita toka nisajil laini yangu ya simu katika mawakala wa moja...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakuu samahani naomba mnisaidie seriez online ina subtittle ila nikiidownload inacheza bila subtittle Nimetumia VLC Nina pc kupitia idm asante Nimeipenda Dramacool kwa sababu unadownload file...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mbunge wa Singida Mashariki Mhe. Tundu Lissu ambaye anaendelea na matibabu nchini Kenya jijini Nairobi amefunguka na kusema kuwa wanaendelea kupigana na watashinda vita hiyo. Lissu amesema hayo...
4 Reactions
3 Replies
3K Views
Huu ni wimbo uliotolewa na Bushoke mwaka 2005 akimuombea msamaha.Bushoke ukimsikiliza katika huo wimbo anasema "Watu wanaishikilia kesi ya P",anaendelea kusema "Rais mtoa P,watu wanampenda...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Marafiki wa Isaac Habakuk pamoja na wadau ambao hawakupendezwa na hukumu dhidi yake ya kwenda gerezani miaka 3 au kulipa faini ya milioni 7 kwa kudaiwa kumtukana Rais Magufuli kupitia mtandao wa...
12 Reactions
198 Replies
22K Views
wadau kiukweli hii hali ya uchumi ni kufa kufaana. imesaidia sana wale mademu waliokuwa wanazingua sana zamani ... aaahh.. sasa wamekuwa wepesi kama unyoya tu.yaani kama upo fresh kila siku...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Takwimu za Shirika la takwimu la Taifa (NBS) zinaonesha mfumuko wa bei Tanzania kushuka kutoka 5.1% mwezi Oktoba hadi 4.4% mwezi Novemba. Tanzania Annual Inflation Decrease to 4.4% in November...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Kamanda wa polisi mkoa wa Dar amesema hakuna ushahidi kuwa waliowapiga wananchi Ukonga ni askari, na ametaka mtu yeyote mwenye ushahidi aupeleke. Ameelezea watuhumiwa hao walipokuwa wanawapiga...
1 Reactions
126 Replies
12K Views
Salam zenu wakuu, Kama kichwa kinavyojieleza, Ndugu zangu nimefikia uamuzi huu kutokana na ushauri mfupi na mzito kutoka kwa kaka yangu na pia kwa kuwa naona nafsi inamsuta sana. Niseme tu...
15 Reactions
66 Replies
7K Views
Salaam wana HHM Jamani mi nina mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 4 na miezi kama 8 hivi Huyu mwanangu anaishi na mamake mkoa jirani na ninaoishi Mimi,kila Mara napata malalamiko toka kwa...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habarini wa afrika wenzangu. Kwa watanzania hongereni kwa Uhuru, pia kwa Juhudi za Magufuli nasikia sasa Life expectancy yenu imepanda ktk utawala wake kutoka miaka 37 mpaka 61, japo binafsi...
0 Reactions
6 Replies
856 Views
Kwa wiki kadhaa sasa Chama Cha Mapinduzi kimeamua kupambana na CHADEMA kwa kutumia mikutano, maandamano na mitandao ya kijamii. Mfumo huu wa mapambano umekuwa ukitumiwa na wanaCHADEMA kwa...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Bila shaka huko ambako yupo sasa hivi, atakuwa anajiuliza kwanini imekuwa hivi? Na atajifunza kuwa kuweka akiba ya maneno pia atajua kuwa dunia hii ni tambara bovu na siasa ni kupakana matope...
2 Reactions
13 Replies
6K Views
Wanajukwaa,mwenye taarifa kama Adv.Mwale wa Arusha kama naye ni miongoni mwa waliosamehewa jana.Huwa nikiangalia mazingira ya kesi yake na maamuzi ya mahakama naonaga kama kuna mkono wa mtu...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Tunaweza kufanya uchunguzi wa kujua Sumu ina kazi gani...tunajua fika kazi ya sumu ni kuua vijidudu na ndio maana dawa zote zinatengenezwa kwa kuwekewa sumu ambayo imedailutiwa ili kuweza kuua...
5 Reactions
72 Replies
13K Views
Najihisi kma naishi ulimwengu wa pekeangu ninapopita na kuona , watu wananyumba nzuri na magari makali hali ya kua mm hata kumake buku kwa siku inakua ngumu kwa kipa ninavyojitahidi.
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Serikali imesema shule za taasisi za dini zimepoteza mwelekeo kwa kuwa zimeanza kuzalisha vijana wa vijiweni na baadhi zinatajwa katika suala la ushoga. Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa na Naibu...
3 Reactions
86 Replies
9K Views
Mamilion ya WaTanzania walishangilia kwa furaha baada ya kuskia habari ya kuachiwa watu hawa kwa msamaha wa Rais, walio wengi walifikiri labda ni utani wa kwenye mitandao hasa wale waliokua...
6 Reactions
77 Replies
10K Views
Kufumaniwa raha sana. Kufumania ni uchungu sana.Unaweza omba mbingu ipasuke uzame ndani uachane na huyo kiumbe. Ukimfumania usiyemhitaji ni kick nzuri sana ya kuhalalisha utengano. Raha sasa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Hongera kwa miaka 56 ya Uhuru! Ninapenda kua na passport ya kusafiria kama moja ya vitambulisho vyangu... Ivi ni lazima uwe na safari ya kwenda nchi za nje ndo uoate passport au naweza tu kwenda...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom