Je Unazijua Tabia Za Maafisa Utumishi

Je Unazijua Tabia Za Maafisa Utumishi

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,958
Wasalaam wana JF
Leo nimeona tujadili kidogo tabia za kada mbalimbali kwenye KiUtumishi. Naombe tuanze na kada ya Maafisa rasilimali watu/Utumishi/Tawala.

Majukumu yao makubwa ni kusimamia sheria, kanuni na taratibu mbalimbali za kiutumishi. Hata hivyo nitataja tabia chache za waheshimiwa hao ambazo hazina mahusiano na majukumu yao ya msingi:

1.Wanapenda kuwa smart muda mwingi kwa mfano hupendekea kuvaa koti, tai, shati la mikono mirefu na suruali safi ya kitambaa. Baadhi yao hupenda kuvaa suti za style ile ya kule China.

2. Huwa wana uwezo mkubwa wa kutunza kumbukumbu ya mambo mengi!

3.Ni watu wanaopenda kuzingatia sheria, kanuni na taratibu hata wakiwa kwenye maisha yao ya kawaida

4. Wanapenda kuzungumza with authority!

Karibu tujuzane
 
Wacheleweshaji kujibu au kupitisha barua za watumishi. barua inakaa wiki 2 hadi mwezi hazishughulikiwi, je huo ni utaratibu bora? wanapenda kuabudiwa! WALA RUSHWA!
 
Wasalaam wana JF
Leo nimeona tujadili kidogo tabia za kada mbalimbali kwenye KiUtumishi. Naombe tuanze na kada ya Maafisa rasilimali watu/Utumishi/Tawala
Majukumu yao makubwa ni kusimamia sheria,kanuni na taratibu mbalimbali za kiutumishi.Hata hivyo nitataja tabia chache za waheshimiwa hao ambazo hazina mahusiano na majukumu yao ya msingi:
1.Wanapenda kuwa smart muda mwingi kwa mfano hupendekea kuvaa koti,tai,shati la mikono mirefu na suruali safi ya kitambaa.Baadhi yao hupenda kuvaa suti za style ile ya kule China.
2.Huwa wana uwezo mkubwa wa kutunza kumbukumbu ya mambo mengi!
3.Ni watu wanaopenda
kuzingatia sheria,kanuni na
taratibu hata wakiwa kwenye maisha yao ya kawaida
4. Wanapenda kuzungumza with authority!
5.
6
Karibu tujuzane
Kuzungumza with authority ndio nn ? Halafu mbona umeweka tabia za kuwasifia tu ? Chukua hii wengi wao hawajui hesabu
 
Najua sifa zao ni kupenda rushwa zote za pesa na ngono,pia wajinga sana wanapenda kunyenyekewa
Hiyo kweli mkuu , nilimtukanaga afisa wetu mtumishi mkuu baadae akawa rafiki yangu ni mtu mzima , sasa cha ajabu msaidizi wake halikuwa ndio ananimind baada ya tukio hilo , kuna siku alichonga barua hili mkurugenzi aisaini ni pewe honyo, bahati nzuri niliipunch
 
Andiko lako lna ukakasi bwana kichonge haiwezekani hao maafisa utumishi wawe na mazuri tu vingnevyo nawe n afisa utumishi hutak kujikosoa maafisa utumishi wengi hujiona miungu watu maofisini wanaongoza kwa rushwa Za fedha ngono binafsi nakumbuka wakat nataka kujiendeleza kusoma barua yangu ilikwama kwa hao maafisa utumishi walikuwa wanataka rushwa Lakini namshukuru Mungu mkurugenz alinisaidia
 
Andiko lako lna ukakasi bwana kichonge haiwezekani hao maafisa utumishi wawe na mazuri tu vingnevyo nawe n afisa utumishi hutak kujikosoa maafisa utumishi wengi hujiona miungu watu maofisini wanaongoza kwa rushwa Za fedha ngono binafsi nakumbuka wakat nataka kujiendeleza kusoma barua yangu ilikwama kwa hao maafisa utumishi walikuwa wanataka rushwa Lakini namshukuru Mungu mkurugenz alinisaidia
Hivi anaanzaje kukwambia mfanye mapenzi ndiyo ashughulikie swala lako?
 
Mtu anaeyeopt kusoma HR mara nyingi ni wale ambao kichwani hayuko poa sana.
 
Hiyo kweli mkuu , nilimtukanaga afisa wetu mtumishi mkuu baadae akawa rafiki yangu ni mtu mzima , sasa cha ajabu msaidizi wake halikuwa ndio ananimind baada ya tukio hilo , kuna siku alichonga barua hili mkurugenzi aisaini ni pewe honyo, bahati nzuri niliipunch
Niliomba Mkopo alafu wakakosea makato, mwaka ukapita mpaka bank ikaanza kudai alafu afisa Utumishi anasema hajui lolote hata kutoa msaada alikataa, unaweza Kata kichwa lijitu
 
Hila bongo ni shida , utakuta watu wanaofanya core business ya shirika wanalipwa kidogo halafu analupwa zaidi
 
Hakuna watu wavivu na hovyo kama warumishi wa halmashauri.
Hasa maafisa maendeleo, Ardhi, mipango, nk.
Yani vichwa vyao sijui vikoje, ndio maana madiwani huwatukana.

Hawajui hata kuandika ripoti, ni kukopi na kupaste tu
 
Back
Top Bottom